Kamatakamata yaibuka
Kumeibuka kamatakamata ya watu wanaotuhumiwa kuhusika na milipuko ya mabomu katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Zanzibar na baadaye wahusika husafirishwa nyakati za usiku kwenda Tanzania Bara, imefahamika visiwani humu jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Kamatakamata yaendelea Zanzibar
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3dClu3zYZus7nbVpWaK5kqLrdFwyXSkq0HPQsZ9yO4bCh8BNRsDfOLcuvFuQY*xs92QFF6COI3Lr--z9QkPflo8pYfluS-vW/Cralence.jpg?width=650)
MAZITO YAIBUKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPPrGq0RotcTubScjk42Svf1fMjASS7OXYAm2AMEBKDQlV31fYJTsJyowPgf0rc7XW7VS-6Lcq-ahB-NbwenM*lY/mapya.jpg)
MAPYA YAIBUKA!
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Mazito ya Chenge yaibuka
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Chelsea yaibuka kidedea
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0IO*l49JY475AJSHwJ-x*BbD-aZ4XMDYJ8GDo96ic5ZAhx-EHGCr6dlNomHsrZWI9grg*627-gHA-RxXBOQrIy5/Daladala.gif?width=650)
MAPYA YAIBUKA MASHAMBULIZI
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Mapya yaibuka uchaguzi Simba
WAKATI uchaguzi mkuu wa Simba ukiwa bado gizani, mengine yamezidi kuibuka baada ya kudaiwa Kamati ya Uchaguzi ya klabu hiyo chini ya Mwenyekiti wake Dk. Damas Ndumbaro ni batili kwa...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
TAHLISO yaibuka sakata la Mdede
WAJUMBE wa Jumuiya ya Serikali za Wanafunzi wa Taasisi na Vyuo Vikuu nchini (TAHLISO), wamedai kuwa Rais wao Mussa Mdede ametekwa kisiasa kutokana na msimamo wake wa uongozi. Hivyo, wamelitaka...
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Apr
Mazito yaibuka‘magaidi’ Kidatu
Imamu awakana Makwendo na wenzake
NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
DEREVA wa bajaji, Alphonce Maurus, aliyebeba watu wanaodhaniwa kuwa watuhumiwa wa ugaidi, Kidatu wilayani Kilombero, ameweka hadharani namna alivyomfahamu mmoja wao.
Amesema mtuhumiwa ambaye aliuawa na wananchi baada ya kumjeruhi polisi, Hamad Makwendo, alijihusisha na mchezo wa kareti na masuala ya dini ya Kiislamu.
Dereva huyo huyo aliwaeleza waandishi wa habari waliofuatilia taarifa za kina za tukio hilo jana kwamba Makwendo...