BARAZA LA WAFANYAKAZI WAFANYIKA MKOANI MOROGORO
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh. Joel Bendera akifafanua jambo wakati alipofungua Mkutano wa Saba wa Baraza la Wafanyakazi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima uliofanyika katika Ukumbi wa WAMO Mjini Morogoro, (wa pili Kulia) ni Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Bw. Fedelis Mafumiko na (wa kwanza kulia) ni Naibu Mkurugenzi Taaluma, Bw. Welberforce Meena (Kushoto) ni Naibu Mkurugenzi Fedha na Utawala Bw.Edward Lugakingira.
Baadhi ya Watumishi wa Taasisi ya Elimu ya Watu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKAIMU MKUU WA MKOA WA MOROGORO AFUNGUA RASMI BARAZA YA WAFANYAKAZI WA MAMLAKA YA HALI YA HEWA NCHINI MKOANI MOROGORO
10 years ago
MichuziUFUNGUZI WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA), MKOANI MOROGORO
MKUU wa wilaya ya Mvomero, mkoa wa Morogoro, Festo Kiswaga, Machi 31, 2015, amefungua mkutano wa siku mbili wa Baraza la wafanyakazi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania, unaofanyika katika ukumbi wa Hoteli Oasis , mjini Morogoro.
Mkuu huyo wa wilaya alimwakilisha mkuu wa mkoa, Dk Rajab Rutengwe ,na katika hotuba yake ya ufunguzi wa Baraza hilo ,amewapongeza wafanyakazi wa Mamlaka hiyo kwa kuendeleza na kuitangaza taaluma yao vizuri ya utabiri wa hali ya hewa ikiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h8VB6cIWwg4/VSbTQHd1uEI/AAAAAAAHP9Q/lqhpYwQkfEc/s72-c/unnamed%2B(77).jpg)
UZINDUZI WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MKOANI MOROGORO TAREHE 9 APRILI, 2015
Baraza la Wafanyakazi linaundwa na wawakilishi wa wafanyakazi wote wa Wizara na wanachaguliwa kwa mfumo wa haki na uwazi. Baraza hili ni chombo muhimu sana kwani uhalali na uundwaji wake upo kisheria. ...
10 years ago
Vijimambo05 May
MKUTANO MAALUM WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WAFANYIKA DAR ES SALAAM
![5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/05/53.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/05/33.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-We5xXZIlw9o/UyltSmFsj6I/AAAAAAAFU2g/85Cj07eeWLA/s72-c/1.jpg)
MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI IDARA YA POLISI WAFUNGULIWA MJINI MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-We5xXZIlw9o/UyltSmFsj6I/AAAAAAAFU2g/85Cj07eeWLA/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7HtGfvj5i2I/UyltSybIPWI/AAAAAAAFU2c/6QdNyZVLmNo/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TuvIc3LEupA/UyltSj4sCRI/AAAAAAAFU2Y/cRAtuGbOi9A/s1600/3.jpg)
10 years ago
MichuziWaziri Magufuli afungua Mkutano wa tano wa Baraza la Wafanyakazi TANROADS-Morogoro
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI AFUNGUA MKUTANO WA TANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA TANROADS MJINI MOROGORO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kWc_rtlfyXg/VXm3dHP5v8I/AAAAAAAHeyY/rXgkdpvKt28/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
Mkutano wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wafunguliwa mkoani Dodoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-kWc_rtlfyXg/VXm3dHP5v8I/AAAAAAAHeyY/rXgkdpvKt28/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RXcCrs_4KLc/VXm3eezll0I/AAAAAAAHeyg/gadw6MetoI0/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Taswira ya Bonanza la wafanyakazi wa kiwanda cha Tumbaku mkoani Morogoro