Serikali yatumia makanisa kupinga serikali tatu
SERIKALI imeendelea kuibeza rasimu ya pili ya katiba iliyowasilishwa bungeni na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba kwa madai kuwa imekuja na hoja ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Feb
‘Nitawashangaa wajumbe Zanzibar kupinga Serikali tatu’
11 years ago
Habarileo30 Mar
Serikali yatumia bilioni 4.7/-kuimarisha CHF
SERIKALI kupitia Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) imetumia zaidi ya Sh bilioni 4.7 kuimarisha huduma za afya kupitia mradi wake wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF). Fedha hizo ni kuanzia mwaka 2009 wakati NHIF ilipokabidhiwa jukumu la kulea CHF.
11 years ago
Habarileo11 May
Serikali yakerwa uchomaji makanisa
SERIKALI imetoa tamko juu ya mfululizo wa vitendo vya uchomaji makanisa vilivyoibuka hivi karibuni na kusema imeagiza dola ikaze uzi kukabili wimbi hilo. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alisema jana bungeni wakati akihitimisha michango ya wabunge kuhusu bajeti ya mwaka wa fedha 2014/15 ya ofisi yake iliyopitishwa jana.
11 years ago
Habarileo15 Mar
Serikali yatumia bil. 500/- miradi ya Matokeo Makubwa
SERIKALI imetumia zaidi ya Sh bilioni 500 katika utekelezaji wa miradi ya Matokeo Makubwa Sasa (BRN) katika kipindi cha miezi sita, kati ya Julai na Desemba mwaka jana.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2e-ffmMOoUs/Xq0UForR6XI/AAAAAAALo0Q/DW4g_es2IyoFF6VqEbTqAEhjj33Ev3UKQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200502-WA0003.jpg)
BARAZA LA MAKANISA YA PENTEKOSTE WAUNGANA NA SERIKALI MOROGORO
Baraza la Makanisa ya Pentekoste Tanzania (CPCT) Mkoa wa Morogoro wameungana na jitihada za Serikali ya Mkoa huo kwa kutoa kiasi cha shilingi milioni moja za kitanzania ikiwa ni mchango wao katika kupambana na ugonjwa wa CORONA Mkoani humo.
Viongozi wa CPCT wametoa msaada huo wa fedha mwishoni mwa wiki hii walipofika ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na kumkabidhi fedha hizo Mkuu wa Mkoa huo Loata Ole Sanare kama ishara ya kumuunga Mkono na Serikali ngazi ya...
5 years ago
MichuziDiwani ashangaa wanaosubiri serikali itangaze kufunga makanisa
Na Amiri kilagalila,Njombe
Mwenyekiti wa halmashauri ya mji wa Njombe Edwin Mwanzinga ambaye pia ni diwani (CCM) kata ya Matola ameshangazwa na watu wanaosubiri serikali kutangaza kufunga makanisa wakati tahadhari dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona (COVID-19) zilikwishatolewa.
Mwanzinga amesema anaamini wananchi wanaelewa taratibu za kujikinga dhidi ya virusi hivyo ikiwemo kuepuka mikusanyiko lakini anashangazwa kuona watu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LHPVeO57LNY/VK4OkfwQ_fI/AAAAAAAG78I/2SJuCLZcbo0/s72-c/110942468.png)
Serikali yatumia shilingi bilioni 881 katika mradi wa REA Awamu ya Pili
![](http://4.bp.blogspot.com/-LHPVeO57LNY/VK4OkfwQ_fI/AAAAAAAG78I/2SJuCLZcbo0/s1600/110942468.png)
10 years ago
Dewji Blog07 Sep
Serikali yatumia zaidi ya Bilioni 16 kujenga Taasisi ya mafunzo ya uanasheria kwa vitendo
Afisa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School) Bi. Scholastica Njozi akiwaeleza jambo waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa ziara iliyofanywa kwenye Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Habari wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Omega Ngole.
Frank Mvungi-Maelezo
Serikali yatumia zaidi ya Bilioni 16 kujenga Taasisi ya mafunzo ya uanasheria kwa vitendo (the law school of Tanzania).
Hayo yamesemwa leo jijini Dar...
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Serikali yashindwa kupinga rufaa