Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond awakaribisha mashabiki wake Dar Live X-mas hii

STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amewaahidi shoo ya nguvu mashabiki wake na kuwataka waje kwa wingi katika shoo kali ya kufunga mwaka itakayopigwa Dar Live, Mbagala Zakhem, Dar katika Sikukuu ya X-mas na kuwa hatawaangusha. 
 Diamond anayetamba na ngoma ya Utanipenda ameyaongea hayo leo kwenye mkutano maalum uliofanyika Karume, Dar ambao ulihusisha waandishi wa habari na wapenzi wa muziki kwa ajili ya kuzungumzia shoo hiyo kubwa kuliko inayojulikana kama Funga Mwaka...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Diamond alivyokonga nyoyo za mashabiki wake Dar Live

IMG_1377Staa wa Bongo fleva Diamond Platinumz akiimba kwa hisia.IMG_1394….Akicheza kwa mbwembwe.IMG_7155

IMG_7181

….Akicheza na madansa wake.

 

 

IMG_7201Diamond Platinumz akiwaimbisha mashabiki wake.

msagasumu akiimba wimbo wa shemeji unanitega (2)

Msagasumu akiwapagawisha mashabiki wake waliofurika kwenye ukumbi wa Dar Live.

msagasumu akikamua ngoma ya huyu mtoto

msagasumuu

….Akizidi kuwarusha.

 

9 years ago

Global Publishers

Diamond: Njooni Dar Live X-mas, sitawaangusha!

Funga Mwaka Concert 2015 (7)Funga Mwaka Concert 2015 (9)

Diamond Platnumz akiwasalimia mashabiki wake waliofurika katika eneo la Karume leo kwenye mkutano na wanahabari kuhusu shoo yake itakayofanyika Dar Live kwenye Sikukuu ya Krismasi.

Funga Mwaka Concert 2015 (10)

Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda sambamba na mashabiki waliofurika Karume leo.

Funga Mwaka Concert 2015 (8)

Mashabiki wakiwa wamepagawa wakati Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda.

Funga Mwaka Concert 2015 (1)

Meneja Masoko wa Global Publishers na Dar Live, Innocent Mafuru (mwenye tisheti nyeupe aliyesimama kulia) akiwakaribisha wanahabari,...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ, MZEE YUSUF WAAHIDI KUANGUSHA SHOO YA KUFA MTU DAR LIVE SIKUKUU YA X-MAS

Wanamuziki Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' na Mzee Yusuf (kushoto) wakipozi baada ya kufanya mahojiano na wanahabari leo. Wanamuziki hao wakionyesha mbwebwe zao mbele ya wanahabari (hawapo pichani).…

 

11 years ago

GPL

WASTARA AKIPOZI NA MASHABIKI WAKE NDANI YA DAR LIVE

Staa wa Bongo Movie, Wastara Juma, akipozi katika red carpet na mashabiki wake ndani ya Dar Live leo sikukuu ya…

 

11 years ago

GPL

JAHAZI YAONYESHA ‘UBABE’ WAKE DAR LIVE KWA MASHABIKI

Mzee Yusuf akikidhi kiu ya mashabiki wake.   Mashabiki ‘wakila muziki’.  …

 

10 years ago

GPL

MWAIPAJA AKITOA BURUDANI DAR LIVE SIKUKUU YA X-MAS

Joseph Mwaipaja  akiwapagawisha maelfu ya mashabiki waliofurika katika Uwanja wa Burudani wa Dar mchana wa leo jijini Dar kwa kuchezea baiskeli. …

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani