DIAMOND KUPIGA SHOW YA FUNGA MWAKA DAR LIVE SIKU YA X-MAS
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers15 Dec
9 years ago
Global Publishers15 Dec
9 years ago
Michuzi26 Dec
Funga Mwaka Concert na Diamond Ndani ya Dar Live.....
![IMG_7348](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7348.jpg)
![IMG_7989](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7989.jpg)
![IMG_7359](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7359.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Diamond afunika usiku wa Funga Mwaka Concert Dar Live
Mfalme wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akifanya yake usiku huu Dar Live.
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Ni headlines za Diamond Platnumz Dec 25 kwenye show ya Funga Mwaka Dar Live…..(+Picha)
Christmas ya mwaka 2015 itabakia kuwa na historia kubwa kwenye dunia ya burudani, 88.5 usiku wa Dec 25 wamepokea shangwe za burudani kutoka kwa Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz kwenye viwanja vya Dar Live, Mbagala Dar es Salaam. Hapa nimekusogezea picha 20 uone jinsi kilivyohappen Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]
The post Ni headlines za Diamond Platnumz Dec 25 kwenye show ya Funga Mwaka Dar Live…..(+Picha) appeared first on...
9 years ago
Global Publishers23 Dec
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Diamond: Njooni Dar Live X-mas, sitawaangusha!
Diamond Platnumz akiwasalimia mashabiki wake waliofurika katika eneo la Karume leo kwenye mkutano na wanahabari kuhusu shoo yake itakayofanyika Dar Live kwenye Sikukuu ya Krismasi.
Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda sambamba na mashabiki waliofurika Karume leo.
Mashabiki wakiwa wamepagawa wakati Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda.
Meneja Masoko wa Global Publishers na Dar Live, Innocent Mafuru (mwenye tisheti nyeupe aliyesimama kulia) akiwakaribisha wanahabari,...
9 years ago
Michuzi23 Dec
Diamond awakaribisha mashabiki wake Dar Live X-mas hii
Diamond anayetamba na ngoma ya Utanipenda ameyaongea hayo leo kwenye mkutano maalum uliofanyika Karume, Dar ambao ulihusisha waandishi wa habari na wapenzi wa muziki kwa ajili ya kuzungumzia shoo hiyo kubwa kuliko inayojulikana kama Funga Mwaka...
9 years ago
Global Publishers25 Dec