Japo muziki ni kipaji, elimu pia ipewe kipaumbele
Anafahamika kisanii kama Sura Moja , lakini jina lake halisi ni Remmy Henry Mrosso,aliyezaliwa mkoani Kilimanjaro miaka 31 iliyopita.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PiUFWn6laME/UvNwNcZ5TdI/AAAAAAAFLLE/UALbtzKbDxg/s72-c/unnamed+(51).jpg)
Elimu ipewe kipaumbele Ili kuwawezesha wananchi wa kusini kunufaika na rasilimali ya gesi — Norway
![](http://1.bp.blogspot.com/-PiUFWn6laME/UvNwNcZ5TdI/AAAAAAAFLLE/UALbtzKbDxg/s1600/unnamed+(51).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0YKwmNv7rrA/UvNwNQlIrUI/AAAAAAAFLLI/sDY1s2arHMo/s1600/unnamed+(52).jpg)
BOFYA HAPA...
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Elimu ya jinsia ipewe umuhimu
ELIMU ni miongoni mwa nyenzo muhimu katika maisha ya kila siku ya mwandamu bila kujali rangi, kabila, au jinsia. Hii inatokana na ukweli kwamba elimu hutoa maarifa mbalimbali ambayo humfanya...
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Nanyaro: Kipaumbele kiwekwe kwenye elimu
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Dk. Bana: Rais hajaipa kipaumbele elimu
MHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Benson Bana, amesema wananchi walitarajia katika hotuba ya kuaga mwaka 2013 na kuukaribisha mwaka 2014 Rais Jakaya Kikwete angezungumzia sekta ya...
9 years ago
Habarileo21 Sep
Shein atangaza elimu kuwa kipaumbele
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema sekta ya elimu itapewa kipaumbele cha kwanza akirejea madarakani. Pamoja na kipaumbele hicho, mgombea huyo ametangaza kufuta ada na michango yote kwa wanafunzi wa sekondari na kuahidi kujenga Chuo kikuu kipya Dole, Unguja.
11 years ago
Dewji Blog11 Aug
Mashirika mbalimbali yaombwa kudhamini pia matamasha ya muziki wa injili
Mwimbaji wa muziki wa injili Rose Muhando akiimba pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama kulia na mwimbaji wa muziki wa injili Bonny Mwaiteje katikati na Mwimbaji Chengula kushoto wakati wa tamasha la uzinduzi wa Albam ya Shikilia Pindo la Yesu uliofanyika kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza leo akisindikizwa na waimbaji malimbali wa muziki huo akiwemo Ephraimu Sekereti kutoka nchini Zambia, Albam hiyo imezinduliwa na Meya wa jiji la Mwanza Mhe.Stanslaus...
10 years ago
VijimamboBAJETI YA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KIPAUMBELE CHAKE NI BARABARA, ELIMU, AFYA NA WAZEE
10 years ago
BBCSwahili06 Mar
Bunge la US lataka Ukraine ipewe Silaha
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Rais Kikwete ataka NHC ipewe uhuru zaidi kibiashara