Mikoa 7 yaomba kuandaa Tamasha la Pasaka
![](http://1.bp.blogspot.com/-1rlp5P7JrjY/UvHz2aIC-tI/AAAAAAAFK6o/vqe-VLfUZL4/s72-c/GO9G8667.jpg)
Na Mwandishi Wetu
MIKOA sita imeomba kuandaa Tamasha la Pasaka mwaka huu.
Kwa mujibu wa habari zilizopatikana kutoka ndani ya Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka kumekuwa na maombi mengi sana ya wadau wanaotaka tamasha hilo.
Akizungumzia suala hilo, Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, Alex Msama (pichani) alisema kwa sasa wanashughulikia vibali vya tamasha hilo na wala si vinginevyo.
“Yapo maombi mengi sana, lakini akili yetu kwa sasa ni suala la kupata...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qsTrbvO5w6BLkMBc5P*l9xjWewpSkWjcVoufU1rpUILN0PBnUT0wVzyRpNzqsstZR7qHtvWC*JLdbufhUkMhk8h/p.txt.jpg?width=650)
TAMASHA LA PASAKA LASAMBAA MIKOA 17
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Mashabiki Tamasha la Pasaka kuchagua mikoa
WAKATI Tamasha la Pasaka linatarajia kufanyika kwenye mikoa mbalimbali mwaka huu hapa nchini, mashabiki ndio watachagua mikoa litakakofanyika. Mfumo huo utasaidia mashabiki wa mikoani kuteua mikoa yao ifikiwe na tamasha...
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Mikoa saba yalitaka Tamasha la Pasaka
MIKOA saba imeomba kuandaa Tamasha la Pasaka linalofanyika kila mwaka. Kwa mujibu wa habari zilizopatikana kutoka ndani ya Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, kumekuwa na maombi mengi ya...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hSv4CwwF1CY/VoluFk3KnUI/AAAAAAADEcQ/rICQKvRX4WM/s72-c/p.txt.jpg)
Mikoa yaanza kugombania Tamasha la Pasaka 2016
![](http://1.bp.blogspot.com/-hSv4CwwF1CY/VoluFk3KnUI/AAAAAAADEcQ/rICQKvRX4WM/s400/p.txt.jpg)
WANANCHI wa mikoa mbalimbali wamejitokeza kuiomba kkampuni ya Msama Promotions ianzie Tamasha la Pasaka mikoa kwao mwaka huu huku wakazi wa dare s salaam wakisisitiza libaki mkoani humo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, Alex Msama ameliambia Gazeti hili kuwa, tayari amepokea maombi toka kwa wananchi na mashabiki wa mikoa ya Morogoro, Mwanza, Mbeya, Dodoma na Dar es Salaam wakitaka tamasha hilo lianzie kwao mwaka huu.
“Kamati yangu inafuata taratibu za Baraza la...
10 years ago
Mtanzania18 Feb
Mikoa yatakiwa kutuma maombi zaidi Tamasha la Pasaka
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAM
MIKOA mbalimbali nchini imetakiwa kutuma maombi zaidi kwa kamati ya maandalizi ya Tamasha la Pasaka, ili kufanikisha kufana kwa tamasha hilo mwaka huu.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, Alex Msama, hadi sasa ni mikoa 17 imefanikiwa kutuma maombi hayo, ambapo idadi hiyo ni kubwa na haijawahi kutokea tangu walipoanzisha tamasha lao mwaka 2000.
“Tumepokea maombi ya wadau kutoka mikoa 17 wakitaka tupeleke Tamasha la Pasaka...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Zds5s2Ww4Ho/VOSRy0-vC9I/AAAAAAAC0F0/-XfNfpT7OWA/s72-c/_MG_4711.jpg)
MAANDALIZI YA MIAKA 15 YA TAMASHA LA PASAKA YAENDELEA KUNOGA,BAISKELI 100 KUTOLEWA KWA WALEMAVU MIKOA KUMI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Zds5s2Ww4Ho/VOSRy0-vC9I/AAAAAAAC0F0/-XfNfpT7OWA/s1600/_MG_4711.jpg)
10 years ago
Mwananchi26 Aug
TFF yaomba kuandaa Afcon 2017