Tahliso wasisitiza kuandamana
Jumuiya ya Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu (Tahliso) imesema watafanya maandamano kwa nguvu, endapo hawatalipwa madai yao ya fedha za mafunzo kwa vitendo hadi kufikia Ijumaa wiki hii.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 Mar
Wanasheria wasisitiza kura ya siri
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Masheikh wasisitiza umoja, amani
9 years ago
Habarileo12 Dec
Tahliso wamkubali Magufuli
SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu (Tahliso) wamepongeza hatua ya Serikali ya Rais John Magufuli kuongeza idadi ya wanafunzi ambao wamepata mikopo ya elimu ya juu kutoka wanafunzi 34,128 mwaka jana hadi kufikia wanafunzi 53,032 mwaka huu.
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Tahliso yacharukia wanasiasa
JUMUIYA ya Vyuo Vikuu Tanzania (Tahliso), imekemea vikali tabia ya baadhi ya wanasiasa nchini kutumia Serikali za wanafunzi wa vyuo hivyo kutoa matamko ya kuwaunga mkono katika hatakati zao za...
10 years ago
TheCitizen14 Sep
Tahliso: End CA sessions
10 years ago
Habarileo04 Aug
Wanazuoni wa Kiislamu wasisitiza uchaguzi wa amani
UMOJA wa Wanawazuoni wa Kiislamu Tanzania (Hay-Atul Ulamaa), umesema ili kuhakikisha uchaguzi mkuu ujao unamalizika kwa amani na usalama, wadau wa mchakato huo wanapaswa kutanguliza mbele maslahi ya Taifa na kutumia njia za amani kutatua migogoro itakayojitokeza.
11 years ago
Habarileo08 Apr
Wasomi wasisitiza utaifa unawezekana serikali 2
MKOA wa Vyuo vya Elimu ya Juu Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) umesema misingi ya utaifa na umoja wake inawezekana tu nchini hapa kwa kuwa na mfumo wa serikali mbili. Aidha, Mkoa huo umesema kwamba fikira za waasisi wa aina ya Muungano zililenga mbali zaidi ya ushirikiano na hivyo ipo haja ya kuendelea kuenzi muundo huo kwa manufaa ya taifa.
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Mwenyekiti TAHLISO awaonya wanasiasa
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taaluma za Juu Tanzania (TAHLISO), Musa Mdede, amesema atahakikisha jumuiya hiyo inakaa mbali na masuala ya siasa ili kukabiliana na changamoto zilizomo vyuoni. Alisema...
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
Tahliso wataka mikopo 100%
JUMUIYA ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu Tanzania (Tahliso), imeitaka serikali kutoa mikopo asilimia 100 kwa wanafunzi wote waliodahiliwa katika taasisi mbalimbali za elimu ya juu na kuondokana na dhana...