Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Dk. Pindi H. Chana afungua kikao cha baraza la watoto dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-pREo7TtBTpQ/VVbhAFDplCI/AAAAAAAHXg8/n1wdajA3j8I/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
Wajumbe wa Kamati Kuu wa Baraza la Watoto wakijadili baadhi ya mambo yanayowahusu watoto pamoja na changamoto zinazo wakabili katika kikao cha Kamati Kuu ya Baraza la Watoto kilichofunguliwa na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Dk. Pindi H. Chana mjini Dodoma.
![](http://4.bp.blogspot.com/-cDxvCexYvLU/VVbhARd65HI/AAAAAAAHXhA/qKOK5L8OPL8/s640/unnamed%2B(30).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LrS4XjW6TLA/VVbhARfpdVI/AAAAAAAHXhI/UXEUZWO6CiE/s640/unnamed%2B(31).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-N3atrwPSmok/Vd2iu1Tt4PI/AAAAAAAH0JU/lKLOrDy6dk0/s72-c/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO AFUNGUA KONGAMANO LA WADAU WA FAMILIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-N3atrwPSmok/Vd2iu1Tt4PI/AAAAAAAH0JU/lKLOrDy6dk0/s640/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yMu9vMoXeEE/Vd2ivQUP97I/AAAAAAAH0JY/Kn24MEcZ8K8/s640/New%2BPicture%2B%25282%2529.png)
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Dk Kigwangalla-Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
Dk Hamis Andrea Kigwangalla ndiye Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto katika Serikali ya Awamu ya Tano, ameteuliwa katika baraza la mwanzo la mawaziri la Rais John Pombe Magufuli.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--acKubdtUbo/UwZh6bt0ekI/AAAAAAAFOcI/2mh2QcjBZUM/s72-c/unnamed+(67).jpg)
NAIBU WAZIRI, DKT. PINDI CHANA ATEMBELEA DAWATI LA JINSIA LA POLISI LA WILAYA DODOMA
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Dkt Pindi Chana leo ametembelea Dawati la Jinsia na Watoto la Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Dodoma Mjini kwa lengo la kukagua utendaji kazi wa madawati haya yaliyoanzishwa kwa lengo kushughulikia kesi zote zinazohusiana na unyanyasaji wa kijinsia na ukatili dhidi ya watoto nchini, kama njia moja wapo ya kuboresha utoaji wa huduma bora za ulinzi na usalama kwa watoto na watu wa jinsi zote.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii,...
![](http://4.bp.blogspot.com/--acKubdtUbo/UwZh6bt0ekI/AAAAAAAFOcI/2mh2QcjBZUM/s1600/unnamed+(67).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WlUt5qgEefE/VFOlVf0WgtI/AAAAAAAGuZI/r-SIAZmG0AU/s72-c/New%2BPicture%2B(2).png)
MHE. PINDI CHANA AFUNGUA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA UMATI TAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-WlUt5qgEefE/VFOlVf0WgtI/AAAAAAAGuZI/r-SIAZmG0AU/s1600/New%2BPicture%2B(2).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NuLXtH_Ya84/VFOlXWZo5vI/AAAAAAAGuZQ/FN6AEd8FsFo/s1600/New%2BPicture%2B(1).png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QScNtz4l6lY/VMMyuWIVVGI/AAAAAAACyXE/Qt5Y5_xecqI/s72-c/New%2BPicture.png)
MAMA GRACIA MACHEL AKUTANA NA WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO, MHE. SOPHIA M. SIMBA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-QScNtz4l6lY/VMMyuWIVVGI/AAAAAAACyXE/Qt5Y5_xecqI/s1600/New%2BPicture.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nrT8ABhzPdc/VMMzRiS4EMI/AAAAAAACyXM/_r1e2WYLNxI/s1600/New%2BPicture%2B(2).png)
Waziri wa maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Sophia Simba (katikati) akisisitiza jambo wakati wa kikao chake na aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini Bi.Gracia Machel (wa kwanza kushoto) aliyefika Wizarani hapo kujadili program...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zjwYxZ2D5Ek/VWNDSRxWpuI/AAAAAAAHZv8/yhbtZ2Ai2is/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-25%2Bat%2B6.42.43%2BPM.png)
HOTUBA YA WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO BUNGENI MJINI DODOMA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-zjwYxZ2D5Ek/VWNDSRxWpuI/AAAAAAAHZv8/yhbtZ2Ai2is/s640/Screen%2BShot%2B2015-05-25%2Bat%2B6.42.43%2BPM.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KDnL0S7_f9I/VUADwHsHhEI/AAAAAAAHT7w/1iAVy8xaIrA/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Mhe Pindi Chana atembelea kituo cha kulelea Watoto
Habari na picha na Hassan Mabuye Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Mheshimiwa Dkt. Pindi Chana amefanya ziara ya kutembelea kituo cha kulelea Watoto Wilayani Kibaha mkoa wa Pwani kwa lengo la kuangalia maeneo ambayo yanahitaji maboresho pamoja na kujionea hali halisi ya uendeshaji wa vituo vya kulelea Watoto. Katika ziara hii Mheshimiwa Naibu Waziri alitembelea kituo cha Malezi na Makuzi ya watoto Kilichopo katika kata ya Mtambani Mlandizi jumatatu tarehe 27 Aprili 2015,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania