Ebola yaibuka mjini Freetown
Maofisa wa afya nchini Sierra Leone wamesema kwamba kuna wagonjwa wawili wapya wanaougua ugonjwa wa ebola.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Jul
Freetown:Mgonjwa wa Ebola afariki
Maafisa wa afya nchini Sierra leone wamethibitisha kwamba mgonjwa mmoja wa Ebola aliyetoroka hospitalini mjini Freetown amefariki.
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78801000/jpg/_78801387_78580919.jpg)
VIDEO: Inside Freetown Ebola response centre
British doctor Stacey Mearns has spent the last week working in Connaught hospital's emergency Ebola response centre in Freetown, Sierra Leone.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKk*j8peVa1sCjggpkjIor7zz7xGFH-V2aUyZ8lTxBLbYoucWvREKnp60mBukoM7q04Gikb9gcgIArAfqADyhjP0/22.jpg?width=650)
MAANDAMANO YAIBUKA UPYA MJINI BUJUMBURA, BURUNDI
Waandamanaji mjini Bujumbura wakikimbia hovyo baada ya kurushiwa risasi za moto na polisi.
Waandamanaji wakionesha msimamo wao wa kumtaka Rais Pierre Nkurunziza kutogombea tena nafasi hiyo muhula ujao.
Jeshi la Polishi na wanajeshi…
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-67hXbysGUho/VEnMH3nMgxI/AAAAAAAAI0A/spTupbQRmqQ/s72-c/Zahanati%2Byafungwa%2Bkwa%2Bhofu%2Bya%2BEbola(1).jpg)
HOFU YA UGONJWA WA EBOLA YATANDA MJINI MOSHI
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii kanda ya kaskazini.
WAKAZI wa kata ya Shirimatunda katika maanispaa ya Moshi, wameingiwa na hofu ya kupoteza maisha yao,kufuatia taarifa za kuwapo kwa mtu anayedhaniwa kuwa na ugonjwa hatari wa Ebola anayehudumiwa katika zahanati ya kata hiyo.
Kutokana na hofu hiyo,halmashauri ya manispaa ya Moshi imelazimika kuifunga kwa muda usiojulikana zahanati hiyo na kuwahamishia wagonjwa katika hospitali nyingine ikiwamo ya St Joseph katika manispaa hiyo.
Ripota wetu...
WAKAZI wa kata ya Shirimatunda katika maanispaa ya Moshi, wameingiwa na hofu ya kupoteza maisha yao,kufuatia taarifa za kuwapo kwa mtu anayedhaniwa kuwa na ugonjwa hatari wa Ebola anayehudumiwa katika zahanati ya kata hiyo.
Kutokana na hofu hiyo,halmashauri ya manispaa ya Moshi imelazimika kuifunga kwa muda usiojulikana zahanati hiyo na kuwahamishia wagonjwa katika hospitali nyingine ikiwamo ya St Joseph katika manispaa hiyo.
Ripota wetu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3dClu3zYZus7nbVpWaK5kqLrdFwyXSkq0HPQsZ9yO4bCh8BNRsDfOLcuvFuQY*xs92QFF6COI3Lr--z9QkPflo8pYfluS-vW/Cralence.jpg?width=650)
MAZITO YAIBUKA
Na Mwandishi Wetu
KAMA huna taarifa, habarika sasa kwamba, mwili wa aliyekuwa mwongoza filamu za Kibongo, marehemu George Otieno Okumu ‘Tyson’ (41) aliyefariki dunia Mei 30, mwaka huu kwa ajali mbaya ya gari nchini Tanzania na kusafirishwa kwao,Kenya bado haujazikwa huku mazito yakiibuka kuhusiana na msiba huo! Mwili wa aliyekuwa mwongoza filamu za Kibongo, marehemu George Otieno Okumu ‘Tyson’ (41)...
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Kamatakamata yaibuka
Kumeibuka kamatakamata ya watu wanaotuhumiwa kuhusika na milipuko ya mabomu katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Zanzibar na baadaye wahusika husafirishwa nyakati za usiku kwenda Tanzania Bara, imefahamika visiwani humu jana.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPPrGq0RotcTubScjk42Svf1fMjASS7OXYAm2AMEBKDQlV31fYJTsJyowPgf0rc7XW7VS-6Lcq-ahB-NbwenM*lY/mapya.jpg)
MAPYA YAIBUKA!
Stori: Denis Mtima na Gabriel Ng’osha
Nyuma ya tukio la denti wa darasa la tano kwenye shule moja ya msingi iliyopo Mbezi-Shamba, Dar, aliyejitambulisha kwa jina moja la Irene (11) la kunaswa akifanya utapeli kwa kuwaibia raia, mazito yameibuka. Denti wa darasa la tano anayetambulika kwa jina moja la Irene (11) aliyenaswa akiwatapeli raia. Katika tukio hilo lililojiri hivi karibuni maeneo ya Posta Mpya, Dar, denti huyo...
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Chelsea yaibuka kidedea
Didier Drogba ameweza kuisaidia Chelsea kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Shrewsbury.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0IO*l49JY475AJSHwJ-x*BbD-aZ4XMDYJ8GDo96ic5ZAhx-EHGCr6dlNomHsrZWI9grg*627-gHA-RxXBOQrIy5/Daladala.gif?width=650)
MAPYA YAIBUKA MASHAMBULIZI
Na Haruni Sanchawa
TUKIO la abiria Mosha Mahona kuwajeruhi abiria wenzake watano aliokuwa nao ndani ya daladala lililokuwa gumzo wiki iliyopita jijini Dar, nyuma ya tukio hilo mapya yameibuka, Uwazi linakujuza. Tukio hilo lililotokea Julai 23, mwaka, Mosha alikuwa amepanda daladala hilo akitokea Posta kuelekea Ubungo Simu 2000, alipofika maeneo ya Jangwani akaanza kuwachoma visu abiria wenzake kisha na yeye kuuawa na abiria....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania