Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAHLISO yaibuka sakata la Mdede

WAJUMBE wa Jumuiya ya Serikali za Wanafunzi wa Taasisi na Vyuo Vikuu nchini (TAHLISO), wamedai kuwa Rais wao Mussa Mdede ametekwa kisiasa kutokana na msimamo wake wa uongozi. Hivyo, wamelitaka...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SAKATA LA MKE WA BARLOW, MAPYA YAIBUKA

Stori: waandishi wetu Sakata la madai kuwa mke wa aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Liberatus Barlow, Stella Barlow (pichani)alitimuliwa ukweni kwa mapanga limechukua sura mpya baada ya ndugu wa mumewe kuibuka na kutoa ufafanuzi. Mjane Stell Barlow wakati wa mazishi ya aliyekuwa mume wake, Kamanda Liberatus Barlow. Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu mwishoni mwa wiki iliyopita, ndugu wa marehemu Kamanda...

 

10 years ago

Vijimambo

Ukweli wa Sakata Zima la Richmond Na Jinsi Lowassa Alivyohusishwa na Sakata Hilo


Kwa mara ya kwanza Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowassa amefunguka na kueleza ukweli halisi wa sakata zima la Richmond lililomfanya achukue uamuzi wa kujiuzulu wadhifa wake wa uwaziri mwaka 2008.Katika maojiano maalumu na Mpekuzi,Lowassa amewaka wazi kuwa anapata shida kujua kama tupo makini kusimamia ipasavyo mambo yanayohusu maisha yetu,kwani masihara ya kisiasa yaliyoratibiwa na baadhi ya wabunge ndiyo yaliyosababisha serikali ...

 

10 years ago

Michuzi

Dkt MUSA MDEDE apata Baraka za kuwa mbunge wa jimbo la kalenga kutoka kwa vijana wa kikatoliki wa jimbo hilo

 Dkt  MUSA LEONARDMDEDE akitoa neno katika kongamano la vijana wa Katoliki Vijana kikatoliki lililofanyika katika kijiji cha Ulete mkoani Iringa.Sehemu  ya vijana wakimsikiza mdede katika kongamano hilo. Baadhi ya viongozi wa vijana hao wakiwa makini kumsikiliza  Dkt. Mdede. Kwa habari kamili na picha zaidi.
BOFYA HAPA

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tahliso yacharukia wanasiasa

JUMUIYA ya Vyuo Vikuu Tanzania (Tahliso), imekemea vikali tabia ya baadhi ya wanasiasa nchini kutumia Serikali za wanafunzi wa vyuo hivyo kutoa matamko ya kuwaunga mkono katika hatakati zao za...

 

10 years ago

TheCitizen

Tahliso: End CA sessions

Tanzania Higher Learning Institutions Students’ Organisation (Tahliso) has joined the chorus of organisations and politicians calling for the suspension of the Constituent Assembly, saying continuing with the sitting knowing there will not be a referendum until after 2015 General elections was misuse of public money.

 

10 years ago

Mwananchi

Tahliso wasisitiza kuandamana

Jumuiya ya Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu (Tahliso) imesema watafanya maandamano kwa nguvu, endapo hawatalipwa madai yao ya fedha za mafunzo kwa vitendo hadi kufikia Ijumaa wiki hii.

 

9 years ago

Habarileo

Tahliso wamkubali Magufuli

SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu (Tahliso) wamepongeza hatua ya Serikali ya Rais John Magufuli kuongeza idadi ya wanafunzi ambao wamepata mikopo ya elimu ya juu kutoka wanafunzi 34,128 mwaka jana hadi kufikia wanafunzi 53,032 mwaka huu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwenyekiti TAHLISO awaonya wanasiasa

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taaluma za Juu Tanzania (TAHLISO), Musa Mdede, amesema atahakikisha jumuiya hiyo inakaa mbali na masuala ya siasa ili kukabiliana na changamoto zilizomo vyuoni. Alisema...

 

10 years ago

Habarileo

Tahliso yakerwa kuingiliwa kisiasa

Mwenyekiti mpya wa TAHLISO,, Francisco John UONGOZI mpya wa Umoja wa Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu (Tahliso), umekerwa na mgogoro uliopo katika taasisi hiyo ambao umesababishwa na uongozi uliopita kuingiza itikadi za kisiasa ndani ya umoja huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani