Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mama Asha Iddi awataka wazanzibar wawapuuze wafitini

759

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi akizungumza na wananachi na wanavikundi vya ushirika katika kijiji cha Mvuleni Kidoti kutekeleza ahadi aliyowapa hivi karibuni ya kusaidia vikundi vya akina mama.

Wananchi wameombwa kuendelea na harakati zao za kujitafutia maendeleo  baada ya kumalizika kwa bunge Malum la Katiba hivi karibuni na kuachana porojo zinazopigwa na baadhi ya watu ambazo zinaweza kuviza maelekeo wao.

Ombi hilo limetolewa na Mke wa Makamu wa Pili wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mama Asha Suleimani Iddi katika Futari ya Jumuiya Madrasatul Hidayatul Islamia ya Kijiji cha kidoti Wilaya ya Kaskazini “ A” Mkoa wa Kaskazini Unguja

Na Othman Khamis Ame, OMPRWakati kumi la mwanzo la Rehema na lile la pili la maghfira yaliyomo ndani ya mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan yakimalizika waumini wa Dini ya Kiislamu hivi sasa wanaendelea na ibada katika kukamilisha kumi la mwisho la mwezi huu mtukufu wa Ramadhani la kuachwa huru na moto. Ibada hii ya funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani inamuwajibikia kila muumini wa Dini hiyo aliyefikia balegh na akili timamu kuitekeleza ikiwa ni ya Nne kati ya tano ya nguzo za...

 

10 years ago

Dewji Blog

Balozi Seif Iddi awataka viongozi wa dini kuhubiri amani

581

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiingia ndani ya Ukumbi wa Masai Laugwa Wilaya ya Bagamoyo kuzindua Tamasha la Kuliombea Taifa Amani lililoandaliwa na Kanisa la Restoration { Restoration Bible Church }.Kulia kwa Balozi Seif ni Makamu Askofu Mkuu wa Restoration Bible Church Tanzania Askofu Sedrick Ndonde na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya  Bagamoyo Nd. Ahmed Kipozi.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema Viongozi wa Kidini wanapaswa kuwa...

 

11 years ago

Michuzi

MAMA ASHA BILAL AZINDUA OMO FASTACTION JIJINI DAR LEO

 Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mama Asha Bilal akitoa hotuba yake wakati alipokuwa Mgeni Rasmi kwenye hafla ya Uzinduzi wa Sabuni ya kufulia ya OMO FastAction uliofanyika rasmi leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Unilever kwa Afrika Mashariki,Marc Engel akitoa hotuba yake wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Sabuni ya kufulia ya OMO FastAction uliofanyika rasmi leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
Meneja ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mama Asha Bilal azindua “Omo Fast Action” jijini Dar leo

1

 Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha Bilal akitoa hotuba yake wakati alipokuwa Mgeni Rasmi kwenye hafla ya Uzinduzi wa Sabuni ya kufulia ya OMO FastAction uliofanyika rasmi leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.

Kampuni ya Unilever Tanzania Limited, leo hii imezindua rasmi toleo jipya la sabuni yake ya kufulia ya Omo ambayo inaondoa madoa sugu haraka zaidi na kuacha nguo zikinukia vizuri. Sabuni hiyo mpya ya ‘Omo Fast Action’ imezinduliwa katika...

 

11 years ago

Michuzi

mama asha bilali afungua Tamasha la mwanamke na akiba leo Dar Live, Mbagala

 Mkurugenzi  Mkuu wa Angles Moments  Naima Malima  akisoma risala ya kumkaribisha mgeni rasmi Mke wa Makamo wa Rais, Mama Asha Bilali katika ufunguzi wa  tamasha la Mwanawake weka akiba litakalofanyika kwa siku tatu katika viwanja vya Dar live Mbagala.   Mke wa makamu wa Rais Mama Asha Bilali ambaye alikuwa mgeni rasmi wa Tamasha la   Mwanawake weka akiba, akisoma hotuba  ya ufungunzi wa tamasha hilo,leo jijini Dar es salaam katika viwanja vya Dar live Mbagala.  Mke wa Waziri Mkuu...

 

11 years ago

Michuzi

MAMA ASHA BILAL MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI YALIYOANDALIWA NA 8020 Fashions

 Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Asha Bilal (kulia) akibonyeza kitufe kufungua maonesho ya kazi za wanawake wakati wa Maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani zilizofanyika leo ukumbi wa Diamond Jubilee hall jijini Dar es salaam. Kushoto ni mwandaaji wa maonesho haya Bi. Shamim Mwasha ambaye ni mmiliki na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya 8020 Fashions (http://www.8020fashionsblog.com/)  Mama Asha Bilal akiingia kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee  wakati wa...

 

11 years ago

Michuzi

MAMA KIKWETE AWATAKA WANAWAKE WAISHIO UGHAIBUNI KUPENDANA

 Wanawake wa kitanzania waishio Ughaibuni wamewatakiwa kuondoa tofauti zao za mitizamo, maoni, dini na makabila bali wapendane, kuaminiana na kushirikiana ili kwa pamoja waweze kukabiliana na changamoto mbalimbali  zinazowakabili na hivyo kujiletea maendeleo.
Rai hiyo imetolewa  jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na wanawake wafanya biashara na wajasiriamali  kutoka majimbo ya Washington DC, Wilaya ya Colombia, Maryland na Virginia katika ukumbi wa mikutano wa ubalozi wa...

 

11 years ago

Habarileo

RC awaonya wanasiasa wafitini

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bandera, amewaonya wanasiasa wakiwemo wa vyama vya upinzani wanaoendesha kampeni chafu zenye kuleta chuki kati ya Serikali na wananchi walioathirika na mafuriko katika vijiji vya Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa kuacha tabia hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani