RC awaonya wanasiasa wafitini
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bandera, amewaonya wanasiasa wakiwemo wa vyama vya upinzani wanaoendesha kampeni chafu zenye kuleta chuki kati ya Serikali na wananchi walioathirika na mafuriko katika vijiji vya Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa kuacha tabia hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Mwenyekiti TAHLISO awaonya wanasiasa
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taaluma za Juu Tanzania (TAHLISO), Musa Mdede, amesema atahakikisha jumuiya hiyo inakaa mbali na masuala ya siasa ili kukabiliana na changamoto zilizomo vyuoni. Alisema...
9 years ago
Mtanzania02 Sep
Msajili awaonya wanasiasa wanaokiuka makubaliano
Na Mauli Muyenjwa, Dar es Salaam
MSAJILI wa Vyama vya Siasa, Francis Mutungi amesema licha ya uchaguzi wa mwaka huu kughubikwa na ushindani, muda muafaka ukifika rungu litawadondokea wanasiasa wanaokwenda kinyume na makubaliano waliyoyasaini.
Alitoa kauli hiyo Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa mafunzo kwa mawakala wa usimamizi wa vyama vya siasa ya kuwaandaa katika uchaguzi mwaka wa mwaka huu.
“ Tuelewe kwamba kuna maisha baada ya uchaguzi, wanasiasa wafanye amani iwe kipaumbele...
10 years ago
Habarileo18 Sep
Kinana: Viongozi CCM wafitini, wabaguzi
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amekemea dhambi ya fitina na ubaguzi ndani ya chama hicho. Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika ziara yake wilayani Mafia, Kinana alisema fitina, ubaguzi miongoni mwa viongozi, zimekuwa chanzo cha kuwavuruga watu badala ya kuwatafutia maendeleo.
10 years ago
Mwananchi22 Feb
JACK PENTEZEL: Awajia juu wafitini wa penzi lake
10 years ago
Dewji Blog13 Oct
Mama Asha Iddi awataka wazanzibar wawapuuze wafitini
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi akizungumza na wananachi na wanavikundi vya ushirika katika kijiji cha Mvuleni Kidoti kutekeleza ahadi aliyowapa hivi karibuni ya kusaidia vikundi vya akina mama.
Wananchi wameombwa kuendelea na harakati zao za kujitafutia maendeleo baada ya kumalizika kwa bunge Malum la Katiba hivi karibuni na kuachana porojo zinazopigwa na baadhi ya watu ambazo zinaweza kuviza maelekeo wao.
Ombi hilo limetolewa na Mke wa Makamu wa Pili wa...
11 years ago
Habarileo20 Feb
RC awaonya wafugaji
SERIKALI mkoani hapa imeazimia kuchukua hatua za kisheria kwa mtu yeyote atakayekiuka utaratibu wa kisheria wa kutaka kuhamia katika maeneo ya Mkoa wa Mbeya kwa ajili ya ufugaji. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro alitoa msisitizo huo alipokuwa kwenye ziara ya kikazi wilayani Chunya, ambapo aliitaja wilaya hiyo kuwa miongoni mwa wilaya zilizokithiri kwa maeneo yake kuvamiwa na wafugaji wanaohamia bila kufuata utaratibu.
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Sadik awaonya vijana
MKUU wa Mkoa Dar es Salaam, Said Meck Sadik, amewataka vijana kujiepusha na mapenzi ya kunyonyana ulimi kwa sababu njia hiyo inatajwa kuwa chanzo cha maambukizi wa Homa ya Ini...
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Lukuvi awaonya wafanyabiashara
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge),William Lukuvi, amewakemea baadhi ya wafanyabiashara kuacha kutumia jina lake na kuvamia maeneo ya watu kwa nia ya kudhulumu maeneo...
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Simbachawene awaonya wajumbe
MJUMBE wa Bunge Maalumu, George Simbachawene, amewaonya wajumbe wenzake waache kumbeza Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Warioba na rasimu ya Katiba iliyotolewa na tume hiyo. Simbachawene alitoa...