Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAMASHA LA WAFALME: DIAMOND PLATNUMZ AKIONGEA NA MASHABIKI WAKE DAR LIVE

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TAMASHA LA WAFALME: DIAMOND, MZEE YUSUF WAWEKA HISTORIA DAR LIVE

Diamond Platnumz akisema na mashabiki wake waliofurika Dar Live usiku wa kuamkia leo. Diamond akiwachombeza mashabiki.…

 

10 years ago

Dewji Blog

VIDEO Tamasha la Wafalme: Diamond, Mzee Yusuf waweka historia Dar Live

TAMASHALAWAFALME26

MFALME wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ usiku wa Krismasi amewadhihirishia mashabiki wake kuwa ni mfalme baada ya kufanya makamuzi ya hatari katika Ukumbi wa Dar Live, Mbagala-Zakhem, jijini Dar kwenye Tamasha la Wafalmelililodhaminiwa na VODACOM pamoja na COCACOLA.

Staa huyo aligonga ngoma zake zote na kuzikonga vilivyo nyoyo za mashabiki waliofurika katika uwanja huo wa burudani.

Mbali na Diamond, Mfalme wa Taarab nchini, Mzee Yusuf naye alifanya shoo kali na kuwapagawisha...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND AFANYA MAJARIBIO DAR LIVE TAYARI KWA SHOO KALI YA TAMASHA LA WAFALME LEO USIKU

Msanii Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' akifanya majaribio ya vifaa ndani ya jukwaa la Dar Live. Diamond Platnumz na madansa wake wakifanya maandalizi katika jukwaa la kupanda na kushuka la Dar…

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND THE PLATNUMZ AWARUSHIA BURUNGUTU LA MAMILION MASHABIKI WAKE KWENYE TAMASHA LA TIGO KIBOKO YAO LEADERSCLUB

Chini Diamond akiwamwagia pesa washabiki wenye chuki binafsi baada ya kumrushia chupa punde tu ya jina lake kutatwa iliapande jukwaani. Kuona hivyo alifungua kibuda cha wekundu wa msimbazi na kukimwaga mbele yao na kisha kuanza kuimba baada ya wale wenye fujo kuwa busy na kugombea pesa. Hizo ni nyepesi nyepesi na udambwidambwi wa siku ya show ya tigo kiboko yao iliyoshirikisha wakali kibao wa mziki wa kizazi kipya kwenye viwanja vya leaders kinomdoni.

 

10 years ago

Michuzi

Diamond na Mzee Yusuf kuwasha moto Dar Live Krismas katika tamasha la wafalme chini ya Vodacom Tanzania, Moto mwingine wa burudani utakuwa Coco beach

Wapenzi wa burudani  ya muziki wa kizazi kipya na muziki wa taarabu watapata burudani ya funga mwaka kutoka kwa gwiji wa muziki wa kizazi kipya ambaye anatamba kwa vipao mbalimbali vipya Diamond Platnumz na mfalme wa muziki wa taarabu Mzee Yusuf  na kundi lake la Jahazi Modern Taarab watapanda jukwaa moja katika”Tamasha Wafalme”litakalofanyika katika ukumbi wa Dar Live,Mbagala jijini Dar es Salaam.Tamasha hili  la wafalme ambalo limeanza kuwa gumzo la  jiji kutokana na kuwa na burudani za...

 

9 years ago

Global Publishers

Diamond alivyokonga nyoyo za mashabiki wake Dar Live

IMG_1377Staa wa Bongo fleva Diamond Platinumz akiimba kwa hisia.IMG_1394….Akicheza kwa mbwembwe.IMG_7155

IMG_7181

….Akicheza na madansa wake.

 

 

IMG_7201Diamond Platinumz akiwaimbisha mashabiki wake.

msagasumu akiimba wimbo wa shemeji unanitega (2)

Msagasumu akiwapagawisha mashabiki wake waliofurika kwenye ukumbi wa Dar Live.

msagasumu akikamua ngoma ya huyu mtoto

msagasumuu

….Akizidi kuwarusha.

 

9 years ago

Michuzi

Diamond awakaribisha mashabiki wake Dar Live X-mas hii

STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amewaahidi shoo ya nguvu mashabiki wake na kuwataka waje kwa wingi katika shoo kali ya kufunga mwaka itakayopigwa Dar Live, Mbagala Zakhem, Dar katika Sikukuu ya X-mas na kuwa hatawaangusha. 
 Diamond anayetamba na ngoma ya Utanipenda ameyaongea hayo leo kwenye mkutano maalum uliofanyika Karume, Dar ambao ulihusisha waandishi wa habari na wapenzi wa muziki kwa ajili ya kuzungumzia shoo hiyo kubwa kuliko inayojulikana kama Funga Mwaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani