Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sporah kuhost tuzo za muziki wa injili Afrika, AGMA 2014

Mtangazaji wa TV, Sporah Njau pamoja na muimbaji maarufu wa nyimbo za injili kutoka Ghana Mr Sonnie Badu, watakuwa waendesha shughuli ‘hosts’ kwenye tuzo za muziki wa injili Afrika, AGMA 2014 (Africa Gospel Music Awards). Tuzo hizo zitafanyika August 24 jijini London, Uingereza.

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Nicki Minaj kuhost tuzo za 2014 MTV EMA ambazo Diamond wa TZ anawania

MTV wamemtangaza rapper Nicki Minaj kuwa ndiye atakuwa host wa tuzo za 2014 MTV Eurrope, MTV EMA ambazo Mtanzania Diamond Platnumz pia ni miongoni mwa nominees kutoka Afrika. Nicki Minaj licha ya kuhot lakini pia atatumbuiza kwenye tuzo hizo zinazotarajiwa kutolewa November 9 na kuoneshwa live kutoka jijini Glasgow, Scotland. Kupitia Instagram Nicki aliandika: “So […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

REBECCA MALOPE: Malkia wa Injili Afrika, gumzo kwa mashabiki Tamasha la Pasaka 2014

JINA la Rebecca Malope si geni masikioni na machoni mwa wengi, hasa kwa wapenzi, mashabiki na wadau wa muziki wa Injili. Rebecca aliyezaliwa mwaka 1968, yu miongoni mwa waimbaji wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive: Mtanzania DABO ametajwa kuwania tuzo za reggae za kimataifa na muziki wa dunia 2014 (IRAWMA)

10349153_841207622565532_7288991937464718532_n

Unaweza kuwa humfahamu kwa vile hana kelele nyingi….TUONYESHE UZALENDO KWA KUMPIGIA KURA SASA

Msanii bora wa muziki wa Reggae Tanzania, DABO (Pichani) amepata nafasi ya kuipeperusha bendera ya Tanzania katika anga za kimataifa, baada ya kuchaguliwa kuwania tuzo kubwa kabisa za reggae za kimataifa na muziki wa dunia 2014 (International Reggae and World Music Awards (IRAWMA).

DABO anawania tuzo hizi katika kipengele cha Mtumbuizaji Mpya Bora, akikabiliwa na ushindani kutoka kwa wasanii MC...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tuzo ya BBC ya mchezaji bora wa Afrika 2014

Tuzo ya BBC ya mchezaji bora wa Afrika mwaka wa 2014 imetangazwa

 

10 years ago

Mwananchi

Mualgeria Brahimi ampiku Yaya Tuzo ya BBC Afrika 2014

Nyota wa Algeria, Yacine Brahimi (pichani kulia) amechaguliwa kuwa mwanasoka bora wa mwaka wa BBC Afrika 2014.

 

10 years ago

GPL

BRAHIMI ASHINDA TUZO YA BBC YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA 2014 AFRIKA

Yacine Brahimi akiwa na tuzo yake ya BBC. MSHINDI wa tuzo ya BBC ya mchezaji bora wa mwaka 2014 Afrika imekwenda kwa mchezaji wa Algeria na nyota wa Porto, Yacine Brahimi. Hapajawahi kutokea katika miaka 23 ya historia ya shindano hilo kwa mchezaji bora kutoka Algeria kuishinda tuzo hiyo, lakini Brahimi amefanikiwa kutwaa tuzo hiyo baada ya mwaka uliokuwa na mbwembwe nyingi. Brahimi amewabwaga wachezaji wengine nyota wakiwemo,...

 

11 years ago

GPL

A CANDID INTERVIEW WITH SPORAH NJAU (FOUNDER AND HOST OF THE SPORAH SHOW)

Sporah Njau-The Host To a large extent, and for all the right reasons, we all have dreams and aspirations. We are constantly encouraged to dare, dream big and seize any great opportunity that jot in our lives. Dreaming and acting on our dreams or opportunities is only sure way for the complete circle of manifestation.   A few years ago, a young lady from Northern Tanzania, a student/ immigrant in the United Kingdom, saw an...

 

5 years ago

Mwananchi

Mjasiriliamali aliyegeukia muziki wa injili

Ritha Komba sio jina geni miongoni mwa watu wengi hasa wapenzi wa muziki wa injili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mipasho haifai muziki wa Injili

STAILI, vionjo na mfumo mzima wa muziki  umekuwa ukibadilika kila siku kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo hali ya kwenda na wakati. Mabadiliko haya  kwa upande mwingine yamekuwa sababu ya changamoto...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani