Serikali yatumia bilioni 4.7/-kuimarisha CHF
SERIKALI kupitia Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) imetumia zaidi ya Sh bilioni 4.7 kuimarisha huduma za afya kupitia mradi wake wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF). Fedha hizo ni kuanzia mwaka 2009 wakati NHIF ilipokabidhiwa jukumu la kulea CHF.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi14 Sep
TMF yatumia Sh30 bilioni kuimarisha tasnia ya habari
10 years ago
Dewji Blog07 Sep
Serikali yatumia zaidi ya Bilioni 16 kujenga Taasisi ya mafunzo ya uanasheria kwa vitendo
Afisa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School) Bi. Scholastica Njozi akiwaeleza jambo waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa ziara iliyofanywa kwenye Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Habari wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Omega Ngole.
Frank Mvungi-Maelezo
Serikali yatumia zaidi ya Bilioni 16 kujenga Taasisi ya mafunzo ya uanasheria kwa vitendo (the law school of Tanzania).
Hayo yamesemwa leo jijini Dar...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LHPVeO57LNY/VK4OkfwQ_fI/AAAAAAAG78I/2SJuCLZcbo0/s72-c/110942468.png)
Serikali yatumia shilingi bilioni 881 katika mradi wa REA Awamu ya Pili
![](http://4.bp.blogspot.com/-LHPVeO57LNY/VK4OkfwQ_fI/AAAAAAAG78I/2SJuCLZcbo0/s1600/110942468.png)
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Serikali yasaini mkataba wa zaidi ya Sh. Bilioni 422 kuimarisha sekta ya afya nchini
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) akisaini hati ya makubaliano ya mkopo nafuu kati ya Serikali ya Tanzania na Benki ya Dunia ili kuimarisha sekta ya afya nchini katika hafla iliyofanyika jana jijini Dar es salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Bi Bella Bird.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) akibadilishana hati ya makubaliano ya mkopo nafuu na Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Bi Bella Bird...
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
TASAF yatumia bilioni 4.2 kuzinusuru kaya masikini Singida
Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Singida, Aziza Mumba, akizungumza wakati akifungua semina ya siku moja iliyoitishwa na ofisi ya Mtaribu wa TASAF mkoa, kwa ajili ya kuwajengea uwezo wadau wa mfuko huo ili waweze kufahamu vema.
Mratibu wa mfuko wa maendeleo ya jamii (TASAF) mkoa wa Singida,Patrick Kasango akitoa ufafanuzi juu ya misaada ya fedha ya zaidi ya shilingi 4.2 bilioni zilizotolewa kwa kaya maskini 42,218, ili kuzinusuru ziweze kupata lishe bora, huduma za afya na elimu.
Baadhi ya...
11 years ago
Dewji Blog29 Jun
NSSF, Singida yatumia Bilioni 1.52 kukopesha vikundi sita vya wajasiriamali
Meneja wa shirika na hifadhi ya jamii NSSF, Magreth Mwaipeta akizungumza na wanachama wa kikundi cha Aminika gold Mine Ltd cha Sambaru Wilaya ya Ikungi, Singida.
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), umetumia zaidi ya shilingi bilioni 1.52 kwa ajili ya kuvikopesha vyama sita vya ushirika Mkoani Singida.
Hayo yamebainishwa jana mjini hapa na Meneja wa NSSF Mkoa wa Singida, Magreth Mwaipeta wakati akizungumza kwenye semina ya uhabarisho baina ya shirika la...
10 years ago
Dewji Blog18 Apr
World Vision Tanzania yatumia zaidi ya bilioni 5.3 kuboresha miradi ya Afya Singida
Kaimu mkuu wa mkoa wa Singida, Saidi Alli Kamanzi na DC wa wilaya ya Singida, akifungua hafla ya makabidhiano wa mradi wa afya ya mama na mtoto (SUSTAIN-MNCH). Wa kwanza kulia ni mkuu wa wilaya ya Ikungi Gichulu Charles na anayefuatia ni mwakilishi wa mkurugenzi wa shirika la World vision Tanzania, Mary Lema.
Baadhi ya wadau wa afya waliohudhuria hafla ya makabidhiano ya mradi wa afya ya mama na mtoto (SUSTAIN -MNCH) iliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Aque Vitae Resort mjini...
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-lx00DdH3xxw/VKp1P89lIzI/AAAAAAAG7YQ/p56fEYTa1lU/s1600/CSC_0375.jpg)
TPDC YATUMIA DOLA ZA KIMAREKANI BILIONI 1.225 KWA AJILI YA MRADI WA BOMBA LA GESI
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Serikali yatumia makanisa kupinga serikali tatu
SERIKALI imeendelea kuibeza rasimu ya pili ya katiba iliyowasilishwa bungeni na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba kwa madai kuwa imekuja na hoja ya...