Serikali yatumia zaidi ya Bilioni 16 kujenga Taasisi ya mafunzo ya uanasheria kwa vitendo
Afisa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School) Bi. Scholastica Njozi akiwaeleza jambo waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa ziara iliyofanywa kwenye Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Habari wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Omega Ngole.
Frank Mvungi-Maelezo
Serikali yatumia zaidi ya Bilioni 16 kujenga Taasisi ya mafunzo ya uanasheria kwa vitendo (the law school of Tanzania).
Hayo yamesemwa leo jijini Dar...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog21 Dec
Dkt. Bilal kuzindua majengo ya Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Jumatatu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mohamed Gharib Bilal (pichani) anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika hafla ya uzinduzi wa majengo ya kudumu ya Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (The Law School of Tanzania) itakayofanyika Jumatatu, tarehe 22 Disemba, 2014 jijini Dar es Salaam.
Hafla hiyo itafanyika kuanzia saa 3:00 asubuhi – saa 6:00 mchana katika eneo lililopo nyuma ya Jengo la Mawasiliano (Mawasiliano Towers), barabara ya Sam Nujoma, jijini...
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua rasmi majengo ya taasisi ya mafunzo ya uanasheria kwa vitendo Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika, wakati alipowasili kwenye viwanja vya Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania kwa ajili ya kuzindua Taasisi hiyo iliyopo Ubungo jijini Dar es Salaam, leo Desemba 22, 2014.(Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (wa tatu kushoto) akikata utepe kuzindua rasmi Majengo ya Taasisi ya Mafunzo ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DblHzp1LrF4/VJQxWW9O1OI/AAAAAAAG4cY/rbGocDqtMC0/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-12-19%2Bat%2B5.06.35%2BPM.png)
Dkt. Bilal kuzindua majengo ya Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria Tanzania Jumatatu
![](http://3.bp.blogspot.com/-DblHzp1LrF4/VJQxWW9O1OI/AAAAAAAG4cY/rbGocDqtMC0/s1600/Screen%2BShot%2B2014-12-19%2Bat%2B5.06.35%2BPM.png)
Hafla hiyo itafanyika kuanzia saa 3:00 asubuhi – saa 6:00 mchana katika eneo lililopo nyuma ya Jengo la Mawasiliano (Mawasiliano Towers), barabara ya Sam Nujoma, jijini Dar es...
11 years ago
Dewji Blog31 May
Serikali yatoa zaidi ya shilingi 6.7 bilioni kujenga hospitali ya rufaa Singida
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Abdulrahamani Kinana akiongozwa na Mkuu wa Moa wa Singida Dk, Parseko Kone, Katibu Tawala Lianna Hassan na viongozi wengine wa Mkoa wa Singida kukagua hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida, wakati Kinana alipokuwa Mkoani Singida kwa ziara ya kikazi ya siku saba.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Nathaniel Limu, Singida
MKUU wa Mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone amesema serikali imetoa zaidi ya shilingi 6.7 bilioni kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HLUfuFStkjQ/VJcV4R5GC9I/AAAAAAAG45U/k-BkL2H5Rh0/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Dkt. Bilal kuzindua majengo ya Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria Tanzania kesho Jumatatu
![](http://4.bp.blogspot.com/-HLUfuFStkjQ/VJcV4R5GC9I/AAAAAAAG45U/k-BkL2H5Rh0/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2l4gGSFPZXI/VJcV4kTiD3I/AAAAAAAG45Y/gfaKGk0G3J8/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_04731.jpg)
SERIKALI YATOA ZAIDI YA SHILINGI 6.7 BILIONI KUJENGA HOSPITALI YA RUFAA SINGIDA
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Taasisi ya Watumishi Housing kutumia bilioni 400 kujenga nyumba za watumishi wa serikali
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watumishi Housing Company, Dkt. Fred Msemwa akitoa mada kuhusu mkopo wa ujenzi wa nyumba bora za kisasa kwa watumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Idara ya Habari Jijini Dar es Salaam leo Alhamisi Agosti 14, 2014.
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO-Dar es Salaam.
TAASISI ya Watumishi Housing Company imetenga kiasi cha Tsh. Bilioni 400 kwa ajili ya ujenzi za watumishi wa...
11 years ago
Habarileo30 Mar
Serikali yatumia bilioni 4.7/-kuimarisha CHF
SERIKALI kupitia Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) imetumia zaidi ya Sh bilioni 4.7 kuimarisha huduma za afya kupitia mradi wake wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF). Fedha hizo ni kuanzia mwaka 2009 wakati NHIF ilipokabidhiwa jukumu la kulea CHF.
10 years ago
Dewji Blog18 Apr
World Vision Tanzania yatumia zaidi ya bilioni 5.3 kuboresha miradi ya Afya Singida
Kaimu mkuu wa mkoa wa Singida, Saidi Alli Kamanzi na DC wa wilaya ya Singida, akifungua hafla ya makabidhiano wa mradi wa afya ya mama na mtoto (SUSTAIN-MNCH). Wa kwanza kulia ni mkuu wa wilaya ya Ikungi Gichulu Charles na anayefuatia ni mwakilishi wa mkurugenzi wa shirika la World vision Tanzania, Mary Lema.
Baadhi ya wadau wa afya waliohudhuria hafla ya makabidhiano ya mradi wa afya ya mama na mtoto (SUSTAIN -MNCH) iliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Aque Vitae Resort mjini...