Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tusitafute mchawi Chalenji, tujipange upya kimataifa

Tusitafute mchawi Chalenji, tujipange upya kimataifa MICHUANO ya Kombe la Chalenji kwa nchi wanachama wa Baraza la Vyama vya soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), ilifikia tamati Desemba 12 jijini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Rage: Tusitafute mchawi

>Baada ya kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Mgambo Shooting mwenyekiti wa Simba, Ismail Rage ametaka wanachama wake asitafute mchawi kwa vile kiwango cha timu yao ni kibovu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kombe la Chalenji limepita, tujipange kwa AFCON 2015

MICHUANO ya Kombe la Chalenji kwa nchi wanachama wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), imefikia tamati jana mjini Nairobi, Kenya. Tanzania, kwa sura ya Jamhuri...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi tujipange kulinda kura zetu

HIVI  jukumu la kuwakomboa Watanzania  lipo mikononi  mwa nani?  Leo Watanzania tunakubali kwamba tunahitaji ukombozi wa pili. Narudia kusema Waisraeli walikombolewa mara nyingi sana, na hivi Tanzania inahitajika kukombolewa kutoka...

 

11 years ago

Mwananchi

Tujipange vyema kwenye michezo 2014

>Mwaka 2013 unamalizika kesho na kuingia Mwaka Mpya 2014 unaoanza Jumatano ukitukumbusha majukumu katika maendeleo ya michezo nchini. 2013 unamalizika tukiwa hatuna chochote cha maana ambacho tunaweza kujivunia katika medani ya michezo kimataifa kwa hiyo mwaka mpya unaanza tukiwa na majukumu makubwa.

 

10 years ago

Bongo Movies

Msungu: Wasanii Tujipange Kuchagua Kiongozi Bora

MWIGIZAJI wa kiume wa filamu  Stanley Msungu ‘Senator’ amewashauri wasanii kushiriki katika uchaguzi ujao kwa kujiandikisha katika daftari la kupiga kura na kumchagua kiongozi sahihi na si ushabiki kwani kuna vitu vingi kutoka kwa wasanii vinahitajika viwekwe sawa kwa jamii na wasanii pia.

“Uchaguzi wa mwaka huu una changamoto kwani haijawahi kutokea watangqaza nia wakawa wengi kama mwaka huu, kiasi kwama hata baadhi ya wananchi wanachanganyikiwa wamchague nani? Japo kwa baadhi ya wanachama...

 

11 years ago

Mwananchi

Ilikoanzia michuano ya Kombe la Chalenji

Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati, (CECAFA) linaelezwa kuwa ni kati ya mMabaraza makongwe barani Afrika katika soka.

 

10 years ago

Mwananchi

Cecafa yahaha kuiokoa Chalenji

 Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa ) linahangaika kusaka mwenyeji wa mashindano ya Kombe la Chalenji mwaka huu yaliyopangwa kuanza mwishoni mwa Novemba.

 

9 years ago

Habarileo

Zanzibar yaanza vibaya Chalenji

TIMU ya Taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes jana ilianza vibaya michuano ya Kombe la Chalenji baada ya kukubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Burundi katika mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Addis Ababa, Ethiopia.

 

9 years ago

Habarileo

Uganda bingwa mpya Chalenji

TIMU ya Taifa ya Uganda ‘The Cranes’ jana ilitwaa ubingwa wa Kombe la Chalenji baada ya kuifunga Rwanda ‘Amavubi’ bao 1-0.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani