Kinana: Viongozi CCM wafitini, wabaguzi
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amekemea dhambi ya fitina na ubaguzi ndani ya chama hicho. Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika ziara yake wilayani Mafia, Kinana alisema fitina, ubaguzi miongoni mwa viongozi, zimekuwa chanzo cha kuwavuruga watu badala ya kuwatafutia maendeleo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL18 Sep
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Kinana awasema ukweli viongozi wa CCM Mafia
![](http://4.bp.blogspot.com/-5WEU-aCZsL8/VBj9fTn5cqI/AAAAAAAAQwo/KPDmAa-cGAQ/s1600/2.jpg)
Umati wa wananchi wa Mafia wakimsikiliza mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana alipokuwa akiwahutubia wananchi hao.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa wilaya ya Mafia ambapo aliwataka Viongozi wa CCM waache mkorogano badala yake wafanye shughuli za maendeleo kwanza.
![](http://4.bp.blogspot.com/-N0mPCjFTdAo/VBj-M0JTzpI/AAAAAAAAQw4/kCw1d7hP8MU/s1600/3.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Mafia kwenye uwanja wa Mkunguni stendi ya Mabasi mjini Mafia.
![](http://4.bp.blogspot.com/-xGpquum-0pw/VBj-XQeYpiI/AAAAAAAAQxA/m81SbA8uIR8/s1600/7.jpg)
Naibu Waziri Nishati Charles Kitwanga akihutubia...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5WEU-aCZsL8/VBj9fTn5cqI/AAAAAAAAQwo/KPDmAa-cGAQ/s72-c/2.jpg)
KINANA AWAKOROMEA VIONGOZI WA CCM WANAOSABABISHA MKOROGANO
![](http://4.bp.blogspot.com/-5WEU-aCZsL8/VBj9fTn5cqI/AAAAAAAAQwo/KPDmAa-cGAQ/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WK7rb7qcFuU/VBj9rR8dnnI/AAAAAAAAQww/ZbGf_WTBMqg/s1600/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-N0mPCjFTdAo/VBj-M0JTzpI/AAAAAAAAQw4/kCw1d7hP8MU/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xGpquum-0pw/VBj-XQeYpiI/AAAAAAAAQxA/m81SbA8uIR8/s1600/7.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-qrmI_jcQlAI/VMFR0gu_6ZI/AAAAAAAAV6U/26A6lnGk6rk/s72-c/22.jpg)
KINANA AWATAKA VIONGOZI WA CCM KUTENDA HAKI NA KUACHA KUWABEBA WAGOMBEA WASIO NA SIFA
![](http://3.bp.blogspot.com/-qrmI_jcQlAI/VMFR0gu_6ZI/AAAAAAAAV6U/26A6lnGk6rk/s1600/22.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uom6bAfSmFY/VMFR7EBHA3I/AAAAAAAAV6c/niuJax62tXg/s1600/23.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yV6PTlC8TAU/VMFR_NGYqqI/AAAAAAAAV6k/JTPEYXcF7ks/s1600/24.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lXzNMLR9NbA/VMFSDEiA1BI/AAAAAAAAV6s/ba5e5zRsvVc/s1600/25.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Nw8xzx4u710/VMFE0sG3eoI/AAAAAAAG_F8/bxSB7q__dFI/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWATAKA WANANCHI KUWA MAKINI NA VIONGOZI WENYE UCHU WA MADARAKA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Nw8xzx4u710/VMFE0sG3eoI/AAAAAAAG_F8/bxSB7q__dFI/s1600/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-H4DFfNHXYkc/VMfQ7yg3t4I/AAAAAAACywI/rA74j8583hA/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE WETE-KASKAZINI PEMBA,AWATAKA VIONGOZI WA CUF KUTENDA HAKI KWA WANANCHI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-H4DFfNHXYkc/VMfQ7yg3t4I/AAAAAAACywI/rA74j8583hA/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CS2K4IrK3Qw/VMfQ8TSdcqI/AAAAAAACywQ/c1hqveBpwno/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jMrz0ANvGiM/VMfQ-Pwl6pI/AAAAAAACyww/aXwM_QCBEWA/s1600/7.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2013/12/109.jpg?width=600)
TAMKO LA WENYEVITI WA CCM-MIKOA LA KUMPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM NDG. ABDULRAHAMAN OMAR KINANA NA SEKRETARIETI YA CCM TAIFA
11 years ago
Habarileo19 Feb
RC awaonya wanasiasa wafitini
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bandera, amewaonya wanasiasa wakiwemo wa vyama vya upinzani wanaoendesha kampeni chafu zenye kuleta chuki kati ya Serikali na wananchi walioathirika na mafuriko katika vijiji vya Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa kuacha tabia hiyo.
10 years ago
BBCSwahili22 Jul
Wabaguzi wa Chelsea wapigwa marufuku