Diamond awakaribisha mashabiki wake Dar Live X-mas hii
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amewaahidi shoo ya nguvu mashabiki wake na kuwataka waje kwa wingi katika shoo kali ya kufunga mwaka itakayopigwa Dar Live, Mbagala Zakhem, Dar katika Sikukuu ya X-mas na kuwa hatawaangusha.
Diamond anayetamba na ngoma ya Utanipenda ameyaongea hayo leo kwenye mkutano maalum uliofanyika Karume, Dar ambao ulihusisha waandishi wa habari na wapenzi wa muziki kwa ajili ya kuzungumzia shoo hiyo kubwa kuliko inayojulikana kama Funga Mwaka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers27 Dec
Diamond alivyokonga nyoyo za mashabiki wake Dar Live
Staa wa Bongo fleva Diamond Platinumz akiimba kwa hisia.
….Akicheza kwa mbwembwe.
….Akicheza na madansa wake.
Diamond Platinumz akiwaimbisha mashabiki wake.
Msagasumu akiwapagawisha mashabiki wake waliofurika kwenye ukumbi wa Dar Live.
….Akizidi kuwarusha.
10 years ago
GPL27 Dec
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Diamond: Njooni Dar Live X-mas, sitawaangusha!
Diamond Platnumz akiwasalimia mashabiki wake waliofurika katika eneo la Karume leo kwenye mkutano na wanahabari kuhusu shoo yake itakayofanyika Dar Live kwenye Sikukuu ya Krismasi.
Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda sambamba na mashabiki waliofurika Karume leo.
Mashabiki wakiwa wamepagawa wakati Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda.
Meneja Masoko wa Global Publishers na Dar Live, Innocent Mafuru (mwenye tisheti nyeupe aliyesimama kulia) akiwakaribisha wanahabari,...
9 years ago
Michuzi17 Dec
10 years ago
GPLDIAMOND PLATNUMZ, MZEE YUSUF WAAHIDI KUANGUSHA SHOO YA KUFA MTU DAR LIVE SIKUKUU YA X-MAS
11 years ago
GPLWASTARA AKIPOZI NA MASHABIKI WAKE NDANI YA DAR LIVE
11 years ago
GPLJAHAZI YAONYESHA ‘UBABE’ WAKE DAR LIVE KWA MASHABIKI
10 years ago
GPL27 Dec
10 years ago
GPLMWAIPAJA AKITOA BURUDANI DAR LIVE SIKUKUU YA X-MAS