Majengo ya ghorofa yatishia maisha Dar
NA MWANDISHI WETU
WAMILIKI wa baadhi ya majengo wamekiuka amri iliyotolewa na serikali ya kuzuia matumizi ya majengo ambayo bado yanaendelea na ujenzi, jambo linalohatarisha maisha ya watu.
Hali hiyo imeonekana katika mitaa mbalimbali ya katikati ya jiji la Dar es Salaam, ambapo maghorofa mengi ambayo ujenzi wake haujakamilika, yanatumika kwa kufunguliwa ofisi na maduka huku ujenzi ukiendelea.
Machi 11 mwaka 2010, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi,...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Rais Kikwete azindua majengo pacha ya ghorofa 35 ya PSPF Towers mtaa wa Sokoine Jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-UlVj7XOR_sE/VfleGkvKD4I/AAAAAAAH5R4/JAnwFah4qYo/s640/ps1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2-x_zTZRLNI/VfleLh7hArI/AAAAAAAH5TM/_yNnhA8b6cM/s640/ps2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eTSZJWt3CbU/VflePi6zN5I/AAAAAAAH5T4/CCytxt0_DhY/s640/ps3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lhJhUN8DpLI/VfleJowjPrI/AAAAAAAH5S0/7FybDwHS-Fg/s72-c/ps16.jpg)
JK azindua majengo pacha ya ghorofa 35 ya PSPF TOWERS mtaa wa Sokoine jijini Dar es salaam leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-lhJhUN8DpLI/VfleJowjPrI/AAAAAAAH5S0/7FybDwHS-Fg/s640/ps16.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xz0XJPPuI4M/VfleIrlZ2aI/AAAAAAAH5SY/KvGF5dVvzaY/s640/ps15.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ljBz6OVGJnA/VfleHANfYCI/AAAAAAAH5SE/0-D2EQTIN_c/s640/ps12.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-UlVj7XOR_sE/VfleGkvKD4I/AAAAAAAH5R4/JAnwFah4qYo/s72-c/ps1.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA MAJENGO PACHA YA GHOROFA 35 YA PSPF TOWERS MTAA WA SOKOINE JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-UlVj7XOR_sE/VfleGkvKD4I/AAAAAAAH5R4/JAnwFah4qYo/s640/ps1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2-x_zTZRLNI/VfleLh7hArI/AAAAAAAH5TM/_yNnhA8b6cM/s640/ps2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eTSZJWt3CbU/VflePi6zN5I/AAAAAAAH5T4/CCytxt0_DhY/s640/ps3.jpg)
11 years ago
Habarileo29 May
Bunge: Jengo la ghorofa 16 Dar livunjwe
BUNGE limesisitiza kuwa jengo la ghorofa 16 lililoko katika Mtaa wa Indira Gandhi, Dar es Salaam ambalo liliagiza mwaka jana livunjwe, agizo hilo litekelezwe.
10 years ago
MichuziJENGO LA GHOROFA 16 KUBOMOLEWA JIJINI DAR.
Amri hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es SalaamUwepo wa jingo hilo ambalo limejengwa chini ya kiwango limezua hofu kubwa kwa wakazi wa eneo hilo,kwani jingo hilo lipo karibu na jingo jingine lililokuwa na ghorofa 16 ambalo lilianguka...
10 years ago
GPLUBOMOAJI WA GHOROFA ‘BOVU’ DAR WAKWAMA
11 years ago
Mwananchi21 Jun
CCBRT yakabidhi majengo ya upasuaji jijini Dar
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Majengo ya asili na ya kihistoria yanavyotoweka Dar es Salaam
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YhWXHTkyD9Y/UvjhMYPwBKI/AAAAAAAFMMU/akwMx1PmcZI/s72-c/download.jpg)
news alert: wawili wahukumiwa faini shilingi milioni 15 ama jela miaka 15 kwa ujenzi wa jengo la ghorofa 18 jijini dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-YhWXHTkyD9Y/UvjhMYPwBKI/AAAAAAAFMMU/akwMx1PmcZI/s1600/download.jpg)
Washtakiwa hao ni aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), Makumba Kimweri na aliyekuwa Msanifu Mkuu wake Richard Maliyaga (55) wote wakazi wa jijini Dar es Salaam.
Akisoma hukumu hiyo Hakimu Mkazi Sundi...