Msajili awaonya wanasiasa wanaokiuka makubaliano
Na Mauli Muyenjwa, Dar es Salaam
MSAJILI wa Vyama vya Siasa, Francis Mutungi amesema licha ya uchaguzi wa mwaka huu kughubikwa na ushindani, muda muafaka ukifika rungu litawadondokea wanasiasa wanaokwenda kinyume na makubaliano waliyoyasaini.
Alitoa kauli hiyo Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa mafunzo kwa mawakala wa usimamizi wa vyama vya siasa ya kuwaandaa katika uchaguzi mwaka wa mwaka huu.
“ Tuelewe kwamba kuna maisha baada ya uchaguzi, wanasiasa wafanye amani iwe kipaumbele...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi23 Oct
RC awaonya wagombea wanaokiuka sheria
10 years ago
Mtanzania11 May
Nyalandu awaonya wanaokiuka sheria
NA MWANDISHI WETU, BUSEGA
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema atawachukulia hatua watendaji wa wizara yake wanaofanya kazi kwa kukiuka sheria za kazi.
Amesema kwamba, kama watumishi hao wanadhani hana mamlaka ya kuwachukulia hatua, wanatakiwa kujua uwezo huo anao kwa mujibu wa sheria.
Kutokana na hali hiyo, amewataka wananchi wakiwamo wafugaji, wamfikishie taarifa sahihi za watendaji wanaokiuka sheria kwa kuwatoza faini kinyume cha sheria ili aweze kuwachukulia...
11 years ago
Habarileo10 Jan
Msajili awaonya Chadema, Zitto
MGOGORO wa uongozi unaoendelea ndani ya Chadema, umemlazimisha Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, kukemea na kutaka pande zinazopingana kuzuia wafuasi kujihusisha na vurugu na uvunjifu wa amani.
11 years ago
Habarileo19 Feb
RC awaonya wanasiasa wafitini
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bandera, amewaonya wanasiasa wakiwemo wa vyama vya upinzani wanaoendesha kampeni chafu zenye kuleta chuki kati ya Serikali na wananchi walioathirika na mafuriko katika vijiji vya Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa kuacha tabia hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Mwenyekiti TAHLISO awaonya wanasiasa
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taaluma za Juu Tanzania (TAHLISO), Musa Mdede, amesema atahakikisha jumuiya hiyo inakaa mbali na masuala ya siasa ili kukabiliana na changamoto zilizomo vyuoni. Alisema...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EkxufIMWNX4/VijBs3iGt0I/AAAAAAAIBqo/-ihlVx9E3vE/s72-c/Jaji%2B01.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFAA NA MSAJILI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-EkxufIMWNX4/VijBs3iGt0I/AAAAAAAIBqo/-ihlVx9E3vE/s640/Jaji%2B01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hp5y7Ax4H2M/VijBsx0Uw9I/AAAAAAAIBqs/quvXx-_wz_k/s640/Jaji%2B02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8UuQ1zi50rQ/VijBuAVR5LI/AAAAAAAIBq8/wGIIg9LOEC0/s640/Jaji%2B05.jpg)
10 years ago
Habarileo24 Dec
JK ataka wanaokiuka maadili kuwajibishwa
RAIS Jakaya Kikwete amesema ni lazima watumishi wa umma wanaokiuka maadili ya utumishi wa umma wawajibishwe ili iwe fundisho kwao na kwa wengine.
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
‘Wanaokiuka haki za binadamu wabanwe’
SERIKALI imetakiwa kutoona haya kuwachukulia hatua watu wanaobainika kukiuka haki za binadamu kwa wananchi kwa kujichukulia sheria mkononi. Askofu mstaafu wa Kanisa la Evanjilist Assemblies of God of Tanzania (EAGT),...
10 years ago
Uhuru Newspaper27 Oct
Wanaokiuka kutoa taarifa waonywa
NA RACHEL KYALA
KIONGOZI yeyote atakayeshindwa kurejesha fomu za tamko la Rasilimali na Madeni ya Viongozi katika muda uliowekwa, anapaswa kutambua kuwa hilo ni kosa na ukiukwaji wa Maadili ya Viongozi wa Umma, imeelezwa.
Taarifa kwa Umma iliyotolewa na Kamishna wa Maadili, imesema viongozi wa umma wanapaswa kujua kuwa si wajibu wa kisheria kwa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi kuwapelekea viongozi fomu hizo.
Aidha kupitia taarifa hiyo wametakiwa kuzingatia kuwa ni wajibu wa kiongozi husika...