Kura ya Maoni mkorogano
>Kitendo cha Serikali kutoa kauli tatu tofauti ndani ya wiki moja kuhusu tarehe ya Kura ya Maoni kupitisha Katiba Inayopendekezwa, kimeelezwa na watu wa kada mbalimbali nchini kuwa ni matokeo ya viongozi wa Serikali kukosa uongozi wa pamoja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini
![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto 6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri 385Brian Baraka 263
![](http://1.bp.blogspot.com/-LMP3afylAhU/Vb4bssanzKI/AAAAAAAHtTw/-b5C-BzlmoM/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Maoni ya wananchi yakipuuzwa, wataikataa kwa kura ya maoni
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
Maoni ya Watanzania kuhusu kura za maoni
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z5_qDF2YbFs/Vb-To7WPwYI/AAAAAAABTFM/9xAnsWBj2o0/s72-c/jerry.jpg)
wapiga kura wampongeza jerry silaa kwa kushinda katika kura za maoni jimbo la ukonga
![](http://4.bp.blogspot.com/-z5_qDF2YbFs/Vb-To7WPwYI/AAAAAAABTFM/9xAnsWBj2o0/s640/jerry.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-u5eLO9o9QZQ/Vb-To2dTbaI/AAAAAAABTFQ/Ym8hr02Xc08/s640/maxresdefault.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Wizi wa kura hadi kwenye kura ya maoni!
WAKATI Bunge Maalumu la Katiba linaendelea, kuna wanaosema kwamba hata kura ya maoni haiwezi kusaidia sana maana hapa Tanzania kuna hofu ya wizi wa kura. Tume ya uchaguzi tuliyonayo sasa...
10 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BLRr-PN7BLM/VSGIuvM4ylI/AAAAAAADSF8/fCxHtZG4-JQ/s72-c/NEC(47).jpg)
TAARIFA KWA UMMA YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA NA KURA YA MAONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BLRr-PN7BLM/VSGIuvM4ylI/AAAAAAADSF8/fCxHtZG4-JQ/s1600/NEC(47).jpg)
10 years ago
VijimamboWATANZANIA WAISHIO DMV USA WALIPOKUTANA KUMSIKILIZA MH. ISMAIL JUSSA, ALIPOELEZEA UCHAKACHULIWAJI WA MAONI YA KATIBA NA KUELEZEA SABABU ZINAZOIFANYA UKAWA KWA NINI HAITOSHIRIKI KATIKA KURA YA MAONI
10 years ago
Vijimambo09 Oct
kura ya maoni njiapanda
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2480020/highRes/846807/-/maxw/600/-/rqkp8uz/-/kura.jpg)
10 years ago
Mtanzania03 Apr
Kura ya maoni yayeyuka
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
HATIMAYE Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesitisha kwa muda usiojulikana upigaji kura ya maoni kwa Katiba Inayopendekezwa uliokuwa umepangwa kufanyika Aprili 30.
NEC imesema imefikia uamuzi kutokana na kushindwa kukamilisha kwa wakati uliopangwa uboreshaji daftari la kudumu la wapigakura.
Kutokana na hatua hiyo, sasa Katiba hiyo itapigiwa kura baada ya kukamilika uandikishaji katika daftari la kudumu la wapigakura kwa mfumo wa kielektroniki (BVR) Julai,...