Wanasheria wasisitiza kura ya siri
Wanasheria mbalimbali nchini wamesisitiza kutumika kwa kura ya siri kama ilivyopendekezwa kwenye kanuni za Bunge la Katiba ili kuwapatia uhuru zaidi wajumbe hao na kuepuka misimamo inayowabana kutoka ndani ya makundi yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
Kura ni siri ya mtu
NICHUKUE nafasi hii kuwatakia wasomaji wangu uchaguzi mzuri, huru na wa amani.
Privatus Karugendo
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Kura ya siri Katiba Mpya
11 years ago
Habarileo11 Mar
Kura za siri,wazi kiporo
BADO MUAFAKA! Ndivyo ilivyojidhihirisha jana kwenye Bunge Maalum la Katiba, ambalo limeshindwa kufikia makubaliano ya kura gani, itumike wakati wa kupitisha uamuzi wa ibara za rasimu ya Katiba mpya. Kura inayobishaniwa na wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, ni kama iwe ya siri au wazi, jambo lililogawa Bunge hilo katika makundi mawili, yanayotofautiana kuhusu namna gani uamuzi ufanyike ndani ya Bunge hilo.
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Kura ya wazi, siri ruksa
UONGOZI wa Bunge Maalumu la Katiba umekubali kuondoa mapendekezo mapya ya marekebisho katika baadhi ya kanuni na badala yake umependekeza kutumika kwa kura za aina zote mbili za wazi au...
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Samuel Sitta: Kura ya siri
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Mjadala kura ya siri moto
11 years ago
Habarileo11 Mar
Kura ya siri, wazi kiporo
BADO MUAFAKA! Ndivyo ilivyojidhihirisha jana kwenye Bunge Maalum la Katiba, ambalo limeshindwa kufikia makubaliano ya kura gani, itumike wakati wa kupitisha uamuzi wa ibara za rasimu ya Katiba mpya.
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Mrema: Kura ya siri ni unafiki
11 years ago
Habarileo29 Mar
Kura ya siri, wazi kutumika pamoja
HATIMAYE Bunge Maalumu la Katiba limemaliza mvutano wa Kanuni, hasa kuhusu kura ya wazi au ya siri katika kufanya uamuzi wa kupitisha ibara na sura za rasimu ya Katiba, kwa kuamua kura zote zitumike kwa kadri mjumbe mmoja mmoja atakavyoona inafaa. Uamuzi huo uliamuliwa kwa kupiga kura ya wazi na siri na matokeo yalikuwa: