Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashirika mbalimbali yaombwa kudhamini pia matamasha ya muziki wa injili

01

Mwimbaji wa muziki wa injili Rose Muhando akiimba pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama kulia na mwimbaji wa muziki wa injili Bonny Mwaiteje katikati na Mwimbaji Chengula kushoto wakati wa tamasha la uzinduzi wa Albam ya Shikilia Pindo la Yesu uliofanyika kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza leo akisindikizwa na waimbaji malimbali wa muziki huo akiwemo Ephraimu Sekereti kutoka nchini Zambia, Albam hiyo imezinduliwa na Meya wa jiji la Mwanza Mhe.Stanslaus...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Uzalendo haupimwi kwa matamasha ya muziki!

Hivi karibuni limefanyika tamasha la uzalendo mjini Dodoma lililoshirikisha wasanii wa muziki, hasa wa kizazi kipya na waigiza filamu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mipasho haifai muziki wa Injili

STAILI, vionjo na mfumo mzima wa muziki  umekuwa ukibadilika kila siku kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo hali ya kwenda na wakati. Mabadiliko haya  kwa upande mwingine yamekuwa sababu ya changamoto...

 

5 years ago

Mwananchi

Mjasiriliamali aliyegeukia muziki wa injili

Ritha Komba sio jina geni miongoni mwa watu wengi hasa wapenzi wa muziki wa injili.

 

10 years ago

GPL

VEGA-CAPPELA, WAIMBAJI WA INJILI WASIOTUMIA ALA ZA MUZIKI

Kundi la Vega-Capella wakiwa katika pozi tofauti za uimbaji. KAMERA yetu leo imekutana na kundi la waimbaji wa Injili liitwalo Vega-Capella ambapo washiriki wake huimba kwa kutumia sauti zao -- bila kutumia ala yoyote ya muziki ambayo wanaiita kwa jina la ‘Akapella’. Kundi hilo lililoanza shughuli zake mwaka limedhamiria kuendelea na juhudi zake za kueneza… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Japo muziki ni kipaji, elimu pia ipewe kipaumbele

Anafahamika kisanii kama Sura Moja , lakini jina lake halisi ni Remmy Henry Mrosso,aliyezaliwa mkoani Kilimanjaro miaka 31 iliyopita.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tuinue muziki wa injili kukuza maadili katika jamii: UDA

Albam pix 3

Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), Bw John Samangu (kushoto) akikata utepe kuzindua rasmi albamu ya kwanza kutolewa na ya kwaya ya Kanisa la Kigango cha Mtakatifu Rita wa Kashia ijulikanayo kama ‘Msifuni Bwana’ jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Wanaoshuhudia ni mwenyekiti wa Kigango cha Mt. Rita Bw. Frederick Msumali(kushoto) na waumini wengine. (Picha na mpiga picha wetu).

Na Mwandishi Wetu

JAMII imeombwa kusaidia kuinua muziki wa injili unaofanywa na...

 

10 years ago

Bongo5

Sporah kuhost tuzo za muziki wa injili Afrika, AGMA 2014

Mtangazaji wa TV, Sporah Njau pamoja na muimbaji maarufu wa nyimbo za injili kutoka Ghana Mr Sonnie Badu, watakuwa waendesha shughuli ‘hosts’ kwenye tuzo za muziki wa injili Afrika, AGMA 2014 (Africa Gospel Music Awards). Tuzo hizo zitafanyika August 24 jijini London, Uingereza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani