UZINDUZI WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MKOANI MOROGORO TAREHE 9 APRILI, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-h8VB6cIWwg4/VSbTQHd1uEI/AAAAAAAHP9Q/lqhpYwQkfEc/s72-c/unnamed%2B(77).jpg)
Naibu waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Mhe. Dkt. Pindi H. Chana (MB) azindua rasmi Baraza la Wafanyakazi la Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto mkoani Morogoro tarehe 9 Aprili, 2015. Baraza hili linafanya kikao chake cha siku mbili kuanzia tarehe 9 hadi 10 Aprili, 2015.
Baraza la Wafanyakazi linaundwa na wawakilishi wa wafanyakazi wote wa Wizara na wanachaguliwa kwa mfumo wa haki na uwazi. Baraza hili ni chombo muhimu sana kwani uhalali na uundwaji wake upo kisheria. ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pREo7TtBTpQ/VVbhAFDplCI/AAAAAAAHXg8/n1wdajA3j8I/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Dk. Pindi H. Chana afungua kikao cha baraza la watoto dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-pREo7TtBTpQ/VVbhAFDplCI/AAAAAAAHXg8/n1wdajA3j8I/s640/unnamed%2B(29).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cDxvCexYvLU/VVbhARd65HI/AAAAAAAHXhA/qKOK5L8OPL8/s640/unnamed%2B(30).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LrS4XjW6TLA/VVbhARfpdVI/AAAAAAAHXhI/UXEUZWO6CiE/s640/unnamed%2B(31).jpg)
10 years ago
Michuzi05 Feb
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto yatoa taarifa kuhusu hali ya Kipindupindu nchini
Waziri Ummy Mwalimu alizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na hali ya kipindupindu nchini ambapo hadi sasa ni mikoa 21 ya Tanzania Bara imeathirika.Jumla ya watu 12,222 wameugua kipindupindu na kati yao watu 196 wameshafariki.
Baadhi ya waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali wakimfuatilia waziri huyo(hayupo pichani) alipokuwa akitoa taarifa hiyo.Hata hivyo Waziri Ummy ameagiza kila wiki (jumatatu) wizara yake kutoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu hali ya...
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto yatangaza Mpango wa Taifa wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zSuC763Lgtg/VmwMcN-ZbkI/AAAAAAAIL1o/9dKlPsudWQw/s72-c/AmvQ-kQcVpVOkSRvJacmJNocZLUg5YvaH7pI6WSufb58.jpg)
NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA AFYA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WATOTO NA WAZEE AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA HOSPITALI YA AMANA JIJINI DAR LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-zSuC763Lgtg/VmwMcN-ZbkI/AAAAAAAIL1o/9dKlPsudWQw/s640/AmvQ-kQcVpVOkSRvJacmJNocZLUg5YvaH7pI6WSufb58.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VjQW6YgISOY/VmwMcPQwDSI/AAAAAAAIL10/8wKdnojdXlQ/s640/AjH-S6SvR9gr9VzcTGc-wk1SEi50ErUn6z0Jja4vAC7W.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EB0__tOG8IA/VmwODqvP9II/AAAAAAAIL2A/AGs7SESJWHo/s640/AprHMZ72sEp9hGk6aXIotmJf3651kZCLwrCY3kS6uWPG%2B%25281%2529.jpg)
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Dk Kigwangalla-Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
10 years ago
VijimamboKAIMU MKUU WA MKOA WA MOROGORO AFUNGUA RASMI BARAZA YA WAFANYAKAZI WA MAMLAKA YA HALI YA HEWA NCHINI MKOANI MOROGORO
11 years ago
MichuziBARAZA LA WAFANYAKAZI WAFANYIKA MKOANI MOROGORO