BARAZA LA MAKANISA YA PENTEKOSTE WAUNGANA NA SERIKALI MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-2e-ffmMOoUs/Xq0UForR6XI/AAAAAAALo0Q/DW4g_es2IyoFF6VqEbTqAEhjj33Ev3UKQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200502-WA0003.jpg)
Na Farida Saidy,Morogoro
Baraza la Makanisa ya Pentekoste Tanzania (CPCT) Mkoa wa Morogoro wameungana na jitihada za Serikali ya Mkoa huo kwa kutoa kiasi cha shilingi milioni moja za kitanzania ikiwa ni mchango wao katika kupambana na ugonjwa wa CORONA Mkoani humo.
Viongozi wa CPCT wametoa msaada huo wa fedha mwishoni mwa wiki hii walipofika ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na kumkabidhi fedha hizo Mkuu wa Mkoa huo Loata Ole Sanare kama ishara ya kumuunga Mkono na Serikali ngazi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKAIMU MKUU WA MKOA WA MOROGORO AFUNGUA RASMI BARAZA YA WAFANYAKAZI WA MAMLAKA YA HALI YA HEWA NCHINI MKOANI MOROGORO
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Serikali yatumia makanisa kupinga serikali tatu
SERIKALI imeendelea kuibeza rasimu ya pili ya katiba iliyowasilishwa bungeni na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba kwa madai kuwa imekuja na hoja ya...
11 years ago
Habarileo11 May
Serikali yakerwa uchomaji makanisa
SERIKALI imetoa tamko juu ya mfululizo wa vitendo vya uchomaji makanisa vilivyoibuka hivi karibuni na kusema imeagiza dola ikaze uzi kukabili wimbi hilo. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alisema jana bungeni wakati akihitimisha michango ya wabunge kuhusu bajeti ya mwaka wa fedha 2014/15 ya ofisi yake iliyopitishwa jana.
5 years ago
MichuziDiwani ashangaa wanaosubiri serikali itangaze kufunga makanisa
Na Amiri kilagalila,Njombe
Mwenyekiti wa halmashauri ya mji wa Njombe Edwin Mwanzinga ambaye pia ni diwani (CCM) kata ya Matola ameshangazwa na watu wanaosubiri serikali kutangaza kufunga makanisa wakati tahadhari dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona (COVID-19) zilikwishatolewa.
Mwanzinga amesema anaamini wananchi wanaelewa taratibu za kujikinga dhidi ya virusi hivyo ikiwemo kuepuka mikusanyiko lakini anashangazwa kuona watu...
11 years ago
MichuziBARAZA LA WAFANYAKAZI WAFANYIKA MKOANI MOROGORO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nFUhlOE1n1c/XrLxqNI-8DI/AAAAAAALpUQ/H0f1mbCczIQEv2EaLesiUYrightVsk5RQCLcBGAsYHQ/s72-c/605ce68d-9c08-45a1-88ea-c5cafaf475fe.jpg)
Fashion Association of Tanzania(FAT) waungana na serikali mapambano dhidi ya maambukizi Covid-19
• Wabunifu waonyesha kwa vitendo mapigano dhidi ya maambukizi ya Covid-19
Fashion Association of Tanzania (FAT) chaendesha mchakato wa uchangiaji wa vitakasa ikiwa sehemu ya mchango wao dhidi ya maambukizi ya homa ya mapafu inayosababishwa na kirusi cha Corona (Covid-19).
Jumla ya wabunifu, wanamitindo na wadau wa sekta hiyo 66, wameweza kuchangia katoni 80 (sawa na lita 1,600) za vitakasa, katoni 60 kati ya hizo zikiwa ni “lit lavender disinfectant” na 20 zikiwa ni “zap bleach regular”...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-We5xXZIlw9o/UyltSmFsj6I/AAAAAAAFU2g/85Cj07eeWLA/s72-c/1.jpg)
MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI IDARA YA POLISI WAFUNGULIWA MJINI MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-We5xXZIlw9o/UyltSmFsj6I/AAAAAAAFU2g/85Cj07eeWLA/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7HtGfvj5i2I/UyltSybIPWI/AAAAAAAFU2c/6QdNyZVLmNo/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TuvIc3LEupA/UyltSj4sCRI/AAAAAAAFU2Y/cRAtuGbOi9A/s1600/3.jpg)
9 years ago
MichuziASKOFU CHARLES GADI AONGOZA UMOJA WA MAKANISA YA DODOMA KUMUOMBEA RAIS DK.JOHN MAGUFULI NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO
10 years ago
MichuziWaziri Magufuli afungua Mkutano wa tano wa Baraza la Wafanyakazi TANROADS-Morogoro