Uzalendo haupimwi kwa matamasha ya muziki!
Hivi karibuni limefanyika tamasha la uzalendo mjini Dodoma lililoshirikisha wasanii wa muziki, hasa wa kizazi kipya na waigiza filamu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog11 Aug
Mashirika mbalimbali yaombwa kudhamini pia matamasha ya muziki wa injili
Mwimbaji wa muziki wa injili Rose Muhando akiimba pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama kulia na mwimbaji wa muziki wa injili Bonny Mwaiteje katikati na Mwimbaji Chengula kushoto wakati wa tamasha la uzinduzi wa Albam ya Shikilia Pindo la Yesu uliofanyika kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza leo akisindikizwa na waimbaji malimbali wa muziki huo akiwemo Ephraimu Sekereti kutoka nchini Zambia, Albam hiyo imezinduliwa na Meya wa jiji la Mwanza Mhe.Stanslaus...
9 years ago
Raia Mwema16 Dec
Kila siku wanadai eti vijana hatuna uzalendo. Wao wana uzalendo kwetu?
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke, mipango miji, machinga, kero vijijini na waishiwa,
10 years ago
Michuzi16 Mar
ONYESHA UZALENDO KWA KUPIGA KURA KWA KINARA WA UHAMASISHAJI WA AFYA YA MAMA NA MTOTO ROSE MWALONGO
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/i4iR9vOOW3YeOH4gJT1gYgLFF22DCwRyTTiRC94t9DT_eJ1GbD9XICz8M6zxPV5uJExGnXy10NJVa3W8JdjDxI2Z0ETlATOxqMPyZFxSw5d6CHR0xKU6bLYU9GNiiJQNCKolxq-hwSi1yHklH_VU0WsiqmEluTVEol_9inB14tBXelTaKC0oh4GZVObp5dFepJfS0p_IyZ5XK25d4asRTFANbGrh9SNEG-IdQqTIv6Wi1C7njaPPYAYlrb7GvJTCioHK5WkTk8i1v4Jgkg5nAP1PP75oPjTJxtOEw2hoF0oWYEFltx5Zm_-3yOrhU4qymUf7tHIfWji3BFTSet0q7g=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-8OGySkdrsso%2FVQbpwLC1U2I%2FAAAAAAAAH2A%2FtUrIt48b7jY%2Fs1600%2Fmwalongo.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Sijambo la ajabu kwa wasomaji wa habari za kila siku kujikuta wakichagua baadhi ya kurasa au kutilia maanani zaidi habari za aina fulani, na hapa ina maana kuwa kuna vichwa vya habari vitakavyo wavuta kusoma habari yake mwanzo hadi mwisho.Harakati za kutetea haki za watoto na wanawake ndio eneo langu. Ndio maana habari hii haikunipita, habari iliyoandikwa kwenye habari iliyoandikwa kwenye gazeti la the Guardian, na nitaandika sehemu ya habari hii ili nanyi msome:“’Nilipokuwa mdogo sana...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Uzalendo haujengwi kwa hotuba
NIANZE kukushukuru wewe unayeendelea kusoma makala zangu na kunipa moyo juu ya mada mbalimbali ninazo kutafakarisha kupitia jarida hili maridhawa. Ndugu zangu mlioniomba nizungumzie mafao ya waliokuwa watumishi wa Jumuiya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cZCmd-viW6Q/VK1GatcvRfI/AAAAAAAG71A/f4OwdyMr4CU/s72-c/unnamedb1.jpg)
AG MASAJU: WATUMISHI WA UMMA TUFANYE KAZI KWA UZALENDO
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw. George Masaju amewakumbusha watumishi wa umma katika sekta ya sheria kufanya kazi kwa ushirikiano na uzalendo ili kulinda maslahi ya taifa.
Bw. Masaju, ambaye ameteuliwa na kuapishwa hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete kushika wadhifa huo, amefafanua kuwa watumishi wa umma wanapozingatia uzalendo katika utendaji wao, wanapata nguvu ya kusimama na kukemea maovu.
Bw. Masaju ameyasema hayo leo (Jumatano, Januari 7, 2015) jijini Dar es Salaam...
10 years ago
MichuziKITWANGA AHIMIZA UBUNIFU, UZALENDO KWA SEKTA YA MADINI
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Mwaka 2013 matamasha 9
9 years ago
Dewji Blog26 Dec
Matamasha ya Halotel yafunika nchi nzima
Msanii Msami akiburudisha wanakijiji wa Kahe katika tamasha la Halo Xmas.
Msanii Shilole akiimba wakati wa tamasha la Halo Xmas lililofanyika wilaya ya Kahe.
Wakazi wa Kahe wakifatilia tamasha la Halo Xmas katika Wilaya ya Kahe.
Baraka Da Prince akiimba wakati wa tamasha la Halo Xmas mjini Chato.
Msanii Matonya akiimba katika uwanja wa Ruangwa wakati wa tamasha la Halo Xmas.
Madee akiburudisha mashabiki wa Mpwapwa katika uwanja wa Mgambo.
Msanii Sheta akiimba na mtoto katika tamasha...