WASTARA AKIPOZI NA MASHABIKI WAKE NDANI YA DAR LIVE
Staa wa Bongo Movie, Wastara Juma, akipozi katika red carpet na mashabiki wake ndani ya Dar Live leo sikukuu ya…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers27 Dec
Diamond alivyokonga nyoyo za mashabiki wake Dar Live
Staa wa Bongo fleva Diamond Platinumz akiimba kwa hisia.
….Akicheza kwa mbwembwe.
….Akicheza na madansa wake.
Diamond Platinumz akiwaimbisha mashabiki wake.
Msagasumu akiwapagawisha mashabiki wake waliofurika kwenye ukumbi wa Dar Live.
….Akizidi kuwarusha.
9 years ago
Michuzi23 Dec
Diamond awakaribisha mashabiki wake Dar Live X-mas hii
Diamond anayetamba na ngoma ya Utanipenda ameyaongea hayo leo kwenye mkutano maalum uliofanyika Karume, Dar ambao ulihusisha waandishi wa habari na wapenzi wa muziki kwa ajili ya kuzungumzia shoo hiyo kubwa kuliko inayojulikana kama Funga Mwaka...
10 years ago
GPL27 Dec
11 years ago
GPLJAHAZI YAONYESHA ‘UBABE’ WAKE DAR LIVE KWA MASHABIKI
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/01/DSC_0118.jpg?width=640)
SKYLIGHT BAND YAZIDI KUWATEKA MASHABIKI WAKE NDANI YA JIJI LA DAR
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Skylight Band yaendelea kulamba dume kwa mashabiki wake jijini Dar ndani ya kiota cha Thai Village
Majembe ya Skylight Band yakiporomosha burudani kwa mashabiki wake Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar. Kutoka kushoto ni mkongwe kwenye muziki wa dansi Joniko Flower a.k.a Baba lao, Sony Masamba a.k.a Fally Ipupa wa Bongo na Sam Mapenzi.
Pichani juu na chini ni mashabiki nao wakijibu mapigo ya sebene lililokuwa likiporomoshwa na majembe ya Skylight Band.
Kutoka kushoto ni mkongwe kwenye muziki wa dansi Joniko Flower a.k.a Baba lao, Sony Masamba a.k.a Fally...
11 years ago
Dewji Blog23 May
Skylight Band wazidi kuwapa raha zisizo na kifani mashabiki wake Jijini Dar, usikose leo ndani ya Thai Village
Sam Mapenzi akiliazisha Taratibuuuuu ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.
Vijana wa Skylight kwa Taaratibuuu wakiimba kwa hisiaa kali kuwapa burudani mashabiki wao ndani ya kiwanja cha Thai village.
Anaitwa Hashim Donode (mzee wa viduku)akiimba kwa Hisia kaliiiii kabisaaa ndani ya kiwanja cha Thai Village Ijumaaa iliyopita ili kuwapa ile kitu roho inapenda mashabiki wao.
Toka kushoto Digna Mbepera akimpa sapoti ya nguvu kijana machachariiiiii anayejulikana kwa jina la Donode...
10 years ago
Bongo Movies25 Dec
INASIKITISHA SANA: Hiki kitendo alichofanyiwa WASTARA na baadhi mashabiki wake si uungwana
“…Nilitukanwa sana jana kwa kuwish wenzangu kheri ya xmass na kuonekana sina dini... Niseme kitu kimoja wasanii kwenye mitandao hatupo kwa ajili ya kutangaza dini tupo kwa ajili ya kutangaza kazi zetu na kuwa karibu na nyinyi mashabiki wetu.
Pili kazi yangu hainunuliwi na watu wa dini moja tu mi nafikiri uvivu wa kufikiri na wepesi wa kusahau kuwa msanii ni nani ndio unawafanya maneno mengi yawatoke, mi msanii sio mwana zuoni msinivike taji lisilo kuwa langu, kama mahodari wa kufundisha...
10 years ago
Vijimambo07 Nov
SKYLIGHT BAND YAZIDI KUWABAMBA MASHABIKI WAKE WA MUZIKI WA LIVE, TUKUTANE BAADAE THAI VILLAGE
![DSC_0225](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0225.jpg)
![DSC_0179](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0179.jpg)
![DSC_0242](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0242.jpg)