KINANA AWAKOROMEA VIONGOZI WA CCM WANAOSABABISHA MKOROGANO
![](http://4.bp.blogspot.com/-5WEU-aCZsL8/VBj9fTn5cqI/AAAAAAAAQwo/KPDmAa-cGAQ/s72-c/2.jpg)
Umati wa wananchi wa Mafia wakimsikiliza mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana alipokuwa akiwahutubia wananchi hao.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa wilaya ya Mafia ambapo aliwataka Viongozi wa CCM waache mkorogano badala yake wafanye shughuli za maendeleo kwanza.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Mafia kwenye uwanja wa Mkunguni stendi ya Mabasi mjini Mafia.
Naibu Waziri Nishati Charles Kitwanga akihutubia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Sep
Kinana: Viongozi CCM wafitini, wabaguzi
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amekemea dhambi ya fitina na ubaguzi ndani ya chama hicho. Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika ziara yake wilayani Mafia, Kinana alisema fitina, ubaguzi miongoni mwa viongozi, zimekuwa chanzo cha kuwavuruga watu badala ya kuwatafutia maendeleo.
10 years ago
GPL18 Sep
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Kinana awasema ukweli viongozi wa CCM Mafia
![](http://4.bp.blogspot.com/-5WEU-aCZsL8/VBj9fTn5cqI/AAAAAAAAQwo/KPDmAa-cGAQ/s1600/2.jpg)
Umati wa wananchi wa Mafia wakimsikiliza mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana alipokuwa akiwahutubia wananchi hao.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa wilaya ya Mafia ambapo aliwataka Viongozi wa CCM waache mkorogano badala yake wafanye shughuli za maendeleo kwanza.
![](http://4.bp.blogspot.com/-N0mPCjFTdAo/VBj-M0JTzpI/AAAAAAAAQw4/kCw1d7hP8MU/s1600/3.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Mafia kwenye uwanja wa Mkunguni stendi ya Mabasi mjini Mafia.
![](http://4.bp.blogspot.com/-xGpquum-0pw/VBj-XQeYpiI/AAAAAAAAQxA/m81SbA8uIR8/s1600/7.jpg)
Naibu Waziri Nishati Charles Kitwanga akihutubia...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-qrmI_jcQlAI/VMFR0gu_6ZI/AAAAAAAAV6U/26A6lnGk6rk/s72-c/22.jpg)
KINANA AWATAKA VIONGOZI WA CCM KUTENDA HAKI NA KUACHA KUWABEBA WAGOMBEA WASIO NA SIFA
![](http://3.bp.blogspot.com/-qrmI_jcQlAI/VMFR0gu_6ZI/AAAAAAAAV6U/26A6lnGk6rk/s1600/22.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uom6bAfSmFY/VMFR7EBHA3I/AAAAAAAAV6c/niuJax62tXg/s1600/23.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yV6PTlC8TAU/VMFR_NGYqqI/AAAAAAAAV6k/JTPEYXcF7ks/s1600/24.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lXzNMLR9NbA/VMFSDEiA1BI/AAAAAAAAV6s/ba5e5zRsvVc/s1600/25.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Nw8xzx4u710/VMFE0sG3eoI/AAAAAAAG_F8/bxSB7q__dFI/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWATAKA WANANCHI KUWA MAKINI NA VIONGOZI WENYE UCHU WA MADARAKA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Nw8xzx4u710/VMFE0sG3eoI/AAAAAAAG_F8/bxSB7q__dFI/s1600/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-H4DFfNHXYkc/VMfQ7yg3t4I/AAAAAAACywI/rA74j8583hA/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE WETE-KASKAZINI PEMBA,AWATAKA VIONGOZI WA CUF KUTENDA HAKI KWA WANANCHI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-H4DFfNHXYkc/VMfQ7yg3t4I/AAAAAAACywI/rA74j8583hA/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CS2K4IrK3Qw/VMfQ8TSdcqI/AAAAAAACywQ/c1hqveBpwno/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jMrz0ANvGiM/VMfQ-Pwl6pI/AAAAAAACyww/aXwM_QCBEWA/s1600/7.jpg)
10 years ago
Mwananchi25 Oct
Kura ya Maoni mkorogano
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2013/12/109.jpg?width=600)
TAMKO LA WENYEVITI WA CCM-MIKOA LA KUMPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM NDG. ABDULRAHAMAN OMAR KINANA NA SEKRETARIETI YA CCM TAIFA
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
Jaji Sumari awakoromea maofisa upelelezi
JAJI Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Mwanza, Aishieri Sumari, amesema kesi nyingi za makosa ya jinai zimekuwa zikichelewa kutolewa uamuzi kutokana na baadhi ya maofisa upelelezi kutokuwa...