Halotel kuandaa matamasha ya Christmass katika mikoa mitano nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-2wgBtEucNxg/VnuyF_dxDfI/AAAAAAADEKw/6f56N_H4HSo/s72-c/3.jpg)
Kampuni ya simu za mikononi ya Halotel inaandaa matamasha ya Christmass katika mikoa mitano nchini yenye lengo la kuwapa burudani watuamiaji wa mtandao huo pamoja na wale watakaohitaji kujiunga na mtandao huo.
Matamasha hayo ambayo yatafanyika wilaya za Tukuyu, Ruangwa, Moshi Vijijini, Chato pamoja na Mpwapwa, yatajumuisha wasanii wa bongo fleva pamoja na burudani nyingine kutoka kwa wasanii wa maeneo hayo.
Tamasha la Halo Christmass wilayani Tukuyu litafanyika katika uwanja wa Tandale...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog26 Dec
Matamasha ya Halotel yafunika nchi nzima
Msanii Msami akiburudisha wanakijiji wa Kahe katika tamasha la Halo Xmas.
Msanii Shilole akiimba wakati wa tamasha la Halo Xmas lililofanyika wilaya ya Kahe.
Wakazi wa Kahe wakifatilia tamasha la Halo Xmas katika Wilaya ya Kahe.
Baraka Da Prince akiimba wakati wa tamasha la Halo Xmas mjini Chato.
Msanii Matonya akiimba katika uwanja wa Ruangwa wakati wa tamasha la Halo Xmas.
Madee akiburudisha mashabiki wa Mpwapwa katika uwanja wa Mgambo.
Msanii Sheta akiimba na mtoto katika tamasha...
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Huduma ya 4G LTE yapiga hodi mikoa mitano
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1rlp5P7JrjY/UvHz2aIC-tI/AAAAAAAFK6o/vqe-VLfUZL4/s72-c/GO9G8667.jpg)
Mikoa 7 yaomba kuandaa Tamasha la Pasaka
![](http://1.bp.blogspot.com/-1rlp5P7JrjY/UvHz2aIC-tI/AAAAAAAFK6o/vqe-VLfUZL4/s1600/GO9G8667.jpg)
MIKOA sita imeomba kuandaa Tamasha la Pasaka mwaka huu.
Kwa mujibu wa habari zilizopatikana kutoka ndani ya Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka kumekuwa na maombi mengi sana ya wadau wanaotaka tamasha hilo.
Akizungumzia suala hilo, Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, Alex Msama (pichani) alisema kwa sasa wanashughulikia vibali vya tamasha hilo na wala si vinginevyo.
“Yapo maombi mengi sana, lakini akili yetu kwa sasa ni suala la kupata...
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Mikoa mitano kuchuana Safari Lager Nyama Choma
SHINDANO la Safari Lager Nyama Choma 2014 limezinduliwa jijini Dar es Salaam jana huku likitarajiwa kushirikisha baa mbalimbali katika mikoa mitano. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Meneja wa Bia ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FcxZaOS4HAE/VTvo9yhIHII/AAAAAAAHTSY/WW3FB38kiT8/s72-c/unnamedd1.jpg)
Mikoa mitano kushiriki mashindano ya mchezo wa vishale "Darts" Taifa
MASHINDANO ya mchezo wa Darts Taifa yamezinduliwa rasmi leo jijini Dar es Salaam katika Hoteli ya Moshi iliyopo Manzese kwa kushirikisha mikoa mitano ya Tanzania.
Akizindua mashindano hayo Katibu Tawala wa Wilaya ya kinondoni, Selestine Onditi ”kwanza aliwapongeza viongozi wa chama hicho kwa juhudi za pekee za kufanya mashindano hayo yafanyike kwa mwaka wa 2015,lakini zaidi aliwashukuru wachezaji kwa moyo wa kupenda mchezo kujigarimia kuacha kazi zao kutoka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1TxjyclNmzt*zl72rtuJ-bWdIeTeYjCKCKCQb3jUvriWtZYt6cf5VZ-VLauQAyoB3FV-I3BgIJBkUFMnOf3Uhte4ckm*GBlL/IKULU.png?width=650)
RAIS KIKWETE AFANYA UTEUZI WA MAKATIBU TAWALA WAPYA MIKOA MITANO NA KUHAMISHA WENGINE WAKIWEMO WAKURUGENZI WA MAJIJI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-n4DgVQJHDUQ/Xkixa7Mjd4I/AAAAAAACHq0/dMFRgfHh-Y0MJZo8ZcbxgViD4URfH_BEwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200216-WA0005.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM DK. BASHIRU AWAONYA MAKATIBU WA WILAYA, MIKOA WANAOZEMBEA KUANDAA VITAMBULISHO VYA WENYEVITI WA MASHINA
![](https://1.bp.blogspot.com/-n4DgVQJHDUQ/Xkixa7Mjd4I/AAAAAAACHq0/dMFRgfHh-Y0MJZo8ZcbxgViD4URfH_BEwCLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200216-WA0005.jpg)
Februari 15, 2020
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally ametoa onyo kwa Makatibu wa CCM wa Mikoa na Wilaya ambao hawajatekeleza agizo la kuandaa vitambulisho kwa ajili ya Wenyeviti wa mashina (Mabalozi) katika maeneo yao.
Dkt. Bashiru ametoa onyo hilo kutokana na kuwepo kwa taarifa ya baadhi ya Watendaji...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JBLBLEDKFbs/UvvGGZ0UxeI/AAAAAAAFMqk/jA0w3RTUdDQ/s72-c/unnamed.jpg)
KITUO CHA UWEKEZAJI CHAWAPONGEZA WAKUU WA MIKOA KATIKA JITIHADA ZAO ZA KUHAMASISHA UWEKEZAJI MIKOA YA KANDA YA ZIWA
Mikoa ambayo itashiriki katika Kongamano la Uwekezaji la Kanda ya Ziwa ni Mwanza, Geita, Mara, Simiyu, Kagera na Shinyanga Kongamano ambalo kwa pamoja litawakutanisha Wawekezaji pamoja na Serikali katika kujadili vivutio vya Uwekezaji vinavyopatikana katika mikoa hiyo ya kanda ya Ziwa.
Kituo cha Uwekezaji Kimejizatiti...
10 years ago
GPLTAASISI YA LEAP KUANDAA KONGAMANO LA SHERIA NCHINI