Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uzalendo haupimwi kwa matamasha ya muziki!

Hivi karibuni limefanyika tamasha la uzalendo mjini Dodoma lililoshirikisha wasanii wa muziki, hasa wa kizazi kipya na waigiza filamu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mashirika mbalimbali yaombwa kudhamini pia matamasha ya muziki wa injili

01

Mwimbaji wa muziki wa injili Rose Muhando akiimba pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama kulia na mwimbaji wa muziki wa injili Bonny Mwaiteje katikati na Mwimbaji Chengula kushoto wakati wa tamasha la uzinduzi wa Albam ya Shikilia Pindo la Yesu uliofanyika kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza leo akisindikizwa na waimbaji malimbali wa muziki huo akiwemo Ephraimu Sekereti kutoka nchini Zambia, Albam hiyo imezinduliwa na Meya wa jiji la Mwanza Mhe.Stanslaus...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kila siku wanadai eti vijana hatuna uzalendo. Wao wana uzalendo kwetu?

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke, mipango miji, machinga, kero vijijini na waishiwa,

Hidaya

 

10 years ago

Michuzi

ONYESHA UZALENDO KWA KUPIGA KURA KWA KINARA WA UHAMASISHAJI WA AFYA YA MAMA NA MTOTO ROSE MWALONGO


 Sijambo la ajabu kwa wasomaji wa habari za kila siku kujikuta wakichagua baadhi ya kurasa au kutilia maanani zaidi habari za aina fulani, na hapa ina maana kuwa kuna vichwa vya habari vitakavyo wavuta kusoma habari yake mwanzo hadi mwisho.Harakati za kutetea haki za watoto na wanawake ndio eneo langu. Ndio maana habari hii haikunipita, habari iliyoandikwa kwenye habari iliyoandikwa kwenye gazeti la the Guardian,  na nitaandika sehemu ya habari hii ili nanyi msome:“’Nilipokuwa mdogo sana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uzalendo haujengwi kwa hotuba

NIANZE kukushukuru wewe unayeendelea kusoma makala zangu na kunipa moyo juu ya mada mbalimbali ninazo kutafakarisha kupitia jarida hili maridhawa. Ndugu zangu mlioniomba nizungumzie mafao ya waliokuwa watumishi wa Jumuiya...

 

10 years ago

Michuzi

AG MASAJU: WATUMISHI WA UMMA TUFANYE KAZI KWA UZALENDO

Na Mwandishi Wetu
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw. George Masaju amewakumbusha watumishi wa umma katika sekta ya sheria kufanya kazi kwa ushirikiano na uzalendo ili kulinda maslahi ya taifa.
Bw. Masaju, ambaye ameteuliwa na kuapishwa hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete kushika wadhifa huo, amefafanua kuwa watumishi wa umma wanapozingatia uzalendo katika utendaji wao, wanapata nguvu ya kusimama na kukemea maovu.
Bw. Masaju ameyasema hayo leo (Jumatano, Januari 7, 2015) jijini Dar es Salaam...

 

10 years ago

Michuzi

KITWANGA AHIMIZA UBUNIFU, UZALENDO KWA SEKTA YA MADINI

Kaimu Kamishna Msaidizi wa Madini, Sehemu ya Uchumi na Biashara ya Madini, Aloyce Tesha (Kulia) akitoa maelezo kwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga (Kushoto) kuhusu utendaji kazi katika sekta hiyo. Naibu Waziri Kitwanga aliwatembelea Watumishi wa Idara ya Madini kuzungumza nao na kukagua utendaji kazi wao.Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga (wa kwanza Kulia), akifafanua jambo kwa Viongozi wa Idara ya Madini alipokutana nao kujadili...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwaka 2013 matamasha 9

Maisha bila muziki na muziki bila maisha ni sawa na samaki bila maji. Ndivyo ilivyo kwa vijana, hata jamii.

 

9 years ago

Dewji Blog

Matamasha ya Halotel yafunika nchi nzima

7

Msanii Msami akiburudisha wanakijiji wa Kahe katika tamasha la Halo Xmas.

8

Msanii Shilole akiimba wakati wa tamasha la Halo Xmas lililofanyika wilaya ya Kahe.

6

Wakazi wa Kahe wakifatilia tamasha la Halo Xmas katika Wilaya ya Kahe.

5

Baraka Da Prince akiimba wakati wa tamasha la Halo Xmas mjini Chato.

4

Msanii Matonya akiimba katika uwanja wa Ruangwa wakati wa tamasha la Halo Xmas.

3

Madee akiburudisha mashabiki wa Mpwapwa katika uwanja wa Mgambo.

2

Msanii Sheta akiimba na mtoto katika tamasha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani