Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rage: Tusitafute mchawi

>Baada ya kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Mgambo Shooting mwenyekiti wa Simba, Ismail Rage ametaka wanachama wake asitafute mchawi kwa vile kiwango cha timu yao ni kibovu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tusitafute mchawi Chalenji, tujipange upya kimataifa

Tusitafute mchawi Chalenji, tujipange upya kimataifa MICHUANO ya Kombe la Chalenji kwa nchi wanachama wa Baraza la Vyama vya soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), ilifikia tamati Desemba 12 jijini...

 

11 years ago

Mwananchi

Simba wamsaka ‘mchawi’

Siku moja baada ya Simba kunyukwa mabao 3-2 na JKT Ruvu, hali si shwari ndani ya klabu hiyo baada ya wachezaji kumwangushia lawama kocha wao Zdravok Logarusic, huku wengine wakiuangushia lawama uongozi.

 

10 years ago

GPL

ANAYEDAIWA MCHAWI ADONDOKEA KANISANI

Stori: Haruni SanchAwa
NIkweli imetokea! Ni kwenye Kanisa la Paradise Internation Ministries lililoko Karakata Ukonga jijini Dar, mwanamke mmoja (pichani) anayedaiwa mchawi alidondoka usiku wa saa saba na kujikuta hawezi kutembea. Mwanamke anayedaiwa kuwa mchawi akiwa amedondoka Kanisani. Tukio hilo lilijiri Septemba 13, mwaka huu wakati waumini wa kanisa hilo wakiwa wamezama kwenye maombi ya kufunga. Ilidaiwa kuwa, waumini...

 

10 years ago

BBCSwahili

Adebayor adai mamaake ni mchawi

Mshambuliaji wa Totenham Emmanuel Adebayor amekosana na mamaake kwa madai kwamba anatumia uchawi kumharibia kazi yake.

 

10 years ago

GPL

MAMA YANGU NI MCHAWI: ADEBAYOR

Straika wa Tottenham, Emmanuel Adebayor akiwa na mama yake. STRAIKA wa Klabu ya Tottenham ya nchini Uingereza, Emmanuel Adebayor amekosana na mamaake kwa madai kwamba anatumia uchawi kumharibia kazi yake. Emmanuel Adebayor. Taarifa zinaeleza kuwa, mama huyo tayari ameondoka katika nyumba ya familia huku dadaake Adebayor aitwaye Maggie akiiambia radio moja ya mjini Accra kwamba Adebayor ndiye… ...

 

10 years ago

GPL

ANUSURIKA KUUAWA AKIDHANIWA NI MCHAWI

Na Richard Konga, Arusha
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Alendoufonyi Abdi (pichani) mkazi wa Uduru Machame mkoani Kilimanjaro, amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira kali baada ya kuokolewa na waumini wa kanisa moja jijini hapa. Akizungumza na waandishi wa habari eneo la Kijenge Banana Kata ya Olorieni, Mchungaji wa Kanisa la Pentekoste la Yerusalemu Mpya, Liberty Shirima alisema walimnusuru mwanamke huyo asiuawe...

 

11 years ago

GPL

NISHA AWABWATUKIA WANAOMWITA MCHAWI

Stori: Gladness Mallya
MWANADADA kutoka kiwanda cha Filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amewabwatukia wasanii wenzake wanaomshutumu kwamba anatumia ndumba na kuwataka waache maneno hayo. Mwanadada kutoka kiwanda cha Filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ Nisha aliyasema hayo kufuatia hivi karibuni kuzagaa kwa tetesi kuwa alizomewa na wasanii wenzake wakimwita mchawi kutokana na mafanikio aliyoyapata kwa...

 

10 years ago

GPL

UNGO WA MCHAWI WAZUA KIZAAZAA!

Dustan Shekidele, Morogoro
NI mshangao! Katika hali isiyotarajiwa, ungo wenye vifaa vya kichawi umekutwa jirani na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mazimbu, Dayosisi ya Morogoro na kuzua kizaazaa kikubwa. Ungo wenye vifaa vya kichawi ukiwa jirani na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mazimbu, Dayosisi ya Morogoro. Tukio hilo la aina yake lilijiri saa 12  asubuhi, Jumatano...

 

9 years ago

Global Publishers

Waziri Alipokiri Kuwa Mchawi-30

ILIPOISHIA IJUMAA:
“Hello my darling…!” nikamwambia.
“Utarudi saa ngapi?” akaniuliza swali hilo kwa jazba.
“Kwa nini unaniuliza hivyo?”
“Kwa nini nisikuulize, mimi si mke wako? Unataka akuulize nani?”
SASA ENDELEA…

Ili kumtuliza nikajidai kucheka. Nilijua ni ile mimba ndiyo iliyokuwa inamsumbua.
“Nitarudi mchana nikimaliza kazi zangu.”
“Usichelewe mimi sijisikii vizuri.”
“Una nini?”

“Nimekwambia sijisikii vizuri. Mwili wangu uko ovyoovyo.”
“Nenda hospitali.”
“Siendi, nataka wewe uwahi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani