Bilal azindua majengo ya taasisi ya sheria
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal ameitaka Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo, kutambua ina wajibu wa kufanya kazi kwa bidii, ubunifu, maarifa na weledi ili dhima ya ubora katika tasnia ya sheria kuweza kutimizwa kikamilifu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua rasmi majengo ya taasisi ya mafunzo ya uanasheria kwa vitendo Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika, wakati alipowasili kwenye viwanja vya Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania kwa ajili ya kuzindua Taasisi hiyo iliyopo Ubungo jijini Dar es Salaam, leo Desemba 22, 2014.(Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (wa tatu kushoto) akikata utepe kuzindua rasmi Majengo ya Taasisi ya Mafunzo ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DblHzp1LrF4/VJQxWW9O1OI/AAAAAAAG4cY/rbGocDqtMC0/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-12-19%2Bat%2B5.06.35%2BPM.png)
Dkt. Bilal kuzindua majengo ya Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria Tanzania Jumatatu
![](http://3.bp.blogspot.com/-DblHzp1LrF4/VJQxWW9O1OI/AAAAAAAG4cY/rbGocDqtMC0/s1600/Screen%2BShot%2B2014-12-19%2Bat%2B5.06.35%2BPM.png)
Hafla hiyo itafanyika kuanzia saa 3:00 asubuhi – saa 6:00 mchana katika eneo lililopo nyuma ya Jengo la Mawasiliano (Mawasiliano Towers), barabara ya Sam Nujoma, jijini Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HLUfuFStkjQ/VJcV4R5GC9I/AAAAAAAG45U/k-BkL2H5Rh0/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Dkt. Bilal kuzindua majengo ya Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria Tanzania kesho Jumatatu
![](http://4.bp.blogspot.com/-HLUfuFStkjQ/VJcV4R5GC9I/AAAAAAAG45U/k-BkL2H5Rh0/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2l4gGSFPZXI/VJcV4kTiD3I/AAAAAAAG45Y/gfaKGk0G3J8/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Dec
Dkt. Bilal kuzindua majengo ya Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Jumatatu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mohamed Gharib Bilal (pichani) anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika hafla ya uzinduzi wa majengo ya kudumu ya Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (The Law School of Tanzania) itakayofanyika Jumatatu, tarehe 22 Disemba, 2014 jijini Dar es Salaam.
Hafla hiyo itafanyika kuanzia saa 3:00 asubuhi – saa 6:00 mchana katika eneo lililopo nyuma ya Jengo la Mawasiliano (Mawasiliano Towers), barabara ya Sam Nujoma, jijini...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8hkfVJyu5Hw/Vdb9tG-qEPI/AAAAAAAHyx0/8a7-6ZjEwzE/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MPANGO WA KAZI WA KIMATAIFA NA KANUNI ZA SHERIA YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-8hkfVJyu5Hw/Vdb9tG-qEPI/AAAAAAAHyx0/8a7-6ZjEwzE/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-87WVBfJhyzU/Vdb9vJCOu7I/AAAAAAAHyyY/EAT-SmRra4s/s640/1C.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8hkfVJyu5Hw/Vdb9tG-qEPI/AAAAAAAHyx0/8a7-6ZjEwzE/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MPANGO WA KAZI WA KIMATAIFA NA KANUNI ZA SHERIA YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-8hkfVJyu5Hw/Vdb9tG-qEPI/AAAAAAAHyx0/8a7-6ZjEwzE/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HiyJYbIaoJs/Vdb9vqZnW5I/AAAAAAAHyyk/yB5bo1DRrCs/s640/2.jpg)
10 years ago
Habarileo20 Mar
Bilal awapa somo wabunifu wa majengo
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amewataka wabunifu wa majengo wa nchi za Afrika ya Mashariki na Kati kubuni mbinu mbadala katika ujenzi wa majengo zenye kulinda mazingira na kupunguza gharama za umeme na maji.
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Rais Kikwete azindua majengo pacha ya ghorofa 35 ya PSPF Towers mtaa wa Sokoine Jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-UlVj7XOR_sE/VfleGkvKD4I/AAAAAAAH5R4/JAnwFah4qYo/s640/ps1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2-x_zTZRLNI/VfleLh7hArI/AAAAAAAH5TM/_yNnhA8b6cM/s640/ps2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eTSZJWt3CbU/VflePi6zN5I/AAAAAAAH5T4/CCytxt0_DhY/s640/ps3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lhJhUN8DpLI/VfleJowjPrI/AAAAAAAH5S0/7FybDwHS-Fg/s72-c/ps16.jpg)
JK azindua majengo pacha ya ghorofa 35 ya PSPF TOWERS mtaa wa Sokoine jijini Dar es salaam leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-lhJhUN8DpLI/VfleJowjPrI/AAAAAAAH5S0/7FybDwHS-Fg/s640/ps16.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xz0XJPPuI4M/VfleIrlZ2aI/AAAAAAAH5SY/KvGF5dVvzaY/s640/ps15.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ljBz6OVGJnA/VfleHANfYCI/AAAAAAAH5SE/0-D2EQTIN_c/s640/ps12.jpg)