MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MPANGO WA KAZI WA KIMATAIFA NA KANUNI ZA SHERIA YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-8hkfVJyu5Hw/Vdb9tG-qEPI/AAAAAAAHyx0/8a7-6ZjEwzE/s72-c/1.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizindua Mpangokazi wa Kimataifa na Kanuni za Sheria ya kuzuia usafirishaji haramu wa Binadamu, wakati wa hafla hiyo ya uzinduzi iliyofanyika leo Agosti 21, 2015 kwenye Viwanja vya Karimjee, jijini Dar es Salaam. Kulia ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe (kulia) ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kimataifa ya kupambana na Usafirishaji Haramu wa Binadamu, Kinemo Kihonamo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8hkfVJyu5Hw/Vdb9tG-qEPI/AAAAAAAHyx0/8a7-6ZjEwzE/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MPANGO WA KAZI WA KIMATAIFA NA KANUNI ZA SHERIA YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-8hkfVJyu5Hw/Vdb9tG-qEPI/AAAAAAAHyx0/8a7-6ZjEwzE/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HiyJYbIaoJs/Vdb9vqZnW5I/AAAAAAAHyyk/yB5bo1DRrCs/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-trYTgyA9hdE/XvGKaX91SOI/AAAAAAALvAk/uwSOPXo_IcQbyCB_nc8u_KwqUU3h3LyoACLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-1-9-768x556.jpg)
SEKRETARIETI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA BIASHARA HARAMU YA USAFIRISHAJI BINADAMU WAFANYA KIKAO CHA KUPENDEKEZA MAREKEBISHO YA SHERIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-trYTgyA9hdE/XvGKaX91SOI/AAAAAAALvAk/uwSOPXo_IcQbyCB_nc8u_KwqUU3h3LyoACLcBGAsYHQ/s640/Picha-1-9-768x556.jpg)
Katibu wa Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana na Biashara Haramu ya Usafirishaji Binadamu, Seperatus Fella, akifafanua jambo kuhusu Sheria ya Kuzuia Biashara Haramu ya Usafirishaji wa Binadamu katika Kikao cha Wadau wa Sheria wa Wizara na Idara za serikali kwa ajili ya kupendekeza marekebisho ya Sheria hiyo, Kikao hicho kimefanyika, Jijini Dodoma leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/Picha-2-9-1024x680.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4LDKrYOpRHM/VRj8QrCeXbI/AAAAAAAHOTo/OaJcWaus4YU/s72-c/unnamed%2B(51).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, AZINDUA MPANGO WA PILA 1 JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-4LDKrYOpRHM/VRj8QrCeXbI/AAAAAAAHOTo/OaJcWaus4YU/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2ka_lvQuybg/VRj8Q0b_M3I/AAAAAAAHOTw/ZuVM-Tvg1vU/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. MOHAMMED GHARIB BILAL AHUDHULIA KONGAMANO LA KIMATAIFA KUHUSU BIASHARA HARAMU YA WANYAMAPORI NCHINI BOTSWANA LEO
10 years ago
Dewji Blog20 Sep
Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua mpango wa utambuzi wa ujuzi uliopatikana nje ya mfumo rasmi wa mafunzo, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kama ishala ya kuzindua rasmi mpango wa Utambuzi wa ujuzi uliopatikana nje ya mfumo rasmi wa mafunzo, kwa ajili ya kutathimini na kutambua ujuzi na elimu ua ufundi Stadi kwa Vijana waliojifunza fani mbalimbali, wakati wa hafla hiyo iliyofanyika jana Septemba 19, 2014 kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach, jijini Dar es Salaam. Kulia ni Waziri wa Kazi, na Ajira, Gaudensia Kabaka (kushoto) ni Waziri wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-C-WrPsPXTW0/VBwbnFYBzTI/AAAAAAAGkeY/oA15d3kmIjE/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MPANGO WA UTAMBUZI WA UJUZI ULIOPATIKANA NJE YA MFUMO RASMI WA MAFUNZO, JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-C-WrPsPXTW0/VBwbnFYBzTI/AAAAAAAGkeY/oA15d3kmIjE/s1600/01.jpg)
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
Makamu wa Rais Dkt. Bilal amwakilisha Rais Jakaya Kikwete, azindua HALOTEL TANZANIA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (katikati) akizungumza jambo na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick, wakati walipokuwa kwenye Hafla ya uzinduzi wa Mtandao mpya wa simu za Halotel Tanzania, iliyofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, jana usiku Okt 15, 2015. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-eLBiHqwzIfM/VORhenvFxpI/AAAAAAADZxw/C1e7UvhG8nY/s72-c/8.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA BARABARA YA KM 10 YA MSOGA-MSOLWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-eLBiHqwzIfM/VORhenvFxpI/AAAAAAADZxw/C1e7UvhG8nY/s1600/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pHmqkjI_2qU/VORhfGpWpLI/AAAAAAADZx4/2P2emOhsNN8/s1600/9.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-pRM2_5iIY-A/VHXB5KveQaI/AAAAAAADI7c/k6Ytys3DwFc/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-pRM2_5iIY-A/VHXB5KveQaI/AAAAAAADI7c/k6Ytys3DwFc/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JYptVcROGA4/VHXB6p3UQPI/AAAAAAADI7s/s_C1mMkLqMY/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-IDSMrc98NF0/VHXB21kjg0I/AAAAAAADI7A/JxMdPXwjz9Q/s1600/01.jpg)