Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond alivyokonga nyoyo za mashabiki wake Dar Live

IMG_1377Staa wa Bongo fleva Diamond Platinumz akiimba kwa hisia.IMG_1394….Akicheza kwa mbwembwe.IMG_7155

IMG_7181

….Akicheza na madansa wake.

 

 

IMG_7201Diamond Platinumz akiwaimbisha mashabiki wake.

msagasumu akiimba wimbo wa shemeji unanitega (2)

Msagasumu akiwapagawisha mashabiki wake waliofurika kwenye ukumbi wa Dar Live.

msagasumu akikamua ngoma ya huyu mtoto

msagasumuu

….Akizidi kuwarusha.

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Dj Bon Love alivyokonga nyoyo za mashabiki wa burudani katika usiku wa Heart & Soul

Mkali wa magoma hapa nchini na nje, Dj Bon Love akifanya yake katika Usiku wa Heart & Soul uliofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye kiota kinachobamba zaidi hapa mjini cha Raphsody, ndani ya Jengo la Viva Towers katikati ya Jiji la Dar. Dj Bon Love na maDJ wengine wakali hukutana pamoja kwenye kiota hicho ili kukonga nyoyo za wapenda Burudani kutoka maeneo mbalimbali.Usiku huo uliwezeswa kwa Udhanimi Mkubwa wa Kilaji ya Heineken. Baadhi ya Wadua wa Burudani wakiwepo DJ. Venture na...

 

9 years ago

Michuzi

Dj Bonny Love alivyokonga nyoyo za mashabiki wa burudani katika usiku wa Heart & Soul kiota cha maraha cha Raphsody ndani ya Jengo la Viva Towers jijini Dar

Mkali wa magoma hapa nchini na nje, Dj Bon Love akifanya yake katika Usiku wa Heart & Soul uliofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye kiota kinachobamba zaidi hapa mjini cha Raphsody, ndani ya Jengo la Viva Towers katikati ya Jiji la Dar. Dj Bon Love na maDJ wengine wakali hukutana pamoja kwenye kiota hicho ili kukonga nyoyo za wapenda Burudani kutoka maeneo mbalimbali.Usiku huo uliwezeswa kwa Udhanimi Mkubwa wa Kilaji ya Heineken.Baadhi ya Wadua wa Burudani wakiwepo DJ. Venture na...

 

9 years ago

Michuzi

Diamond awakaribisha mashabiki wake Dar Live X-mas hii

STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amewaahidi shoo ya nguvu mashabiki wake na kuwataka waje kwa wingi katika shoo kali ya kufunga mwaka itakayopigwa Dar Live, Mbagala Zakhem, Dar katika Sikukuu ya X-mas na kuwa hatawaangusha. 
 Diamond anayetamba na ngoma ya Utanipenda ameyaongea hayo leo kwenye mkutano maalum uliofanyika Karume, Dar ambao ulihusisha waandishi wa habari na wapenzi wa muziki kwa ajili ya kuzungumzia shoo hiyo kubwa kuliko inayojulikana kama Funga Mwaka...

 

10 years ago

GPL

MZEE YUSUF AZIKONGA NYOYO ZA MASHABIKI SIKUKUU YA EID MOSI, DAR LIVE

Mzee Yusuf akizikonga nyoyo za mashabiki wake ndani ya Ukumbi wa Dar Live katika Sikukuu ya Eid Mosi. Mfalme Mzee Yusuf akipelekeshana puta na wanenguaji wake wakati wa shoo hiyo ndani ya Dar Live.…

 

10 years ago

GPL

2O PERCENT AIBUKIA MORO, AKONGA NYOYO ZA MASHABIKI WAKE!

Mkali wa Bongo Fleva, Abbas Kinzasa a.k.a 20 Percent akitoa burudani. Mkali wa Bongo Fleva, Abbas Kinzasa a.k.a 20 Percent akiwa na bendi yake ya Mwakaulwi Sound.…

 

11 years ago

GPL

WASTARA AKIPOZI NA MASHABIKI WAKE NDANI YA DAR LIVE

Staa wa Bongo Movie, Wastara Juma, akipozi katika red carpet na mashabiki wake ndani ya Dar Live leo sikukuu ya…

 

10 years ago

Dewji Blog

Skylight Band yakonga nyoyo za mashabiki wake ndani ya Nyama Choma Festival

DSC_0020

Kikosi cha Skylight Band kikiongozwa na mkongwe wa muziki wa Live Band, Joniko Flower (kushoto) kutoa burudani kwa mashabiki wake ndani ya viwanja vya Leaders Club kwenye tamasha la Nyama Choma lilifanyika mwishoni mwa wiki. Kutoka kulia ni Sam Mapenzi, Aneth Kushaba AK47 pamoja na Sony Masamba.

DSC_0025

Swagga za Skylight Band hii inafahamika kama “Mashauzi” mkongwe Joniko Flower akiwasebenesha mashabiki wake ( hawapo pichani).

DSC_0030

Asali ya warembo Sam Mapenzi akifanya yake jukwaani kwenye tamasha la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani