Mwenyekiti TAHLISO awaonya wanasiasa
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taaluma za Juu Tanzania (TAHLISO), Musa Mdede, amesema atahakikisha jumuiya hiyo inakaa mbali na masuala ya siasa ili kukabiliana na changamoto zilizomo vyuoni. Alisema...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Tahliso yacharukia wanasiasa
JUMUIYA ya Vyuo Vikuu Tanzania (Tahliso), imekemea vikali tabia ya baadhi ya wanasiasa nchini kutumia Serikali za wanafunzi wa vyuo hivyo kutoa matamko ya kuwaunga mkono katika hatakati zao za...
11 years ago
Habarileo19 Feb
RC awaonya wanasiasa wafitini
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bandera, amewaonya wanasiasa wakiwemo wa vyama vya upinzani wanaoendesha kampeni chafu zenye kuleta chuki kati ya Serikali na wananchi walioathirika na mafuriko katika vijiji vya Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa kuacha tabia hiyo.
9 years ago
Mtanzania02 Sep
Msajili awaonya wanasiasa wanaokiuka makubaliano
Na Mauli Muyenjwa, Dar es Salaam
MSAJILI wa Vyama vya Siasa, Francis Mutungi amesema licha ya uchaguzi wa mwaka huu kughubikwa na ushindani, muda muafaka ukifika rungu litawadondokea wanasiasa wanaokwenda kinyume na makubaliano waliyoyasaini.
Alitoa kauli hiyo Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa mafunzo kwa mawakala wa usimamizi wa vyama vya siasa ya kuwaandaa katika uchaguzi mwaka wa mwaka huu.
“ Tuelewe kwamba kuna maisha baada ya uchaguzi, wanasiasa wafanye amani iwe kipaumbele...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6peLjrlPn44/Xl5s0k0QGqI/AAAAAAALgxE/RO-rKJabWGkLfQLnC2mgkJBx-OEMk30NQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI JAMES MBATIA AWATAKA WANASIASA KUSHINDANA KWA HOJA SIO KULUMBANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6peLjrlPn44/Xl5s0k0QGqI/AAAAAAALgxE/RO-rKJabWGkLfQLnC2mgkJBx-OEMk30NQCLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya Jamii
MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi James Mbatia amesema kuwa Rais Dk.John Magufuli amewathibitishia vyama vya upinzani nchini Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu unaotarajia kufanyika Oktoba utakuwa wa huru na haki.
Mbatia ameyasema hayo leo Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Dk.John Magufuli ambapo katika mazungumzo yao moja ya...
9 years ago
Habarileo12 Dec
Tahliso wamkubali Magufuli
SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu (Tahliso) wamepongeza hatua ya Serikali ya Rais John Magufuli kuongeza idadi ya wanafunzi ambao wamepata mikopo ya elimu ya juu kutoka wanafunzi 34,128 mwaka jana hadi kufikia wanafunzi 53,032 mwaka huu.
10 years ago
TheCitizen14 Sep
Tahliso: End CA sessions
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Tahliso wasisitiza kuandamana
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
TAHLISO yaibuka sakata la Mdede
WAJUMBE wa Jumuiya ya Serikali za Wanafunzi wa Taasisi na Vyuo Vikuu nchini (TAHLISO), wamedai kuwa Rais wao Mussa Mdede ametekwa kisiasa kutokana na msimamo wake wa uongozi. Hivyo, wamelitaka...
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Tahliso kujadili rasimu ya Katiba
JUMUIYA ya Wanafunzi wa Vyuo vya Juu nchini (Tahliso) inatarajia kufanya mkutano mwishoni mwa Aprili jijini Dar es Salaam kujadili mambo mbalimbali ikiwemo masuala yahusuyo rasimu ya pili ya Katiba....