Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond: Njooni Dar Live X-mas, sitawaangusha!

Funga Mwaka Concert 2015 (7)Funga Mwaka Concert 2015 (9)

Diamond Platnumz akiwasalimia mashabiki wake waliofurika katika eneo la Karume leo kwenye mkutano na wanahabari kuhusu shoo yake itakayofanyika Dar Live kwenye Sikukuu ya Krismasi.

Funga Mwaka Concert 2015 (10)

Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda sambamba na mashabiki waliofurika Karume leo.

Funga Mwaka Concert 2015 (8)

Mashabiki wakiwa wamepagawa wakati Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda.

Funga Mwaka Concert 2015 (1)

Meneja Masoko wa Global Publishers na Dar Live, Innocent Mafuru (mwenye tisheti nyeupe aliyesimama kulia) akiwakaribisha wanahabari,...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Diamond: Njooni Dar Live X-mass, sitawaangusha!

Funga Mwaka Concert 2015 (7)

Funga Mwaka Concert 2015 (9)

Diamond Platnumz akiwasalimia mashabiki wake waliofurika katika eneo la Karume leo kwenye mkutano na wanahabari kuhusu shoo yake itakayofanyika Dar Live kwenye Sikukuu ya Krismasi.

Funga Mwaka Concert 2015 (10)

Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda sambamba na mashabiki waliofurika Karume leo.

Funga Mwaka Concert 2015 (8)

Mashabiki wakiwa wamepagawa wakati Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda.

Funga Mwaka Concert 2015 (1)

Meneja Masoko wa Global Publishers na Dar Live, Innocent Mafuru (mwenye tisheti nyeupe aliyesimama kulia) akiwakaribisha wanahabari,...

 

9 years ago

Michuzi

Diamond awakaribisha mashabiki wake Dar Live X-mas hii

STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amewaahidi shoo ya nguvu mashabiki wake na kuwataka waje kwa wingi katika shoo kali ya kufunga mwaka itakayopigwa Dar Live, Mbagala Zakhem, Dar katika Sikukuu ya X-mas na kuwa hatawaangusha. 
 Diamond anayetamba na ngoma ya Utanipenda ameyaongea hayo leo kwenye mkutano maalum uliofanyika Karume, Dar ambao ulihusisha waandishi wa habari na wapenzi wa muziki kwa ajili ya kuzungumzia shoo hiyo kubwa kuliko inayojulikana kama Funga Mwaka...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ, MZEE YUSUF WAAHIDI KUANGUSHA SHOO YA KUFA MTU DAR LIVE SIKUKUU YA X-MAS

Wanamuziki Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' na Mzee Yusuf (kushoto) wakipozi baada ya kufanya mahojiano na wanahabari leo. Wanamuziki hao wakionyesha mbwebwe zao mbele ya wanahabari (hawapo pichani).…

 

10 years ago

GPL

MWAIPAJA AKITOA BURUDANI DAR LIVE SIKUKUU YA X-MAS

Joseph Mwaipaja  akiwapagawisha maelfu ya mashabiki waliofurika katika Uwanja wa Burudani wa Dar mchana wa leo jijini Dar kwa kuchezea baiskeli. …

 

10 years ago

GPL

Kiba: Njooni muone jinsi ninavyopiga na ‘live’ bendi

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Saleh ‘Kiba’. Said Ally, Dar es Salaam
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Saleh ‘Kiba’, ametamka wazi kuwa, amejipanga vya kutosha kuhakikisha anawapagawisha mashabiki wake watakaojitokeza katika shoo ya Mwana Dar Live ambayo itaunguruma katika Sikukuu ya Pasaka, Aprili 5, mwaka huu. Akizungumza na Championi Jumatano, Kiba alisema amejipanga vya...

 

9 years ago

Global Publishers

Diamond kuwasha moto Dar Live

ymCTBkpDiamond Platinumz.

KWENYE bodaboda, bajaj zote za town, redioni, luningani na kwenye mitandao mingi inazungumziwa pini mpya ya Utanipenda, kitu kipya cha Diamond Platinumz maarufu mitaani kama Baba Tiffah.

Wakati hayo yakiendelea, mwishoni mwa wiki iliyopita, yeye na mpenziwe, Zarinah Hassan au Mama Tiffah, wakafanikiwa kujiongezea tuzo nyingine ya ASFA 2015 katika kipengele cha Best Couple ya Afrika Mashariki, zilizotolewa Uganda.

Ukiachana na hiyo tuzo na nyingine nyingi alizokomba na...

 

10 years ago

GPL

LIVE KUTOKA DAR LIVE: BURUDANI ZA MWANZO KABLA YA SHOO YA MWANA DAR LIVE

Waimbaji wa Mashauzi Classic wakiwa stejini. Msanii wa Bongo Fleva, Aisha Amsha Popo akifanya vitu vyake katika steji ya Dar Live usiku huu.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani