Diamond: Njooni Dar Live X-mass, sitawaangusha!
Diamond Platnumz akiwasalimia mashabiki wake waliofurika katika eneo la Karume leo kwenye mkutano na wanahabari kuhusu shoo yake itakayofanyika Dar Live kwenye Sikukuu ya Krismasi.
Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda sambamba na mashabiki waliofurika Karume leo.
Mashabiki wakiwa wamepagawa wakati Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda.
Meneja Masoko wa Global Publishers na Dar Live, Innocent Mafuru (mwenye tisheti nyeupe aliyesimama kulia) akiwakaribisha wanahabari,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Diamond: Njooni Dar Live X-mas, sitawaangusha!
Diamond Platnumz akiwasalimia mashabiki wake waliofurika katika eneo la Karume leo kwenye mkutano na wanahabari kuhusu shoo yake itakayofanyika Dar Live kwenye Sikukuu ya Krismasi.
Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda sambamba na mashabiki waliofurika Karume leo.
Mashabiki wakiwa wamepagawa wakati Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda.
Meneja Masoko wa Global Publishers na Dar Live, Innocent Mafuru (mwenye tisheti nyeupe aliyesimama kulia) akiwakaribisha wanahabari,...
9 years ago
Global Publishers15 Dec
9 years ago
Global Publishers15 Dec
9 years ago
Global Publishers23 Dec
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Watoto wajiachia X-Mass ndani ya Dar Live!
Watoto wakibembea
…wakiendesha baiskeli za watoto
…wakizidi kupata burudani.
…watoto ni full kujiahia.
…watoto wakijiachia kwenye ndege ya watoto.
…watoto wakijiachia kwenye bembea la kuseleleka
…bembea likinoga.
…wakishindana kuogelea.
PICHA NA DENIS MTIMA/GPL
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zQ2pP5BJqrVb9sGDQAt2k0fGkoYw6Js3obaAMFXM9rILO28Y*ICcFjfSMpIZtGu0UzxAhenGtIP2EFbc1D7M1lFQmRV9CdGz/fffffffffffffffffffffff.jpg?width=650)
Kiba: Njooni muone jinsi ninavyopiga na ‘live’ bendi
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Diamond kuwasha moto Dar Live
Diamond Platinumz.
KWENYE bodaboda, bajaj zote za town, redioni, luningani na kwenye mitandao mingi inazungumziwa pini mpya ya Utanipenda, kitu kipya cha Diamond Platinumz maarufu mitaani kama Baba Tiffah.
Wakati hayo yakiendelea, mwishoni mwa wiki iliyopita, yeye na mpenziwe, Zarinah Hassan au Mama Tiffah, wakafanikiwa kujiongezea tuzo nyingine ya ASFA 2015 katika kipengele cha Best Couple ya Afrika Mashariki, zilizotolewa Uganda.
Ukiachana na hiyo tuzo na nyingine nyingi alizokomba na...
10 years ago
GPLLIVE KUTOKA DAR LIVE: BURUDANI ZA MWANZO KABLA YA SHOO YA MWANA DAR LIVE
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Diamond na Mzee Yusuf kuumana Dar Live