Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matamasha ya Halotel yafunika nchi nzima

7

Msanii Msami akiburudisha wanakijiji wa Kahe katika tamasha la Halo Xmas.

8

Msanii Shilole akiimba wakati wa tamasha la Halo Xmas lililofanyika wilaya ya Kahe.

6

Wakazi wa Kahe wakifatilia tamasha la Halo Xmas katika Wilaya ya Kahe.

5

Baraka Da Prince akiimba wakati wa tamasha la Halo Xmas mjini Chato.

4

Msanii Matonya akiimba katika uwanja wa Ruangwa wakati wa tamasha la Halo Xmas.

3

Madee akiburudisha mashabiki wa Mpwapwa katika uwanja wa Mgambo.

2

Msanii Sheta akiimba na mtoto katika tamasha...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Halotel kuandaa matamasha ya Christmass katika mikoa mitano nchini

Kampuni ya simu za mikononi ya Halotel inaandaa matamasha ya Christmass katika mikoa mitano nchini yenye lengo la kuwapa burudani watuamiaji wa mtandao huo pamoja na wale watakaohitaji kujiunga na mtandao huo.
Matamasha hayo ambayo yatafanyika wilaya za Tukuyu, Ruangwa, Moshi Vijijini, Chato pamoja na Mpwapwa, yatajumuisha wasanii wa bongo fleva pamoja na burudani nyingine kutoka kwa wasanii wa maeneo hayo.
Tamasha la Halo Christmass wilayani Tukuyu litafanyika katika uwanja wa Tandale...

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema kutikisa nchi; Helikopta tatu kurushwa nchi nzima

>Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuanzia leo, kinarusha helkopta tatu kwa siku 14 mfululizo, katika  kutekeleza kampeni iliyopewa jina la Operesheni Pamoja Daima (ODB) itakayoendeshwa katika mikoa yote nchini.

 

9 years ago

Habarileo

Bomoabomoa nchi nzima

WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesimamisha kazi ya bomoabomoa kwa siku 15 kwa wavamizi waliojenga katika Bonde la Mto Msimbazi, Dar es Salaam na kuwataka wavamizi hao kubomoa wenyewe na kuondoka maeneo hayo, kabla ya kazi hiyo kuanza tena Januari 5, mwakani.

 

11 years ago

Habarileo

Bodaboda zabanwa nchi nzima

Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera SensoPOLISI imetangaza operesheni nchi nzima ya kukamata madereva wa pikipiki (bodaboda), wasiofuata sheria za usalama barabarani, wakiwemo wanaopita taa nyekundu bila kuruhusiwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu kuandamana nchi nzima

BARAZA la Taifa la Chama cha Walimu Tanzania (CWT), limetoa siku 14 kwa wakurugenzi wa halmshauri nchini kuwapa barua za kuwapandisha vyeo walimu wanaostahili la sivyo watafanya maandamano nchi nzima....

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa kusambaa nchi nzima

 Siku moja baada ya kususia Bunge, wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wametangaza kuanza utaratibu wa kuzungumza na wananchi juu ya kilichotokea na kinachoendelea bungeni.

 

10 years ago

GPL

ESCROW MPASUKO NCHI NZIMA

STORI:  Mwandishi Wetu TUKUBALI tukatae, sakata la fedha kiasi cha Sh. bilioni 306 zilizochotwa kutoka katika Akaunti ya Tegeta Escrow kwenye Benki Kuu ya Tanzania (BoT) limeipasua nchi, Risasi Jumamosi limegundua. Waziri mkuu Mizengo Pinda. Escrow imeipasua nchi kufuatia majadiliano ya waheshimiwa wengi kuanzia juzi, Alhamisi kuonekana kila mmoja ana upande wake huku wapiga kura wao nao wakiwa kinyume na wawakilishi...

 

10 years ago

Vijimambo

NHIF YAOMBWA KWENDA NCHI NZIMA'>NHIF YAOMBWA KWENDA NCHI NZIMA

Maofisa wa Serikali kutoka Wizara, Idara na Taasisi mbalimbali za Serikali wakiwa kwenye foleni ya kupima afya zao kwenye banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya katika Mkutano Mkuu wa Kwanza wa Serikali Mtandao mjini Arusha.Huduma za kupima shinikizo la damu zikiendelea.Dawati la elimu kwa Umma likiwa kazini
Na Grace Michael, ArushaMFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya umeombwa kutekeleza zoezi la upimaji wa afya za wananchi katika Halmashauri zote nchini ikiwa ni pamoja na utoaji wa elimu ya namna...

 

10 years ago

Mtanzania

TUCTA kuitisha mgoma nchi nzima

Mukoba1Patricia Kimelemeta na Christina Gauluhanga
SHIRIKISHO la Vyama Vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), linatarajia kuitisha mgomo wa wafanyakazi nchi nzima, endapo Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) haitaondoa kanuni mpya ambayo inaruhusu watumishi watakaostaafu kwa hiari yao kukatwa asilimia 18 ya mafao yao.
Kanuni hiyo mpya itaanza kutumika Julai mwaka huu ambapo watumishi watakaostaafu kwa hiari watalazimika kukatwa kiasi hicho.
Ili kuhakikisha suala hilo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani