Elimu ipewe kipaumbele Ili kuwawezesha wananchi wa kusini kunufaika na rasilimali ya gesi — Norway
![](http://1.bp.blogspot.com/-PiUFWn6laME/UvNwNcZ5TdI/AAAAAAAFLLE/UALbtzKbDxg/s72-c/unnamed+(51).jpg)
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Lindi Bw. Nasoro Hamid akizungumza na ujumbe toka Norway ulipofika ofisini kwake kwa lengo la kubadilishana uzoefu juu ya namna nchi hiyo ilivyoweza kunufaika kwa kuwekeza katika sekta ya gesi mnamo miaka ya 1970. Anayesaini kitabu ni Bw. Alaf Jakobson Meya wa mji wa Hammerfest nchini Norway.
Meya wa mji wa Alstahaug Bw. Bard Anders akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kufika ofisini kwa Meya wa mji wa Lindi Bw. Frank Magali mwenye miwani.
BOFYA HAPA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Japo muziki ni kipaji, elimu pia ipewe kipaumbele
10 years ago
StarTV09 Jan
Wananchi Kusini kunufaika na ujenzi wa Reli ya Mbamba Bay.
Na Adam Nindi,
Songea.
Wananchi wanaoishi Kusini mwa Tanzania jirani na Nchi za Msumbiji na Malawi wanatarajia kunufaika na Reli itakayojengwa kutoka Mbamba Bay wilayani Nyasa hadi mkoani Mtwara ambayo ujenzi wake utaanza mwezi Juni mwaka huu.
Katika ziara ya siku moja mkoani Ruvuma, Waziri wa Uchukuzi Dokta Harrison Mwakyembe amebainisha kuwa reli hiyo ya Mtwara Kolido itagharimu fedha za kimarekani dola Bilioni tatu mpaka kumalizika kwake.
Waziri Mwakyembe amesema ujenzi wa Reli hiyo...
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Utafiti: Wananchi wanataka gesi isaidie afya, elimu
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Elimu ya jinsia ipewe umuhimu
ELIMU ni miongoni mwa nyenzo muhimu katika maisha ya kila siku ya mwandamu bila kujali rangi, kabila, au jinsia. Hii inatokana na ukweli kwamba elimu hutoa maarifa mbalimbali ambayo humfanya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_x81dJ2AS_Q/XmegHoK-jnI/AAAAAAALidA/GeIEGKWcij4v432f4NJADGMpLrn8dGe6gCLcBGAsYHQ/s72-c/1-25.jpg)
SERIKALI ITAENDELEA KUTOA KIPAUMBELE KUTAFUTA RASILIMALI FEDHA ZA NDANI NA NJE
![](https://1.bp.blogspot.com/-_x81dJ2AS_Q/XmegHoK-jnI/AAAAAAALidA/GeIEGKWcij4v432f4NJADGMpLrn8dGe6gCLcBGAsYHQ/s640/1-25.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiwasilisha taarifa ya Ofisi hiyo kuhusu kuhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyotengewa fedha kwa mwaka wa fedha 2019/2020 mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira jijini leo Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-26.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mhe. Sadiq Murad akiongoza kikao cha kupokea na kujadili taarifa ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)...
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Elimu itolewe kwa wananchi ili kuzuia kasi ya maambukizi mapya ya VVU Wilayani Mafia — Mama Salma Kikwete
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete akizungumza na wafanyakazi wa hospitali ya Wilaya ya Mafia (hawapo pichani).
Baadhi ya wafanyakazi wa hospitali ya Wilaya ya Mafia wakifuatilia kwa makini hotuba iliyokuwa ikitolewa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (hayupo pichani).
Na Anna Nkinda – Maelezo, Mafia
Viongozi wa wilaya ya Mafia na wafanyakazi wa Idara ya afya wametakiwa kuhakikisha elimu ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) inatolewa...
11 years ago
Dewji Blog18 Jul
Wananchi wataka STAMICO ipewe nguvu kusimamia Sekta ya Madini nchini
Wafanyakazi wa Shirika la Madini la Taifa STAMICO wakiwahudumia wageni waliotembelea katika banda lao kwenye maonyesho ya wiki ya Utumishi yaliyomalizika hivi karibuni.
-Waunga mkono kauli ya Waziri wa Nishati na Madini
-Wataka wenye uwezo kuacha ubinafsi na ubepari
-Wataka raslimali za madini ziwanufaishe Watanzania wote
Na. Issa Mtuwa – STAMICO
Wananchi wameiomba serikali kuhakikisha rasilimali za Madini zinawanufahisha Watanzania wote na sio wachache wenye uwezo. Kauli ambayo imewahi...
11 years ago
Habarileo20 Dec
SMZ kutoa kipaumbele masomo ya gesi, mafuta
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itatoa kipaumbele kwa wanafunzi wa Kidato cha Sita kupata mikopo katika Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu kwa wanafunzi watakaopenda kusomea masomo ya rasilimali ya mafuta na gesi.
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Ugunduzi wa gesi: Tanzania tunajifunza nini kwa Norway