Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LEAT yawajengea uwezo wananchi kulinda rasilimali

CHAMA cha Wanasheria Watetezi wa Mazingira (LEAT) kwa sasa kinaendesha mafunzo ya kuwajengea uwezo wananchi, kamati za maliasili na mazingira na viongozi kutoka vijiji na kata mbalimbali za wilaya ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

WaterAid yawajengea uwezo wadau wa afya ya ulezi na uzazi

DSC00416

Mkurugenzi wa masuala ya fedha, uchumi na misaada wa shirika la WaterAid Tanzania, Juliet Kayendeke, akizungumza kwenye ufunguzi wa warsha ya siku mbili, iliyohusu kuwajengea uwezo wasimamizi wa mradi wa kuimarisha haki na kuboresha afya ya wanawake, wasichana na watoto katika halmashauri ya wilaya ya Iramba na manispaa ya Singida. Mradi huo wa miaka mitatu,unatarajiwa kukamilika baada ya miaka mitatu na unatarajiwa kugharimu zaidi ya shilingi bilioni moja.

Nathaniel Limu, Singida

VITENDO...

 

10 years ago

Mwananchi

Tunahitaji rais wa kujenga uchumi, kulinda rasilimali zetu

Ikiwa imebaki takriban miezi minne Rais Jakaya Kikwete amalize muda wake kikatiba, bado ni fumbo kubwa kwa Watanzania kuhusu nani atakuwa mrithi wa kiti chake mara baada ya Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi Oktoba mwaka huu.

 

9 years ago

StarTV

Viongozi Simanjiro watupiwa lawama kutokana na rasilimali kutowanufaisha wananchi

Wakazi wa vijiji vilivyopo katika wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara wameelezea kutoridhishwa na hali duni ya maisha wanayoishi ukilinganisha na rasilimali kubwa ya mifugo pamoja na madini ya Tanzanite yanayopatikana wilayani humo.

Wengi wao wanawashutumu viongozi wanaopewa dhamana ya kuongoza eneo hilo kushindwa kusimamia rasilimali zilizopo ili ziwanufaishe wananchi wote.

Kundi kubwa la wakazi wa eneo hilo la simanjiro ni watu wa jamii ya kifugaji ambao kwa asilimia kubwa hutegemea mifugo...

 

11 years ago

Michuzi

Elimu ipewe kipaumbele Ili kuwawezesha wananchi wa kusini kunufaika na rasilimali ya gesi — Norway

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Lindi Bw. Nasoro Hamid akizungumza na ujumbe toka Norway ulipofika ofisini kwake kwa lengo la kubadilishana uzoefu juu ya namna nchi hiyo ilivyoweza kunufaika kwa kuwekeza katika sekta ya gesi mnamo miaka ya 1970. Anayesaini kitabu ni Bw. Alaf Jakobson Meya wa mji wa Hammerfest nchini Norway. Meya wa mji wa Alstahaug Bw. Bard Anders akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kufika ofisini kwa Meya wa mji wa Lindi Bw. Frank Magali mwenye miwani.
BOFYA HAPA...

 

9 years ago

Mwananchi

JK : Tutafunga kamera za CCTV kulinda wananchi

Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete amesema ili kuwaweka salama wananchi kamera maalum za CCTV zitafungwa katika miji mikuu kukabiliana na wahalifu nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi watakiwa kulinda maeneo ya ardhioevu

WANANCHI wanaoishi kando ya maeneo ya ardhioevu na sehemu ambazo mito inakutana na bahari, wamehimizwa kuzingatia matumizi bora ya maeneo hayo, ili yasilete madhara ya mali, uhai wao na uharibifu...

 

9 years ago

Mwananchi

Tunawapongeza wananchi kwa kulinda amani

Mwaka 2015 ulipoanza Watanzania walikuwa wamegawanyika kutokana na matukio mengi ya kisiasa yaliyofanyika mwishoni mwa mwaka 2014.

 

9 years ago

Michuzi

WANANCHI WATAKIWA KULINDA AMANI YA NCHI - CP CHAGONJA

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
JESHI la Polisi limewataka wananchi kuendelea na utulivu kama walivyoonyesha wakati wa upigaji kura na hatimaye kupatikana katika siku ya uampishwaji wa Rais Mteule Dk. John Pombe Magufuli.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam, Kamishina wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi hilo, Paul Chagonja amesema kuwa jeshi la polisi limeridhishwa na utulivu uliokuwepo wakati wa upigaji kura, na utulivu huo umeweza kufanya uchaguzi kwenda salama na hatimaye...

 

10 years ago

GPL

WANANCHI HAWAONI KAMA WANAO UWEZO WA KUISHAWISHI SERIKALI

2 Septemba, 2014, Dar es Salaam: Wananchi walio wengi (70%) wanaripoti kuwa sauti zao hazisikiki katika maamuzi ya Serikali. Pamoja na haya, wananchi saba kati ya kumi (71%) wanaripoti kuwa, kwa maoni yao, upigaji kura ndio njia pekee ya kuleta ushawishi kwa Serikali. Kimsingi, haya yanaonesha hisia zilizofanana – kwamba mbali na uchaguzi unaofanywa wakati wa kupiga kura – wananchi wengi hawana ushawishi kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani