Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAASISI YA LEAP KUANDAA KONGAMANO LA SHERIA NCHINI

Mkurugenzi wa  LEAP, Femi Omere,  akifafanua jambo kwa wanahabari (hawapo pichani). Kaimu Mkuu wa Idara ya Mafunzo na Vitendo wa LEAP, Goodluck Chuwa,  akisisitiza jambo kwenye hafla hiyo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Forum CC yaandaa kongamano la vijana

Taasisi isiyo ya Kiserikali ya  Forum CC imeandaa kongamano la siku moja kwa vijana kutoka  Asasi za kiraia lililojadili msimamo wa Tanzania juu ya masuala ya Mazingira, hususan Mabadiliko ya Tabianchi  kuelekea Mkutano Mkubwa wa Mazingira Duniani utakaofanyika katika jiji la Lima nchini Peru, Desemba 2014. Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mh. Ummy Mwalimu akiongea na waandishi wa habari  (hawapo pichani) mara baada ya kufungua kongamano hilo. Sehemu ya Washiriki walioshiriki katika...

 

10 years ago

Michuzi

UMOJA WA TAASISI ZA HIJJA ZANZIBAR ZAANDAA KONGAMANO KWA MAHUJAJI WATARAJIWA

Na Ramadhani Ali –Maelezo Zanzibar Waislamu wa Zanzibar wanaotegemea kutekeleza Ibada ya Hijja mwaka huu wameshauriwa kukamilisha mipango ya safari hiyo mapema ili kuziwezesha Taasisi zinazosafirisha mahujaji kuweza kukamilisha taratibu mpya zilizowekwa na Serikali ya Saudi Arabia. Akizungumza katika Kongamano la mahujaji watarajiwa lililofanyika ukumbi wa Beit al Yamin Malindi, Afisa kutoaka Kamisheni ya Wakfu na Mali ya Amana Ustaadh Khalid Mohammed Mrisho amesema Serikali ya Saudi Arabia...

 

5 years ago

Michuzi

TAASISI YA HAKI FURSA YAMUOMBA SPIKA WA BUNGE KUANDAA TUZO MAALUM KWA AJILI YA KUTAMBUA MCHANGO WA RAIS DK.MAGUFULI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA


Ofisa Mipango wa Taasisi ya Haki Fursa Kwagilwa Reuben (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi habari leo Mei 27 , 2020 jijini Dar es Salaam kuhusu umuhimu wa Rais Dk.John Magufuli kupewa tuzo maalumu ya kutambua na kuthamini mchango wake katika kupambana na janga la Corona nchini.Kushoto ni Katibu Mtendaji wa taasisi hiyo Ntimi Charles na kulia ni Ofisa Ustawi wa Jamii wa taasisi hiyo Lwitiko Mwakikuti.
Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Haki Fursa Ntimi Charles (katikati) akisikiliza kwa...

 

9 years ago

Michuzi

HALFA YA KUFUNGA KONGAMANO LA 29 LA SAYANSI LILILOANDALIWA NA TAASISI YA TAIFA YA UTAFITI WA MAGONJWA YA BINADAMU.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donald Mmbando akizungumza na wanasayansi wa magonjwa ya binadamu wakati wa hafla ya kufunga kongamano la 29 la Kisayansi lililoandaliwa na Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu ili kuwasilisha na kujadili matokeo ya tafiti za tiba katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi. (Na Mpiga Picha Wetu).

 

9 years ago

Vijimambo

TAASISI YA TANZANIA BORA INITIATIVE YAFANYA KONGAMANO LA VIJANA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

Balozi wa Marekani Nchini Tanzania,  Mark Childress akizungumza katika Kongamano hilo lililohusu Ndoto Kubwa ya vijana kabla ya uchaguzi mkuu na baada ya uchaguzi lililofanyika jana Hoteli ya New Afrika jijini Dar es Salaam.Mwakilishi kutoka Taasisi ya Ekihya, Lillian Secelela akiongoza kongamano hilo.Mtaalamu wa masuala ya vijana, Humphrey Polepole, akizungumza katika kongamano hilo. Polepole alikuwa mmoja wa wageni kwenye kongamano hilo  na alichangia mada kadhaa sanjari na wenzane watatu,...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YASHIRIKI KONGAMANO LA VIJANA LA BIASHARA LILILOANDALIWA NA TAASISI YA AIESEC JIJINI ARUSHA

Jumla yaVijana 150 kutoka ndani na nje ya nchi wameudhuria Kongamano la Biashara kwa Vijana lililofanyika jijini Arusha ambapo Benki ya CRDB wakiwa ni miongoni mwa wadhamini wa  kongamani hilo.


Kongamano hilo lilihudhuriwa na Vijana kutoka katika Vyuo Vikuu vya nchi za Afrika Mashariki na kuandaliwa na Taasisi ya AIESEC ambalo hujihusisha na ubunifu wa vipaji vya uongozi miongoni mwa vijana lililofanyika jijini Arusha hivi karibuni katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Hall CDTI- TENGERU, Arusha...

 

9 years ago

GPL

TAASISI YA TANZANIA BORA INITIATIVE YAFANYA KONGAMANO LA VIJANA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU‏

Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Mark Childress akizungumza katika Kongamano hilo lililohusu Ndoto Kubwa ya vijana kabla ya uchaguzi mkuu na baada ya uchaguzi lililofanyika jana Hoteli ya New Afrika jijini Dar es Salaam. Mwakilishi kutoka Taasisi ya Ekihya, Lillian Secelela akiongoza kongamano hilo. Mtaalamu wa masuala ya vijana, Humphrey Polepole, akizungumza katika… ...

 

10 years ago

Habarileo

Bilal azindua majengo ya taasisi ya sheria

Makamu wa  Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal ameitaka Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo, kutambua ina wajibu wa kufanya kazi kwa bidii, ubunifu, maarifa na weledi ili dhima ya ubora katika tasnia ya sheria kuweza kutimizwa kikamilifu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani