Matamasha ya Halotel yafunika nchi nzima
Msanii Msami akiburudisha wanakijiji wa Kahe katika tamasha la Halo Xmas.
Msanii Shilole akiimba wakati wa tamasha la Halo Xmas lililofanyika wilaya ya Kahe.
Wakazi wa Kahe wakifatilia tamasha la Halo Xmas katika Wilaya ya Kahe.
Baraka Da Prince akiimba wakati wa tamasha la Halo Xmas mjini Chato.
Msanii Matonya akiimba katika uwanja wa Ruangwa wakati wa tamasha la Halo Xmas.
Madee akiburudisha mashabiki wa Mpwapwa katika uwanja wa Mgambo.
Msanii Sheta akiimba na mtoto katika tamasha...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi
Halotel kuandaa matamasha ya Christmass katika mikoa mitano nchini

Matamasha hayo ambayo yatafanyika wilaya za Tukuyu, Ruangwa, Moshi Vijijini, Chato pamoja na Mpwapwa, yatajumuisha wasanii wa bongo fleva pamoja na burudani nyingine kutoka kwa wasanii wa maeneo hayo.
Tamasha la Halo Christmass wilayani Tukuyu litafanyika katika uwanja wa Tandale...
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Chadema kutikisa nchi; Helikopta tatu kurushwa nchi nzima
9 years ago
Habarileo23 Dec
Bomoabomoa nchi nzima
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesimamisha kazi ya bomoabomoa kwa siku 15 kwa wavamizi waliojenga katika Bonde la Mto Msimbazi, Dar es Salaam na kuwataka wavamizi hao kubomoa wenyewe na kuondoka maeneo hayo, kabla ya kazi hiyo kuanza tena Januari 5, mwakani.
11 years ago
Habarileo23 Jun
Bodaboda zabanwa nchi nzima
POLISI imetangaza operesheni nchi nzima ya kukamata madereva wa pikipiki (bodaboda), wasiofuata sheria za usalama barabarani, wakiwemo wanaopita taa nyekundu bila kuruhusiwa.
11 years ago
Tanzania Daima04 Sep
Walimu kuandamana nchi nzima
BARAZA la Taifa la Chama cha Walimu Tanzania (CWT), limetoa siku 14 kwa wakurugenzi wa halmshauri nchini kuwapa barua za kuwapandisha vyeo walimu wanaostahili la sivyo watafanya maandamano nchi nzima....
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Ukawa kusambaa nchi nzima
10 years ago
GPL
ESCROW MPASUKO NCHI NZIMA
10 years ago
Vijimambo
NHIF YAOMBWA KWENDA NCHI NZIMA'>NHIF YAOMBWA KWENDA NCHI NZIMA



Na Grace Michael, ArushaMFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya umeombwa kutekeleza zoezi la upimaji wa afya za wananchi katika Halmashauri zote nchini ikiwa ni pamoja na utoaji wa elimu ya namna...
10 years ago
Mtanzania15 Apr
TUCTA kuitisha mgoma nchi nzima
Patricia Kimelemeta na Christina Gauluhanga
SHIRIKISHO la Vyama Vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), linatarajia kuitisha mgomo wa wafanyakazi nchi nzima, endapo Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) haitaondoa kanuni mpya ambayo inaruhusu watumishi watakaostaafu kwa hiari yao kukatwa asilimia 18 ya mafao yao.
Kanuni hiyo mpya itaanza kutumika Julai mwaka huu ambapo watumishi watakaostaafu kwa hiari watalazimika kukatwa kiasi hicho.
Ili kuhakikisha suala hilo...