Diamond: Njooni Dar Live X-mas, sitawaangusha!
Diamond Platnumz akiwasalimia mashabiki wake waliofurika katika eneo la Karume leo kwenye mkutano na wanahabari kuhusu shoo yake itakayofanyika Dar Live kwenye Sikukuu ya Krismasi.
Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda sambamba na mashabiki waliofurika Karume leo.
Mashabiki wakiwa wamepagawa wakati Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda.
Meneja Masoko wa Global Publishers na Dar Live, Innocent Mafuru (mwenye tisheti nyeupe aliyesimama kulia) akiwakaribisha wanahabari,...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Diamond: Njooni Dar Live X-mass, sitawaangusha!
Diamond Platnumz akiwasalimia mashabiki wake waliofurika katika eneo la Karume leo kwenye mkutano na wanahabari kuhusu shoo yake itakayofanyika Dar Live kwenye Sikukuu ya Krismasi.
Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda sambamba na mashabiki waliofurika Karume leo.
Mashabiki wakiwa wamepagawa wakati Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda.
Meneja Masoko wa Global Publishers na Dar Live, Innocent Mafuru (mwenye tisheti nyeupe aliyesimama kulia) akiwakaribisha wanahabari,...
9 years ago
Michuzi23 Dec
Diamond awakaribisha mashabiki wake Dar Live X-mas hii
Diamond anayetamba na ngoma ya Utanipenda ameyaongea hayo leo kwenye mkutano maalum uliofanyika Karume, Dar ambao ulihusisha waandishi wa habari na wapenzi wa muziki kwa ajili ya kuzungumzia shoo hiyo kubwa kuliko inayojulikana kama Funga Mwaka...
9 years ago
Michuzi17 Dec
10 years ago
GPLDIAMOND PLATNUMZ, MZEE YUSUF WAAHIDI KUANGUSHA SHOO YA KUFA MTU DAR LIVE SIKUKUU YA X-MAS
10 years ago
GPL27 Dec
10 years ago
GPLMWAIPAJA AKITOA BURUDANI DAR LIVE SIKUKUU YA X-MAS
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zQ2pP5BJqrVb9sGDQAt2k0fGkoYw6Js3obaAMFXM9rILO28Y*ICcFjfSMpIZtGu0UzxAhenGtIP2EFbc1D7M1lFQmRV9CdGz/fffffffffffffffffffffff.jpg?width=650)
Kiba: Njooni muone jinsi ninavyopiga na ‘live’ bendi
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Diamond kuwasha moto Dar Live
Diamond Platinumz.
KWENYE bodaboda, bajaj zote za town, redioni, luningani na kwenye mitandao mingi inazungumziwa pini mpya ya Utanipenda, kitu kipya cha Diamond Platinumz maarufu mitaani kama Baba Tiffah.
Wakati hayo yakiendelea, mwishoni mwa wiki iliyopita, yeye na mpenziwe, Zarinah Hassan au Mama Tiffah, wakafanikiwa kujiongezea tuzo nyingine ya ASFA 2015 katika kipengele cha Best Couple ya Afrika Mashariki, zilizotolewa Uganda.
Ukiachana na hiyo tuzo na nyingine nyingi alizokomba na...
10 years ago
GPLLIVE KUTOKA DAR LIVE: BURUDANI ZA MWANZO KABLA YA SHOO YA MWANA DAR LIVE