Lukuvi awaonya wafanyabiashara
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge),William Lukuvi, amewakemea baadhi ya wafanyabiashara kuacha kutumia jina lake na kuvamia maeneo ya watu kwa nia ya kudhulumu maeneo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV15 Dec
Lukuvi awaonya wawekezaji wasioendeleza maeneo yao
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amewaonya wawekezaji walionunua maeneo mbalimbali nchini bila ya kuyaendeleza na kuwataka wayarudishe kwa wananchi.
Kauli hiyo ameitoa siku mbili baada ya kuapishwa kuwa waziri mwenye dhamana ya wizara hiyo na kuahidi kuwa atahakikisha wananchi wanamilikishwa ardhi kisheria.
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Mkazi ni miongoni mwa wizara yenye migogoro mingi ya ardhi hali inayopelekea Waziri mwenye dhamana William Lukuvi...
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Waziri awaonya wafanyabiashara
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Malima awaonya wafanyabiashara
NAIBU Waziri wa Fedha, Adam Malima, amewaonya wafanyabiashara nchini wanaoasisi migomo ya matumizi ya mashine za elektroniki (EFD) za Mamlaka ya Mapato Tanzania na kusema serikali haitawavumilia watu wa namna...
11 years ago
Habarileo20 Feb
RC awaonya wafugaji
SERIKALI mkoani hapa imeazimia kuchukua hatua za kisheria kwa mtu yeyote atakayekiuka utaratibu wa kisheria wa kutaka kuhamia katika maeneo ya Mkoa wa Mbeya kwa ajili ya ufugaji. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro alitoa msisitizo huo alipokuwa kwenye ziara ya kikazi wilayani Chunya, ambapo aliitaja wilaya hiyo kuwa miongoni mwa wilaya zilizokithiri kwa maeneo yake kuvamiwa na wafugaji wanaohamia bila kufuata utaratibu.
9 years ago
Mwananchi29 Dec
RC awaonya wakuu wa shule
10 years ago
Habarileo03 Mar
Pinda awaonya ma-DC wababe
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameonya Wakuu wa Wilaya wanaotawala kibabe, akitaka waache mara moja mbinu hiyo ya kiutawala kwani inajenga uadui, chuki na uhasama.
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Rage awaonya wanachama
MWENYEKITI wa Simba anayemaliza muda wake, Ismail Aden Rage, amewaonya wanachama kuwa makini kuelekea uchaguzi mkuu, kwani kitendo cha kupandikiza maneno kwa Mgombea wa Urais Michael Wambura kitaharibu mchakato mzima...
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Sadik awaonya vijana
MKUU wa Mkoa Dar es Salaam, Said Meck Sadik, amewataka vijana kujiepusha na mapenzi ya kunyonyana ulimi kwa sababu njia hiyo inatajwa kuwa chanzo cha maambukizi wa Homa ya Ini...
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Simbachawene awaonya wajumbe
MJUMBE wa Bunge Maalumu, George Simbachawene, amewaonya wajumbe wenzake waache kumbeza Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Warioba na rasimu ya Katiba iliyotolewa na tume hiyo. Simbachawene alitoa...