Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunahitaji rais wa kujenga uchumi, kulinda rasilimali zetu

Ikiwa imebaki takriban miezi minne Rais Jakaya Kikwete amalize muda wake kikatiba, bado ni fumbo kubwa kwa Watanzania kuhusu nani atakuwa mrithi wa kiti chake mara baada ya Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi Oktoba mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wananchi tujipange kulinda kura zetu

HIVI  jukumu la kuwakomboa Watanzania  lipo mikononi  mwa nani?  Leo Watanzania tunakubali kwamba tunahitaji ukombozi wa pili. Narudia kusema Waisraeli walikombolewa mara nyingi sana, na hivi Tanzania inahitajika kukombolewa kutoka...

 

10 years ago

Tanzania Daima

LEAT yawajengea uwezo wananchi kulinda rasilimali

CHAMA cha Wanasheria Watetezi wa Mazingira (LEAT) kwa sasa kinaendesha mafunzo ya kuwajengea uwezo wananchi, kamati za maliasili na mazingira na viongozi kutoka vijiji na kata mbalimbali za wilaya ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Ni kweli abiria hatuwezi kulinda staha zetu safarini?

Ni safari ya kuelekea mkoani Kigoma niliyoifanya hivi karibuni kwa kutumia usafiri wa basi. Safari ya siku moja na nusu hivi yenye matukio ambayo kuacha kuyasimulia ni kutoitendea haki jamii.

 

10 years ago

Habarileo

‘Rasilimali za asili Afrika ndiyo mitaji ya uchumi’

NCHI za Afrika zinapaswa kutambua kuwa rasilimali za asili zilizoko kwenye nchi hizo, ndio mitaji yao, hivyo zina haki ya kufaidika na rasilimali kwa usawa, kama anavyofaidika mwekezaji wa kigeni anayekuja na mtaji wa fedha.

 

5 years ago

Michuzi

RC SHINYANGA AZINDUA RASMI MRADI WA MIJADALA JUMUISHI KATIKA MASUALA YA UCHUMI NA USIMAMIZI WA RASILIMALI FEDHA



Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akizungumza wakati wa Kuzindua rasmi Mradi wa Mijadala Jumuishi katika Masuala ya Uchumi na Usimamizi wa Rasilimali Fedha unaotekelezwa na Shirika la Save The Children leo Ijumaa Juni 12,2020 katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga. Kulia ni Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Albert Msovela. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akiwasisitiza wadau na wananchi kulinda na kutunza watoto...

 

11 years ago

Habarileo

‘Isaidieni Serikali kujenga uchumi wa kijani’

WATAALAM wa mazingira wametakiwa kuisaidia Serikali kutengeneza Sera nzuri zitakazosaidia kujenga uchumi wa kijani. Hayo yalisemwa jana na Mhadhiri wa Idara ya Jiografia na mazingira wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Thabit Jacob, wakati wa mkutano wa Wanamazingira na watafiti wa Uchumi wa Kijani unaofanyika chuoni hapo.

 

10 years ago

Michuzi

TBS NA TFDA WATAKIWA KUDHIBITI BIDHAA ZISIZO NA UBORA ILI KULINDA UCHUMI

 Picha na maktabaNa Woinde Shizza,Arusha 
Mamlaka ya Chakula na dawa(TFDA) na Shirika la Viwango nchini(TBS), wameshauriwa kuwadhibiti zaidi wafanyabiashara wasio waaminini ambao wanaingia nchini bidhaa sizizo na ubora kwani wanaporomosha uchumi.
Meneja masoko wa kampuni ya  Wrigleys (EA) Company Ltd, Emanuel Laswai, alitoa kauli hiyo juzi, katika uzinduzi wa bidhaa mpya za kampuni hiyo ya Doublemint  nchini Tanzania.
Laswai alisema, uingizwaji wa bidhaa feki na zisizo na ubora zina  athari za...

 

5 years ago

Michuzi

Wataalamu wa Sekta ya Rasilimali Watu na Wadau wa Sekta ya Uchumi Kukutana Mtandaoni

Wakati janga la Corona limeathiri njia za ufanyaji kazi duniani kote, kampuni nyingi duniani zimelazimika kutafuta namna mpya ya ufanyaji kazi. Nchini Tanzania, kampuni ya BrighterMonday Tanzania imeandaa semina ya mtandaoni itakayowakutanisha wataalamu katika sekta ya Rasilimali Watu pamoja na wadau katika sekta ya biashara kujadili mchango wa Rasilimali Watu katika kuhakikisha Uendelevu wa Biashara wakati wa mlipuko wa virusi Corona.  
Semina hiyo itafanyika Jumanne, Mei 12, 2020 kwa njia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani