DIAMOND AFANYA MAJARIBIO DAR LIVE TAYARI KWA SHOO KALI YA TAMASHA LA WAFALME LEO USIKU
![](http://api.ning.com:80/files/dzn4ICuAlE7IHWgfWFNSIFFXZM0D5cbHBbLAKkrLUTtSmHWlT-wJK3KByVdp6xiSwL*khOuKSYJxZtHN-ZMam-dvRYOS5LRc/diamond2.jpg?width=650)
Msanii Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' akifanya majaribio ya vifaa ndani ya jukwaa la Dar Live. Diamond Platnumz na madansa wake wakifanya maandalizi katika jukwaa la kupanda na kushuka la Dar…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLTAMASHA LA WAFALME: MZEE YUSUF AFANYA KWELI, NYOMI YAPAGAWA DAR LIVE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfbR7iWUh2AVqXhQrhdvLf0bnZQttPOgTtb*5NoFb9HYoHorVJ1YRfJu2siwDODkYagzyeCmmIlhk58v2EWDTnY-/dd.jpg?width=650)
USIKU WA WAFALME DAR LIVE: DIAMOND KUTAMBULISHA MADANSA WAPYA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7oxPj1gJLkaa*zZMLEMbw0c52ZcfAFRWHHxEZHXXzUAoESoxoeTNR-1v6uVb32nXicEqXnW6L1s09Z-eZZEhMdwsBtwk2rR/Diamond.jpg)
USIKU WA WAFALME DAR LIVE DIAMOND: NILISHAGANDISHWA NIGERIA SAA 8
10 years ago
GPL27 Dec
10 years ago
GPLTAMASHA LA WAFALME: DIAMOND, MZEE YUSUF WAWEKA HISTORIA DAR LIVE
10 years ago
Dewji Blog29 Dec
VIDEO Tamasha la Wafalme: Diamond, Mzee Yusuf waweka historia Dar Live
MFALME wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ usiku wa Krismasi amewadhihirishia mashabiki wake kuwa ni mfalme baada ya kufanya makamuzi ya hatari katika Ukumbi wa Dar Live, Mbagala-Zakhem, jijini Dar kwenye Tamasha la Wafalmelililodhaminiwa na VODACOM pamoja na COCACOLA.
Staa huyo aligonga ngoma zake zote na kuzikonga vilivyo nyoyo za mashabiki waliofurika katika uwanja huo wa burudani.
Mbali na Diamond, Mfalme wa Taarab nchini, Mzee Yusuf naye alifanya shoo kali na kuwapagawisha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MiQiwIzvChtRy0RS1nfLr*AYnpixsifbxGR99mz*a3fltiTyX1eTVbINmu9*s4WdyjOQpSYLvBx6GCyWrA14nUV/2malaikaband3.jpg?width=650)
CHRISTIAN BELLA KUTUA LEO NCHINI, TAYARI KWA SHOO YAKE JUMAMOSI HII DAR LIVE
10 years ago
GPLTUNDA MAN AKIINGIA DAR LIVE TAYARI KWA SHOO
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Shoo ya kifalme Diamond ndani ya Dar live leo
Simba wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
MWANDISHI WETU
Dar es Salaam
SIKUKUU ya Krismasi si ndiyo leo? Jibu ni ‘ndiyooooo!’, sasa habari kamili ni kuwa wakazi wa Dar es Salaam na maeneo ya jirani, wote wanatarajiwa kukutana kwenye Ukumbi wa Dar Live, Mbagala-Zakhem ambapo Simba wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ atakuwa akifanya makamuzi.
Diamond, staa ambaye anasadikika kupata umaarufu mkubwa nje ya mipaka ya nchi zaidi ya wasanii wengi wa Bongo Fleva katika...