Mama Asha Iddi awataka wazanzibar wawapuuze wafitini
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi akizungumza na wananachi na wanavikundi vya ushirika katika kijiji cha Mvuleni Kidoti kutekeleza ahadi aliyowapa hivi karibuni ya kusaidia vikundi vya akina mama.
Wananchi wameombwa kuendelea na harakati zao za kujitafutia maendeleo baada ya kumalizika kwa bunge Malum la Katiba hivi karibuni na kuachana porojo zinazopigwa na baadhi ya watu ambazo zinaweza kuviza maelekeo wao.
Ombi hilo limetolewa na Mke wa Makamu wa Pili wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VybbdaYedb8/U8jYNmpv-bI/AAAAAAAF3TM/zpA8vS5meHo/s72-c/unnamed+(57).jpg)
Mama Asha Suleimani Iddi katika Futari ya Jumuiya Madrasatul Hidayatul Islamia ya Kijiji cha kidoti Wilaya ya Kaskazini “ A” Mkoa wa Kaskazini Unguja
10 years ago
Dewji Blog16 Sep
Balozi Seif Iddi awataka viongozi wa dini kuhubiri amani
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiingia ndani ya Ukumbi wa Masai Laugwa Wilaya ya Bagamoyo kuzindua Tamasha la Kuliombea Taifa Amani lililoandaliwa na Kanisa la Restoration { Restoration Bible Church }.Kulia kwa Balozi Seif ni Makamu Askofu Mkuu wa Restoration Bible Church Tanzania Askofu Sedrick Ndonde na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Nd. Ahmed Kipozi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema Viongozi wa Kidini wanapaswa kuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GXkZuHVrHfo/U-oRNVhfu9I/AAAAAAAF-6g/UpkqD7iuicU/s72-c/1.jpg)
MAMA ASHA BILAL AZINDUA OMO FASTACTION JIJINI DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-GXkZuHVrHfo/U-oRNVhfu9I/AAAAAAAF-6g/UpkqD7iuicU/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FDbKY0vWS78/U-oRPQxXYcI/AAAAAAAF-6w/IuXkIcVd9E8/s1600/13.jpg)
Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Unilever kwa Afrika Mashariki,Marc Engel akitoa hotuba yake wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Sabuni ya kufulia ya OMO FastAction uliofanyika rasmi leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
![](http://4.bp.blogspot.com/-hoGjUzzJXrI/U-oRUxjbbaI/AAAAAAAF-74/KrQLXdS_dww/s1600/20.jpg)
Meneja ...
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
Mama Asha Bilal azindua “Omo Fast Action” jijini Dar leo
Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha Bilal akitoa hotuba yake wakati alipokuwa Mgeni Rasmi kwenye hafla ya Uzinduzi wa Sabuni ya kufulia ya OMO FastAction uliofanyika rasmi leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
Kampuni ya Unilever Tanzania Limited, leo hii imezindua rasmi toleo jipya la sabuni yake ya kufulia ya Omo ambayo inaondoa madoa sugu haraka zaidi na kuacha nguo zikinukia vizuri. Sabuni hiyo mpya ya ‘Omo Fast Action’ imezinduliwa katika...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5YVTJKPEoYw/UwSoE5VcNZI/AAAAAAAFN_8/jjlvUnrDfLs/s72-c/unnamed+(84).jpg)
mama asha bilali afungua Tamasha la mwanamke na akiba leo Dar Live, Mbagala
![](http://3.bp.blogspot.com/-5YVTJKPEoYw/UwSoE5VcNZI/AAAAAAAFN_8/jjlvUnrDfLs/s1600/unnamed+(84).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ux7PIWU8spI/UwSoGvfbp9I/AAAAAAAFOAE/e5E-lr4--Oo/s1600/unnamed+(83).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8KDOhAeyz9c/UwSoL5h7njI/AAAAAAAFOAM/PtI6t6KA-vI/s1600/unnamed+(85).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BzeBmnv4wJU/UxtnEmo9lbI/AAAAAAAFSJQ/YQyZTOsHDgc/s72-c/unnamed+(38).jpg)
MAMA ASHA BILAL MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI YALIYOANDALIWA NA 8020 Fashions
![](http://4.bp.blogspot.com/-BzeBmnv4wJU/UxtnEmo9lbI/AAAAAAAFSJQ/YQyZTOsHDgc/s1600/unnamed+(38).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PqeZWqmKby0/Uxtnn0aHCRI/AAAAAAAFSKQ/G7MASJ9x708/s1600/unnamed+(46).jpg)
11 years ago
MichuziMAMA KIKWETE AWATAKA WANAWAKE WAISHIO UGHAIBUNI KUPENDANA
Rai hiyo imetolewa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na wanawake wafanya biashara na wajasiriamali kutoka majimbo ya Washington DC, Wilaya ya Colombia, Maryland na Virginia katika ukumbi wa mikutano wa ubalozi wa...
11 years ago
Habarileo19 Feb
RC awaonya wanasiasa wafitini
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bandera, amewaonya wanasiasa wakiwemo wa vyama vya upinzani wanaoendesha kampeni chafu zenye kuleta chuki kati ya Serikali na wananchi walioathirika na mafuriko katika vijiji vya Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa kuacha tabia hiyo.