Wananchi tujipange kulinda kura zetu
HIVI jukumu la kuwakomboa Watanzania lipo mikononi mwa nani? Leo Watanzania tunakubali kwamba tunahitaji ukombozi wa pili. Narudia kusema Waisraeli walikombolewa mara nyingi sana, na hivi Tanzania inahitajika kukombolewa kutoka...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Jul
Tunahitaji rais wa kujenga uchumi, kulinda rasilimali zetu
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Ni kweli abiria hatuwezi kulinda staha zetu safarini?
9 years ago
Mzalendo Zanzibar15 Oct
Mbowe Amjibu Rais Kikwete Kuhusu Idadi ya Wapiga Kura na Zuio la Wananchi Kulinda Kura Vituoni
Mwenyekiti wa Chadema, Mh Freeman Thursday, October 15, 2015 Mwenyekiti wa Chadema, mh Freeman Mbowe amemtaka Rais Kikwete kutovuruga amani ya nchi na badala yake amemtaka aondoke madarakani na kuiacha nchi ikiwa salama. Mbowe alitoa kauli […]
The post Mbowe Amjibu Rais Kikwete Kuhusu Idadi ya Wapiga Kura na Zuio la Wananchi Kulinda Kura Vituoni appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Mahakama: Ni kosa kulinda kura
9 years ago
Mzalendo Zanzibar04 Oct
Ukawa waapa kulinda kura
katibu mkuu wa Chadema, John Mnyika BEATRICE SHAYO 4th October 2015 Kaimu katibu mkuu wa Chadema, John Mnyika akizungumza na waandishi wa bahari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu Tume ya Taifa ya […]
The post Ukawa waapa kulinda kura appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Mbowe awapa Chadema somo la kulinda kura
9 years ago
Mwananchi17 Oct
Sakata la kulinda kura latua Mahakama Kuu
9 years ago
Habarileo03 Oct
NEC yaonya wanaotaka kulinda kura vituoni
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (TUME) imeonya vyama vya siasa, vinavyoshawishi wananchi wabaki katika vituo vya kupigia kura baada ya kupiga kura na kueleza kuwa lengo lao si kwa ajili ya kulinda kura, bali vina agenda ya siri.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QyeM3VCSkhc/VhAAdiwPfhI/AAAAAAADALQ/nnY0BNdwdbo/s72-c/_MG_2358.jpg)
WATANZANIA WATAKIWA KULINDA SHAHADA ZAO ZA KUPIGIA KURA
![](http://1.bp.blogspot.com/-QyeM3VCSkhc/VhAAdiwPfhI/AAAAAAADALQ/nnY0BNdwdbo/s640/_MG_2358.jpg)
Dkt Magufuli ameishauri tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kutimiza wajibu wake wa kutenda haki kwa wagombea wote wa ngazi za Uraisi,pia amewataka Wananchi wakatae kulaghaiwa...