Dkt. Bilal kuzindua majengo ya Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria Tanzania Jumatatu
![](http://3.bp.blogspot.com/-DblHzp1LrF4/VJQxWW9O1OI/AAAAAAAG4cY/rbGocDqtMC0/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-12-19%2Bat%2B5.06.35%2BPM.png)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mohamed Gharib Bilal anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika hafla ya uzinduzi wa majengo ya kudumu ya Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (The Law School of Tanzania) itakayofanyika Jumatatu, tarehe 22 Disemba, 2014 jijini Dar es Salaam.
Hafla hiyo itafanyika kuanzia saa 3:00 asubuhi – saa 6:00 mchana katika eneo lililopo nyuma ya Jengo la Mawasiliano (Mawasiliano Towers), barabara ya Sam Nujoma, jijini Dar es...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HLUfuFStkjQ/VJcV4R5GC9I/AAAAAAAG45U/k-BkL2H5Rh0/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Dkt. Bilal kuzindua majengo ya Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria Tanzania kesho Jumatatu
![](http://4.bp.blogspot.com/-HLUfuFStkjQ/VJcV4R5GC9I/AAAAAAAG45U/k-BkL2H5Rh0/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2l4gGSFPZXI/VJcV4kTiD3I/AAAAAAAG45Y/gfaKGk0G3J8/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Dec
Dkt. Bilal kuzindua majengo ya Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Jumatatu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mohamed Gharib Bilal (pichani) anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika hafla ya uzinduzi wa majengo ya kudumu ya Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (The Law School of Tanzania) itakayofanyika Jumatatu, tarehe 22 Disemba, 2014 jijini Dar es Salaam.
Hafla hiyo itafanyika kuanzia saa 3:00 asubuhi – saa 6:00 mchana katika eneo lililopo nyuma ya Jengo la Mawasiliano (Mawasiliano Towers), barabara ya Sam Nujoma, jijini...
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua rasmi majengo ya taasisi ya mafunzo ya uanasheria kwa vitendo Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika, wakati alipowasili kwenye viwanja vya Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania kwa ajili ya kuzindua Taasisi hiyo iliyopo Ubungo jijini Dar es Salaam, leo Desemba 22, 2014.(Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (wa tatu kushoto) akikata utepe kuzindua rasmi Majengo ya Taasisi ya Mafunzo ya...
10 years ago
Dewji Blog07 Sep
Serikali yatumia zaidi ya Bilioni 16 kujenga Taasisi ya mafunzo ya uanasheria kwa vitendo
Afisa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School) Bi. Scholastica Njozi akiwaeleza jambo waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa ziara iliyofanywa kwenye Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Habari wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Omega Ngole.
Frank Mvungi-Maelezo
Serikali yatumia zaidi ya Bilioni 16 kujenga Taasisi ya mafunzo ya uanasheria kwa vitendo (the law school of Tanzania).
Hayo yamesemwa leo jijini Dar...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ONKmBxwZgDA/VEplSsuIhNI/AAAAAAAGtL8/kbM6dBIxRfE/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
Wanafunzi Taasisi ya Mufunzo Uanasheria kupata mikopo - Dkt. Migiro
![](http://4.bp.blogspot.com/-ONKmBxwZgDA/VEplSsuIhNI/AAAAAAAGtL8/kbM6dBIxRfE/s1600/unnamed%2B(29).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0mMEAnoULlA/VEplSqlG7bI/AAAAAAAGtME/Jq7sYSjybCY/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Oct
Dkt. Migiro: Wanafunzi Taasisi ya Mufunzo Uanasheria sasa kupata mikopo
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro akikagua Jengo la Mahakama ya Mafunzo katika Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Ijumaa, oktoba 24, 2014) jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Naibu wake Mhe. Angellah Jasmine Kairuki na kulia ni Mkuu wa Taasisi hiyo Jaji Dkt. Gerald Ndika.
Na Mwandishi wetu
Serikali inakamilisha taratibu za kuwasilisha Bungeni Muswada wa Sheria unaolenga kurekebisha Sheria ya Bodi ya Mikopo ili kuwawezesha wanafunzi wa Taasisi ya Mafunzo ya...
10 years ago
Habarileo23 Dec
Bilal azindua majengo ya taasisi ya sheria
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal ameitaka Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo, kutambua ina wajibu wa kufanya kazi kwa bidii, ubunifu, maarifa na weledi ili dhima ya ubora katika tasnia ya sheria kuweza kutimizwa kikamilifu.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eZApfK2dsmQ/ViDiWel2CFI/AAAAAAAIAWk/e1RJfr0DmJ4/s72-c/3.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT.BILAL AMWAKILISHA RAIS JAKAYA KUZINDUA HALOTEL TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-eZApfK2dsmQ/ViDiWel2CFI/AAAAAAAIAWk/e1RJfr0DmJ4/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WzObxe_Rm4s/ViDiXvZXKBI/AAAAAAAIAW0/YESpxg6qYIY/s640/7.jpg)
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, AFUNGUA MKUTANO WA KITAIFA WA TAASISI ZA FEDHA JIJINI ARUSHA