Rage awaonya wanachama
MWENYEKITI wa Simba anayemaliza muda wake, Ismail Aden Rage, amewaonya wanachama kuwa makini kuelekea uchaguzi mkuu, kwani kitendo cha kupandikiza maneno kwa Mgombea wa Urais Michael Wambura kitaharibu mchakato mzima...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLWanachama Simba wampa masharti Rage
Mwenyekiti wA Simba, Ismail Aden Rage. Said Ally na Omary Mdose
KATIKA kuelekea kwenye mkutano mkuu wa Simba unaotarajiwa kufanyika keshokutwa Jumapili kwenye Bwalo la Polisi, Oysterbay, baadhi ya wanachama wa klabu hiyo wamempa masharti mwenyekiti wao, Ismail Aden Rage, kuhusu agenda ya mkutano huo. Simba inatarajiwa kufanya mkutano wao ambao una ajenda moja ya kubadilisha katiba yao ambayo imepangwa na uongozi mkuu ukiongozwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-W1iY7IhLohg/VRq-vLRsLlI/AAAAAAABqR4/iydTlJDTAPA/s72-c/W3.jpg)
Wanachama wa Vikoba Wakiwa katika Ukumbi wa Mkutano wa Kongamano la Wanachama wa Vikoba Arusha.
![](http://1.bp.blogspot.com/-W1iY7IhLohg/VRq-vLRsLlI/AAAAAAABqR4/iydTlJDTAPA/s640/W3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-W87GdMd-xbA/VRq-x07IeDI/AAAAAAABqSA/rG7r7p5GINY/s640/W%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FvvUTJvIL4E/VRq-1KjGDUI/AAAAAAABqSI/rFbtDFPl3mA/s640/W%2B1.jpg)
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Rage: Tusitafute mchawi
>Baada ya kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Mgambo Shooting mwenyekiti wa Simba, Ismail Rage ametaka wanachama wake asitafute mchawi kwa vile kiwango cha timu yao ni kibovu.
11 years ago
TheCitizen01 Jul
Neymar is all the rage among hosts
Anderson Guimaraes walked into a barber shop decorated with Brazil flags to get the latest popular hairstyle in Rio’s slums: The face of football star Neymar sculpted in the back of his head.
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Rage aiangukia TFF
RAIS wa Klabu ya Simba, Ismail Aden Rage ‘Tutu Vengere’, ameliandikia barua Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), akilitaka liruhusu uchaguzi wa Simba ufanyike Juni 29. Rage alisema Juni 15, mwaka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPwXECPCQV*uxVV7REVEyACVvCEUXoAsqQa8ix6lSF9wUZ5nOzQpnv7J0t7jbJbDk-L-vm756AgxnmKOt2w6L66U/IsmailAdenRage.jpg?width=640)
RAGE: TUJIUZULU WOTE
Mwenyekiti wa Simba, Ismail Rage. MWENYEKITI wa Simba, Ismail Rage amesema yupo tayari kujiuzulu uenyekiti wa klabu hiyo, lakini akasisitiza hilo lifanywe na wajumbe wote wa kamati ya Utendaji. Kwa takriban mwezi sasa hali imekuwa si shwari ndani ya Simba, baada ya baadhi ya wajumbe wa kamati ya Utendaji wakiongozwa na Kaimu makamu mwenyekiti, Joseph Itang’are ‘Kinesi’ kumsimamisha Rage kwa tuhuma mbalimbali....
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Rage alalama Simba
Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage amesema amesikitishwa na madai kuwa hakuhusika na ushindi dhidi ya Yanga.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania