mama asha bilali afungua Tamasha la mwanamke na akiba leo Dar Live, Mbagala
![](http://3.bp.blogspot.com/-5YVTJKPEoYw/UwSoE5VcNZI/AAAAAAAFN_8/jjlvUnrDfLs/s72-c/unnamed+(84).jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Angles Moments Naima Malima akisoma risala ya kumkaribisha mgeni rasmi Mke wa Makamo wa Rais, Mama Asha Bilali katika ufunguzi wa tamasha la Mwanawake weka akiba litakalofanyika kwa siku tatu katika viwanja vya Dar live Mbagala.
Mke wa makamu wa Rais Mama Asha Bilali ambaye alikuwa mgeni rasmi wa Tamasha la Mwanawake weka akiba, akisoma hotuba ya ufungunzi wa tamasha hilo,leo jijini Dar es salaam katika viwanja vya Dar live Mbagala.
Mke wa Waziri Mkuu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziPPF YAANDIKISHA WANACHAMA WAPYA KATIKA TAMASHA LA MWANAMKE NA AKIBA LINALOENDELEA KUFANYIKA KATIKA UKUMBI WA DAR LIVE
10 years ago
Dewji Blog26 May
Juma Nature na wenzake kuiteka Dar katika tamasha la “Komaa” litakalofanyika jumamosi ukumbi wa Dar Live Mbagala
Msanii Juma Nature ‘Kiroboto’ akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu tamasha kubwa la kuadhimisha miaka 16 ya kazi zake za muziki nchini pamoja na hitimisho la sherehe za mwaka mmoja za Kituo cha Redio cha EFM linalofahamika kwa jina la Komaa Concert litakalofanyika kwa mara ya kwanza Jumamosi Ukumbi wa Dar Live Mbagala kuanzia saa 12 jioni. Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Mahusiano na Mawasiliano wa Kituo cha Redio cha EFM, Denis Ssebo,...
10 years ago
VijimamboJUMA NATURE NA WENZAKE KUITEKA DAR ES SALAAM KATIKA TAMASHA LA KOMAA LITAKALOFANYIKA JUMAMOSI UKUMBI WA DAR LIVE MBAGALA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GXkZuHVrHfo/U-oRNVhfu9I/AAAAAAAF-6g/UpkqD7iuicU/s72-c/1.jpg)
MAMA ASHA BILAL AZINDUA OMO FASTACTION JIJINI DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-GXkZuHVrHfo/U-oRNVhfu9I/AAAAAAAF-6g/UpkqD7iuicU/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FDbKY0vWS78/U-oRPQxXYcI/AAAAAAAF-6w/IuXkIcVd9E8/s1600/13.jpg)
Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Unilever kwa Afrika Mashariki,Marc Engel akitoa hotuba yake wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Sabuni ya kufulia ya OMO FastAction uliofanyika rasmi leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
![](http://4.bp.blogspot.com/-hoGjUzzJXrI/U-oRUxjbbaI/AAAAAAAF-74/KrQLXdS_dww/s1600/20.jpg)
Meneja ...
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
Mama Asha Bilal azindua “Omo Fast Action” jijini Dar leo
Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha Bilal akitoa hotuba yake wakati alipokuwa Mgeni Rasmi kwenye hafla ya Uzinduzi wa Sabuni ya kufulia ya OMO FastAction uliofanyika rasmi leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
Kampuni ya Unilever Tanzania Limited, leo hii imezindua rasmi toleo jipya la sabuni yake ya kufulia ya Omo ambayo inaondoa madoa sugu haraka zaidi na kuacha nguo zikinukia vizuri. Sabuni hiyo mpya ya ‘Omo Fast Action’ imezinduliwa katika...
11 years ago
GPLMAMA SALMA KIKWETE AZINDUA UWAMBA DAR LIVE LEO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzn4ICuAlE7IHWgfWFNSIFFXZM0D5cbHBbLAKkrLUTtSmHWlT-wJK3KByVdp6xiSwL*khOuKSYJxZtHN-ZMam-dvRYOS5LRc/diamond2.jpg?width=650)
DIAMOND AFANYA MAJARIBIO DAR LIVE TAYARI KWA SHOO KALI YA TAMASHA LA WAFALME LEO USIKU
11 years ago
GPLDAR LIVE BONANZA LILIVYOTINGISHA MBAGALA JIJINI DAR