Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tahliso yacharukia wanasiasa

JUMUIYA ya Vyuo Vikuu Tanzania (Tahliso), imekemea vikali tabia ya baadhi ya wanasiasa nchini kutumia Serikali za wanafunzi wa vyuo hivyo kutoa matamko ya kuwaunga mkono katika hatakati zao za...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mwenyekiti TAHLISO awaonya wanasiasa

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taaluma za Juu Tanzania (TAHLISO), Musa Mdede, amesema atahakikisha jumuiya hiyo inakaa mbali na masuala ya siasa ili kukabiliana na changamoto zilizomo vyuoni. Alisema...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Serikali yacharukia viwanda vya nyavu


WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani, amesema viwanda vyote vinavyotengeneza nyavu haramu zinazotumika katika shughuli za uvuvi vitachukuliwa hatua za kisheria.


Dk. Kamani amesema hatua hizo pia zitachukuliwa kwa wafanyabiashara wanaouza nyavu hizo na wale wanaozinunua na kuzitumia katika uvuvi kwa vile kufanya hivyo ni kosa kisheria.


Alikuwa akijibu swali la nyongeza la Jasson Rweikiza (Bukoba Vijijini-CCM), aliyetaka kujua kwa nini serikali inashindwa kuwachukulia...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wizara yacharukia Uvuvi Haramu Igunga

131112134616_fishing_tz_640x360_bbc_nocredit

Na Mwandishi wetu

Wizara ya Mifugo na Uvuvi kanda ya kati imewaagiza watu wote wanaojishughulisha na uvuvi haramu kwenye bwawa la Mwanzugi,lililopo katika Kijiji cha Mwanzugi,wilaya ya Igunga,Mkoani Tabora usiofuata taratibu zilizowekwa waache mara moja na kwamba endapo wataendelea kukaidi amri hiyo halali hatua kali na za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Afisa Uvuvi Mfawidhi na uvunaji wa viumbe hai Kanda ya kati,Bwana Renatus Charles Karumbeta alisema hayo katika mahojiano maalumu na...

 

9 years ago

Habarileo

Tahliso wamkubali Magufuli

SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu (Tahliso) wamepongeza hatua ya Serikali ya Rais John Magufuli kuongeza idadi ya wanafunzi ambao wamepata mikopo ya elimu ya juu kutoka wanafunzi 34,128 mwaka jana hadi kufikia wanafunzi 53,032 mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Tahliso wasisitiza kuandamana

Jumuiya ya Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu (Tahliso) imesema watafanya maandamano kwa nguvu, endapo hawatalipwa madai yao ya fedha za mafunzo kwa vitendo hadi kufikia Ijumaa wiki hii.

 

10 years ago

TheCitizen

Tahliso: End CA sessions

Tanzania Higher Learning Institutions Students’ Organisation (Tahliso) has joined the chorus of organisations and politicians calling for the suspension of the Constituent Assembly, saying continuing with the sitting knowing there will not be a referendum until after 2015 General elections was misuse of public money.

 

10 years ago

Habarileo

‘Wasaka urais iacheni Tahliso’

UMOJA wa Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO), umesema haupo tayari kuona unaingiliwa na wanasiasa kwa ajili ya kutaka waungwe mkono kuelekea katika uchaguzi mkuu wa urais wa mwaka 2015.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tahliso kujadili rasimu ya Katiba

JUMUIYA ya Wanafunzi wa Vyuo vya Juu nchini (Tahliso) inatarajia kufanya mkutano mwishoni mwa Aprili jijini Dar es Salaam kujadili mambo mbalimbali ikiwemo masuala yahusuyo rasimu ya pili ya Katiba....

 

10 years ago

Habarileo

Tahliso yakerwa kuingiliwa kisiasa

Mwenyekiti mpya wa TAHLISO,, Francisco John UONGOZI mpya wa Umoja wa Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu (Tahliso), umekerwa na mgogoro uliopo katika taasisi hiyo ambao umesababishwa na uongozi uliopita kuingiza itikadi za kisiasa ndani ya umoja huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani