JK azindua majengo pacha ya ghorofa 35 ya PSPF TOWERS mtaa wa Sokoine jijini Dar es salaam leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-lhJhUN8DpLI/VfleJowjPrI/AAAAAAAH5S0/7FybDwHS-Fg/s72-c/ps16.jpg)
Rais Kikwete akifunua pazia kuzindua rasmi majengo majengo pacha ya ghorofa 35 ya PSPF TOWERS mtaa wa Sokoine jijini Dar es salaam leo Septemba 16, 2015
Rais Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi majengo pacha ya PSPF TOWERS.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea mfano wa kadi yake baada ya kujiunga mfuko wa pensheni wa PSPF kwenye sherehe hizo. Kulia ni Naibu waziri wa Fedha Mhe. Adam Kighoma Malima. Kulia kwa Rais ni Mwenyekiti wa Bodi ya PSPF Mhe. George Yambesi na kushoto ni Mkurugenzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-UlVj7XOR_sE/VfleGkvKD4I/AAAAAAAH5R4/JAnwFah4qYo/s72-c/ps1.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA MAJENGO PACHA YA GHOROFA 35 YA PSPF TOWERS MTAA WA SOKOINE JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-UlVj7XOR_sE/VfleGkvKD4I/AAAAAAAH5R4/JAnwFah4qYo/s640/ps1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2-x_zTZRLNI/VfleLh7hArI/AAAAAAAH5TM/_yNnhA8b6cM/s640/ps2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eTSZJWt3CbU/VflePi6zN5I/AAAAAAAH5T4/CCytxt0_DhY/s640/ps3.jpg)
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Rais Kikwete azindua majengo pacha ya ghorofa 35 ya PSPF Towers mtaa wa Sokoine Jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-UlVj7XOR_sE/VfleGkvKD4I/AAAAAAAH5R4/JAnwFah4qYo/s640/ps1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2-x_zTZRLNI/VfleLh7hArI/AAAAAAAH5TM/_yNnhA8b6cM/s640/ps2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eTSZJWt3CbU/VflePi6zN5I/AAAAAAAH5T4/CCytxt0_DhY/s640/ps3.jpg)
9 years ago
MichuziMFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA WAMESAINI MKATABA NA PSPF LEO JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
MichuziKAMANDA MPINGA AZINDUA OPERESHENI PAZA SAUTI,JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ggfi0NrUMVU/VPoVn55jlUI/AAAAAAAHINo/4q3l2kOphR8/s72-c/a7.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA RASMI STUDIO MPYA ZA AZAM TV JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-ggfi0NrUMVU/VPoVn55jlUI/AAAAAAAHINo/4q3l2kOphR8/s1600/a7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HUZpU9i7et4/VPoVk4sn-_I/AAAAAAAHIM0/KwXxvvOPj7o/s1600/a2.jpg)
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
Majengo ya ghorofa yatishia maisha Dar
NA MWANDISHI WETU
WAMILIKI wa baadhi ya majengo wamekiuka amri iliyotolewa na serikali ya kuzuia matumizi ya majengo ambayo bado yanaendelea na ujenzi, jambo linalohatarisha maisha ya watu.
Hali hiyo imeonekana katika mitaa mbalimbali ya katikati ya jiji la Dar es Salaam, ambapo maghorofa mengi ambayo ujenzi wake haujakamilika, yanatumika kwa kufunguliwa ofisi na maduka huku ujenzi ukiendelea.
Machi 11 mwaka 2010, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi,...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QpQWJyAacNI/Vc4WNbebvxI/AAAAAAAHw0Q/LqNSl7V7aJU/s72-c/u1.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA HATI ZA AHADI YA UADILIFU KWA VIONGOZI, WATUMISHI WA UMMA NA SEKTA BINAFSI IKULU JIJINI DAR ES ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-QpQWJyAacNI/Vc4WNbebvxI/AAAAAAAHw0Q/LqNSl7V7aJU/s640/u1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-U_tltq94G1g/Vc4WNWtlOLI/AAAAAAAHw0Y/M6ocTVnIUlk/s640/u2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zVYh2YBy4Oo/Vc4WMtrhQvI/AAAAAAAHw0M/0CZ0XQc7T5c/s640/u5.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-1HaA1BszoXI/VL0ipWuNWXI/AAAAAAAAPMM/ARmGnrHZ0TI/s72-c/kiapo%2Bmwenyekiti.jpg)
MWENYEKITI WA MTAA ALIYESHINDA SEGEREA JIJINI DAR ES SALAAM AAPISHWA KIAINA
![](http://3.bp.blogspot.com/-1HaA1BszoXI/VL0ipWuNWXI/AAAAAAAAPMM/ARmGnrHZ0TI/s640/kiapo%2Bmwenyekiti.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-1H7W3m7DN-U/XuJknVjsf3I/AAAAAAACNA8/pl69wKn7YU4YY6EuhmXeNOic-UQup7W3ACLcBGAsYHQ/s72-c/magu.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AZINDUA MAJENGO YA TARURA NA ZIMAMOTO, AWEKA JIWE LA MSINGI BARABARA NA KUKABIDHI PIKIPIKI JIJINI DODOMA, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-1H7W3m7DN-U/XuJknVjsf3I/AAAAAAACNA8/pl69wKn7YU4YY6EuhmXeNOic-UQup7W3ACLcBGAsYHQ/s400/magu.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 11 Juni, 2020 amezindua majengo ya Ofisi za Makao Makuu ya Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara za Mji wa Serikali Makao Makuu Dodoma na kukabidhi pikipiki 448 za Maafisa Tarafa hapa nchini.
Sherehe za uzinduzi wa jengo la TARURA, uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa kilometa 51.2 za barabara za lami katika...